Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Hatimaye Rais anayeondoka Uhuru Kenyatta amempongeza Rais Mteule William Ruto, baada ya mkutano wao Ikulu. Wawili hao walikutana alasiri ya Jumatatu, Septemba 12, saa chache tu kabla ya hafla ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Raila Says Azimio Gov’t Will Not Ban Mitumba Trade Raila spoke when he met the representatives from Gikomba market on Friday. He said the Azimio government will work hand-in-hand with traders to...
0 Reactions
2 Replies
744 Views
Rais mteule William Ruto saa hii anakutana na Rais anayeondoka Uhuru Kenyatta na Ikulu, Nairobi. Ruto ameandamana na Mkewe Rais mteule Rachel Ruto. Ripoti zilionyesha kuwa viongozi hao wawili...
0 Reactions
1 Replies
903 Views
Mgombea Mwenza wa Raila Odinga, Martha Karua amegusia uamuzi wa kuhamishia Pingamizi la Urais nchini Tanzania ili kupinga uamuzi wa Mahakama ya Juu ulioidhinisha ushindi wa Rais Mteule William...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Maisha yamepanda, maisha ni magumu na hali ni mbaya sana kwa watawala katika kipindi hiki. Ni vigumu kuwashawishi wapigakura kuwa hali hii nguvu ni kwasababu ya vita ya Ukraine na Russia na sio...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Ruto alimkiri na kumtumaini Mungu hadharani, matokeo yake mwulize Uhuru Kenyata na Raila Odinga. Magufuli alimkiri pia Mungu mbele ya dunia yote kuwa Mungu atatuponya na corona wala hakuna haja...
12 Reactions
40 Replies
2K Views
Wagonjwa waliopo katika Hospitali ya Taifa ya Kenyatta na vituo vya afya Jijini Nairobi Nchini #Kenya wamekwama kwa siku mbili kutokana na mfumo wa mtandaoni wa Bima ya Afya wa NHIF kukwama kwa...
0 Reactions
0 Replies
922 Views
Katika taarifa ya Ijumaa, Rais anayeondoka alibainisha kuwa kipindi cha maombolezo kitaanza usiku wa kuamkia Ijumaa, Septemba 9, 2022 na kumalizika, machweo, Septemba 12. Rais Uhuru Kenyatta...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Mgombea mweza wa Urais nchini Kenya, kupitia Kenya Kwanza, Rigathi Gachagua amemtuhumu Rais Uhuru Kenyatta kumtuma Mshauri wake kumwonya iwapo angeendelea kumuunga mkono Rutto lingempata jambo...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Does this mean William Ruto is absolutely destined to lose the August elections? Historical precedent and the dialectical odds dictate so. However, as Thomas Kuhn demonstrates in his Structure of...
0 Reactions
0 Replies
624 Views
Sikuzijua hizi siasa za Kenya ila Leo ndio nimezijua Nadhani hata ile ya Kenyatta kumsapoti Raila ilikuwa ni strategy tu kusiwe na malalamiko mengi baada ya Ruto kuwa raisi.... Mpango ulishasukwa...
6 Reactions
37 Replies
4K Views
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limetoa Tangazo kwamba, tarehe 27-04-2022 Kuanzia mda wa saa nne Asubuhi litaanza MAJARIBIO ya TRENI ya Umeme nchini Tanzania kwa Kipande Cha Kwanza (Dar-Moro)...
3 Reactions
32 Replies
5K Views
Wakuu mambo ni live TV za Kenya, Portal ya IEBC Jamaa wa Venezuela walimbeba Ruto Potal inafunguliwa Live mahakamani ni total forgery uchaguzi wa kenya Fomu 34A ambazo zimekuwa uploaded ndani ya...
18 Reactions
88 Replies
7K Views
Rais-Mteule Ruto amewaambia Wabunge wa Kenya Kwanza japokuwa watakuwa na uwiano mzuri bungeni wasichukulie jambo hilo kimchezo mchezo badala yake wanatakiwa kuwa makini sana. Aliongeza kuwa...
1 Reactions
2 Replies
923 Views
News Construction begins on huge chemical plant in Tanzania By cce news - April 25, 2018 0 98 Construction of what government officials say is one of the largest chemical plants in Africa...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
President Kenyatta: I Will Hand Over Power Smiling, But Raila Is My Leader President Uhuru Kenyatta now says that he will gleefully hand over the reins to president-elect William Ruto on...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Rais mteule wa Kenya, William Ruto ameweka wazi kuwa hajazungumza na Rais Uhuru Kenyatta kwa miezi sasa huku akiahidi kuwa atampigia simu kuzungumza naye. Ruto amesema hayo muda mfupi baada ya...
3 Reactions
41 Replies
3K Views
Mambo yanaenda.... The construction of the Dongo-Kundu bitch in Mombasa TWITTER ALI MANZU Mombasa residents are now counting months to the completion of a Ksh22 billion project that took off in...
5 Reactions
5 Replies
2K Views
Mzuka wanajamvi! Wakenya bana sometimes wanachekeshaga Sana. Kuna Jaji mmoja kati ya wale saba anaitwa Smokin Wanjala unajiuliza what's this? Hata kama kuiga huku ni kuvuka mpaka. Afadhali bongo...
0 Reactions
3 Replies
984 Views
Nilikuwa nafatilia hotuba ya Rais wetu mteule Dkt. William Ruto ambapo pamoja na mambo mengi aliyoyaongea na kuaddress watu wetu wa Kenya nilivutiwa sana na hotuba yake na nini atawafanyia Wakenya...
8 Reactions
67 Replies
6K Views
Back
Top Bottom