Familia moja katika eneo la Narok, Kenya, imepigwa na butwaa kufuatia kauli ya Rais William Ruto aliyodai katika mkutano wa hadhara kuwa alizungumza na baba yao na kufikia makubaliano kuhusu...
Kumekuwa na mwenendo unaotia wasiwasi katika mitandao ya kijamii, ambapo baadhi ya Wakenya wamejipa mamlaka ya kuingilia na hata kudhalilisha masuala ya ndani ya siasa za Tanzania. Hili si jambo...
Takriban watu watatu wamekamatwa kufuatia tukio la kutupwa kiatu kuelekea kwa Rais William Ruto katika eneo la Kuria Magharibi, Kaunti ya Migori.
Soma Pia: VIDEO: Rais Ruto apigwa na kiatu usoni...
KENYA: Serikali imemsafirisha Mmoja wa Viongozi wa NRM, Miguna Miguna kuelekea nchini Canada ikiwa ni saa chache baada ya Majaji kusimamisha kesi zake zote kufuatia Polisi kushindwa kumfikisha...
https://x.com/kenyanwalstreet/status/1920710670007369997?t=7R1hJAOxEGvKDNa-_WPzog&s=19
https://x.com/MwangoCapital/status/1920750699245433156?t=P05PrDyoB4a5_mw6gcL4LQ&s=19
Ethiopia is a drag on...
Wanaharakati wa kisiasa Morara Kebaso na Kasmuel McOure wameungana kuanzisha harakati ya vijana kwa ajili ya maandalizi ya uchaguzi mkuu wa 2027.
Wanasema kuwa wameweka tofauti zao kando ili...
Nelson Amenya, mtoa taarifa wa Kenya ambaye aliibua kashfa ya mkataba wa uwanja wa ndege wa Adani uliobatilishwa hivi karibuni, ameibuka tena akidai kuwepo kwa mpango mpya wa kukodisha Uwanja wa...
Mashirika Saba Yafungua Kesi Mahakamani Kupinga Kukatizwa kwa Intaneti Nchini Kenya
Katika hatua kubwa ya kulinda haki za kidijitali na uhuru wa kikatiba, Shirika la CIPESA (Collaboration on...
Sio wageni kuhusu hii dini ya freemasonry ambayo ikijitapa kuwa inanguvu ya pesa na watu maarufu.
Huko nairobi wana deni la pango nyumba za serikali mpaka kufungiwa jumba lao maeneo ngara.
1. Ruto aKasema waliotekwa wote watapatikana, na wakapatikana wote
2. Muthuli anasema NIS inahusika kumteka mtoto wake na baadaye akapatikana
3. Activisits call upon Ruto to reveal abductors...
NTV Kenya:
Wamepost video za walinzi wa aliyekuwa makamu wa Rais wa Kenya wakifyatua risasi hewani kuwatawanya wahuni waliovamia na kuleta vurugu wakati Gachagua akilaunch chama chake.
Riggy G...
Wakuu,
Polisi waliovaa kiraia wamevamia nyumba ya Gavana wa Trans Nzoia, George Natembeya, iliyoko Milimani, Kitale, mapema Jumatatu katika oparesheni inayodaiwa kuhusisha Tume ya Maadili na...
Wabunge katika Seneti ya Marekani wahoji kuhusu uaminifu wa Kenya kwa Marekani kufuatia ziara ya hivi karibuni ya Rais William Ruto nchini China.
Katika muktadha wa vita vya kibiashara kati ya...
https://www.channelten.co.tz/raia-wa-100-kenya-wakamatwa-mara/
Kukamatwa kwa mamia ya wakenya huko ktk mkoa wa Mara, Tanzania kutaka kujiandikisha kuwa wapiga kura, kunaweza kuwa na maana mbili...
Inawezekana kukawa na chaguzi ndogo maana wabunge wa sasa wanaweza kujiuzulu especially in Mount Kenya area kwa kujiunga na Gachagua na hivyo kuwepo na ulazima wa chaguzi ndogo.
My take:
1...
Serikali ya Kaunti ya Nairobi imefunga Jumba la Grand Lodge linalotumika kama Ukumbi wa ibada kwa wa waumini wa Freemasons wa Afrika Mashariki lililopo katikati mwa jiji kutokana na na malimbikizo...
Hatma ya washukiwa wa shambulizi dhidi ya jengo la Westgate kujulikana Jumanne hii
Hukumu ya washukiwa wa mlipuko wa kigaidi katika jengo kubwa la maduka la Westgate jijini Nairobi mwaka 2013 na...
Waangalizi wa Uchaguzi nchini Kenya (Elections Observation Group – ELOG) wameonesha wasiwasi wake kuhusu hatua ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), kuwasilisha ripoti ya mchakato wa Uteuzi...
kuna kipindi nafatalia youtube kupitia Easterntv na bado kinaendelea nimeogopa sana tena swala la watoto.
Najua wengi wa watanzania mtoto akijua kutembea unamuacha kama kuku ili mradi tu jioni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.