Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Video hii ikonyesha maumivi ya watu walijitoa kupambani haki lakini maisha yao yakakatishwa njiani Kwa masikitiko na heshima kuu, tunawakumbuka mashujaa zaidi ya 60 waliopoteza maisha yao...
0 Reactions
10 Replies
396 Views
Rais Ruto amesema jukumu la polisi ni kulinda raia na mali zao na siyo kuwaua ama kuwazuru Hivyo ameagiza uhalifu wa mapolisi ushughulikiwe sawa na uhalifu mwingine Source: Citizen tv
14 Reactions
63 Replies
2K Views
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻 Siasa za kikabila Siasa za kimafia Siasa za kugawana juu kwa juu Madhara yake👇🏻👇🏻👇🏻
5 Reactions
40 Replies
2K Views
“Alitudanganya!” Mama yake Kennedy Onyango, kijana aliyepigwa risasi na polisi wakati wa maandamano ya Gen Z huko Rongai, amemtuhumu Rais William Ruto kwa kutoa ahadi za uongo kuhusu haki ya...
0 Reactions
1 Replies
303 Views
https://youtu.be/X61w6HrLHms
0 Reactions
3 Replies
290 Views
Vyombo vya habari nchni Kenya vimeripoti kwamba mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 44 amefariki akiwa chini ya ulinzi wa polisi katika Kituo cha Polisi cha Turasha kilichoko Wadi ya Githioro...
0 Reactions
1 Replies
322 Views
Afisa ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma nchini Kenya (ODPP) imeidhinisha mashtaka ya mauaji dhidi ya watu 6 wakiwemo maafisa wa polisi 3 wakiongozwa na mkuu wa kituo cha polisi cha Central jijini...
0 Reactions
1 Replies
300 Views
Baba wa Boniface Kariuki kijana aliyepigwa risasi na polisi wakati wa maandamano nchini Kenya amenasa kwenye mtego wa matapeli waliodai kuwa maafisa kutoka Mfuko wa Afya ya Jamii (SHA), na...
0 Reactions
9 Replies
579 Views
Familia ya Mpanda Mlima kutoka Kenya, Joshua Cheruiyot Kirui, ambaye alifariki dunia akipanda Mlima Everest Mei 22, imesema Mwili huo utaachwa alikofia kutokana na gharama na hatari zinazohusishwa...
4 Reactions
35 Replies
4K Views
Muache kuandamana sasa baba ojwang yeye anashukuru https://www.youtube.com/shorts/U0LmX05TBc8?feature=share
0 Reactions
0 Replies
170 Views
Boniface Mwangi Kariuki, mfanyabiashara wa umri wa miaka 22, ambaye alipigwa risasi kwa umbali mfupi katika CBD ya Nairobi wakati wa maandamano ya Jumanne, yupo katika utaratibu wa kupona Kenyatta...
1 Reactions
7 Replies
778 Views
Maandamano yakiwa yanaendelea huko Kenya ya wanachi wakidai kupatikana haki ya Albert Ojwang ambaye alifariki akiwa gerezani baada ya kupigwa na moja ya askari, katika hali hiyo video hii...
1 Reactions
28 Replies
992 Views
Akiwa ameketi kwenye kiti cha plastiki kwenye kituo cha teknolojia ya habari na mawasiliano (TEHAMA) katika mji wa Ndhiwa, takriban kilomita 366 kutoka Nairobi, mji mkuu wa Kenya, vidole vya...
3 Reactions
3 Replies
386 Views
Familia za waathiriwa wa mauaji yaliyotekelezwa na polisi wakati wa maandamano ya Gen Z mwaka jana dhidi ya Muswada wa Fedha (Finance Bill) mwaka jana, zimetangaza kufanya maandamano ya amani...
1 Reactions
5 Replies
486 Views
Wakili mmoja wa jiji amempeleka mahakamani Mbunge wa Kajiado Kaskazini, Onesmus Ngogoyo, akimtuhumu kwa kuvunja sheria kwa kuweka jina lake na picha kwenye miradi inayofadhiliwa na fedha za umma...
2 Reactions
6 Replies
416 Views
Oya Gen Z nimesikia mshua anataka kupeperusha bendera ya Kenya 2027 amtoe kitini Kasongo/ Zakayo. Ni kweli wanetu? Je mshua ataweza mafyadefyade ya wanasiasa,angekaa zake akachili akapiga...
1 Reactions
3 Replies
256 Views
Alikuwa akiwaambia mawaziri wake kwenye kikao cha baraza Amesisitiza maendeleo analeta sasa na ahadi zote atatimiza Citizen tv 📺 Ahsanteni sana 😁
1 Reactions
2 Replies
227 Views
Naibu Inspekta Jenerali aliyeandamwa na tuhuma, Eliud Lagat, ametoa maelezo kwa Mamlaka Huru ya Kusimamia Utendaji wa Polisi (IPOA) kuhusiana na kifo cha mwalimu Albert Ojwang’. Awali, Lagat...
0 Reactions
2 Replies
306 Views
Mhubiri mwenye utata kutoka Kenya, Gilbert Deya, amefariki dunia katika ajali ya barabarani iliyotokea Jumanne jioni karibu na mji wa Kisumu, magharibi mwa Kenya Kwa mujibu wa taarifa ya polisi...
1 Reactions
2 Replies
411 Views
Huduma ya Polisi ya Taifa (NPS) imepokea kwa wasiwasi mkubwa tukio la kupigwa risasi kwa raia asiye na silaha na askari wa polisi aliyekuwa akitumia bunduki ya kudhibiti ghasia, tukio lililotokea...
3 Reactions
5 Replies
702 Views
Back
Top Bottom