Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Shule ya umma anayosoma Pauline Wahuna, iliyoko katika Kaunti ya Kajiado, kusini mwa Kenya, inaweza kutoonekana kwa urahisi, lakini imekuwa kituo kinachoshamiri cha kuendeleza kizazi kijacho cha...
0 Reactions
1 Replies
395 Views
Hospitali ya Rufaa na Mafunzo ya Moi iliyoko Eldoret imethibitisha kisa kimoja cha ugonjwa wa mpox kwa mtoto mchanga; imewashauri wafanyakazi wake kuwa waangalifu ili kuzuia kuenea kwa ugonjwa...
0 Reactions
1 Replies
319 Views
Patrick Osoi, aliyewahi kuwa askari wa Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF), alikamatwa Jumanne baada ya kuunda vuguvugu la kupinga ukatili wa polisi pamoja na maafisa wawili wa polisi. Siku ya...
0 Reactions
4 Replies
906 Views
Uingereza imekuwa ikipanua kambi zake za kejeshi nchini kwa kasi huku pia wakileta zana mpya mpya za kivita. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
77 Replies
11K Views
Siku chache baada ya Waziri wa Fedha, nchini Kenya, John Mbadi kutangaza kushindwa kumudu gharama za elimu bure kwa shule za msingi na sekondari kutokana na ongezeko la wanafunzi, viongozi wa...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Diaspora flows hit fresh highs in March MONDAY, MAY 7, 2018 21:15 A WESTERN UNION SIGNAGE ON KENYATTA AVENUE IN NAIROBI. FILE PHOTO | NMG Kenyans abroad sent home a record $641.5 million...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
  • Closed
"Mwabili alitupwa kichakani huko Kinondo, Kaunti ya Kwale majira ya saa 9 alfajiri, ambako alitembea takriban kilomita 3 hadi Diani. Alipowasili Diani, aliweza kuwasiliana na familia yake ambao...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
A Kenyan activist working in Tanzania has allegedly been abducted. --- Kwa mujibu wa Mwandishi wa BBC Isabella Kituri, mwanaharakati Mwabili Mwagodi ametoweka akiwa nchini Tanzania. Kituri...
0 Reactions
46 Replies
4K Views
Source:CitizenDigital ======= Serikali ya Kenya imetangaza kushindwa kumudu gharama za kufadhili elimu ya bure kwa shule za msingi na sekondari, hatua itakayoathiri maelfu ya wanafunzi na...
1 Reactions
14 Replies
883 Views
Judith Nafula alijitwalia cheo hicho baada ya kuripotiwa kufukuzwa katika Kanisa Katoliki la Lwanya kwa madai ya kufanya miujiza kwa waumini wa kanisa hilo. Nafula alidai alipokea mwito kutoka kwa...
1 Reactions
7 Replies
631 Views
Rais William Ruto amepinga wito unaozidi kumtaka ajiuzulu kupitia nyimbo zinazoongezeka za ‘Ruto Must Go’ katika maandamano ya mitaani na mitandao ya kijamii. Katika hotuba yake katika Soko la...
0 Reactions
4 Replies
388 Views
Tume inayosimamia kupunguza Migogoro ya kikabila na kuimarisha umoja wa kitaifa Kenya (NCIC) imemfuta kazi Makamu Mwenyekiti wake, Wambui Nyutu, kwa kushiriki siasa za chama kinyume na kiapo chake...
1 Reactions
6 Replies
673 Views
Wakuu, Ugonjwa wa Mpox wasambaa Magharibi mwa Kenya Kaunti za Busia, Bungoma na Kakamega zimeathiriwa na mlipuko wa ugonjwa wa Mpox, unaosababishwa na virusi. Busia ni ya pili kwa athari nchini...
0 Reactions
1 Replies
535 Views
February 4, 2019 Dar -es-Salaam, Tanzania Tanzania's BRT system has been running for 3 years As Kenya awaits 64 high capacity buses this month, Tanzania has been providing rapid transport...
8 Reactions
47 Replies
8K Views
Mwanaharakati Boniface Mwangi adaiwa kukamatwa nyumbani kwake, Courage Base, eneo la Lukenya katika Kaunti ya Machakos na maafisa wanaoaminika kuwa kutoka Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI), huku...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Wanandoa Regina Munyoki (41) na Mumewe Isaiah Gura (52) wanashikiliwa na Polisi nchini Kenya wakidaiwa kuwatumikisha watoto wao Kingono, kwa kuwatumia katika kuzalisha maudhui ya Kingono na...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Tanzania’s e-vehicle Tanzania, the East African natural resource-rich country, has endorsed a maiden rollout of elect ric safari vehicle at its flagship national park of Serengeti, in an effort...
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Miongoni mwa masuala yaliyofanikisha kuchaguliwa kwa Rais William Ruto ni ahadi nyingi alizotowa kwa raia wa Kenya. Moja ya ahadi hizo ilikuwa ni ajira kwa vijana. Limekuwa tatizo kubwa nchini...
0 Reactions
3 Replies
377 Views
Maafisa wa upelelezi wa mauaji wamemkamata Kennedy Kalombotole, mtuhumiwa mkuu wa mauaji ya kutisha ya wagonjwa wawili katika Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta. Uchunguzi wa awali umebaini kuwa...
0 Reactions
2 Replies
394 Views
Dr. Maraga aliwahi kua jaji mkuu wa Kenya na sasa amekua mwanaharakati wa haki za binadamu. Dr. Maraga amekua akishiriki maandamano ya Gen Z wa Kenya na kutaka haki itendeke vijana wasionewe...
1 Reactions
5 Replies
679 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…