Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

On JF:

Habari, Natamani nijifunze jinsi ya kupaka rangi za nyumba. Nipeni mwongozo naanzia wapi angalau nianze kama saidia fundi huku najifunza, msiseme veta maana sna pesa ya kujifunzia.
1 Reactions
0 Replies
255 Views
Kuna nafasi ya kazi kwa mtu mwenye taaluma ya Usanifu majengo.... Architect/Civil engineer Uzoefu : miak isiyopungua miwili. Ukiwa interested nicheki inbox...
1 Reactions
0 Replies
296 Views
Tangu December 2024 hadi sasa January 2025 nimebaini uhaba mkali sana wa maafundi ujenzi (Uwashi, nk.) .., uhaba ni mkali mno! Mafundi Uwashi ni wa kugombania hasa jijini Dar. Chanzo ni nini? At...
5 Reactions
33 Replies
2K Views
choo cha kisasa kisicho jaa ha hakitowi halufu kabisa Tunajenga kwa laki 8 kwa dar Mikoani Ina panda kulingana na bei ya usafiri malazi na chakula
4 Reactions
14 Replies
750 Views
Wataalamu naomba mnisaidie kunijuza kuhusu vibali vya ujenzi, binafsi nina kibali cha serikali za mitaa ila kuna mtendaji alikuja site akaanza kufokafoka nikamwambia kibali ninacho, sasa baada ya...
6 Reactions
32 Replies
2K Views
UWEKEZAJI WA BILIONI 38 MKOMBOZI WA SARATANI NCHINI Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imepongeza juhudi za Serikali katika mapambano dhidi ya saratani, hasa kupitia uwekezaji...
2 Reactions
1 Replies
215 Views
Wazoefu wa ujenzi naombeni makadirio
4 Reactions
18 Replies
2K Views
JINSI YA KUJENGA NYUMBA YAKO BILA STRESS AU KUVUNJIKA MOYO: VIGEZO VYA KUMCHAGUA FUNDI WA UJENZI MWENYE UZOEFU NA UBORA Mwandishi: MwlRCT UTANGULIZI Je, unajua kwamba uchaguzi wako wa fundi wa...
5 Reactions
3 Replies
4K Views
Utaratibu wa kupata kibali cha ujenzi ukoje ?
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Moja kwa moja kwenye mada, Nauliza ni lazima upate kibali cha ujenzi ndipo uanze kujenga ? Na hiko kibali kinapatikana wapi, Gharama yake kiasi gani, umuhimu wa hiko kibali, Naomba maelekezo...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
KAMATI YA BUNGE YAITAKA TAMISEMI KUCHUNGUZA MKANDARASI WA MRADI WA TACTIC KAHAMA Kamati ya Kudumu ya Bunge ya TAMISEMI imeielekeza Ofisi ya Rais - TAMISEMI kupitia upya mkataba wa mkandarasi wa...
0 Reactions
0 Replies
231 Views
Habari ya muda huu wadau. Nipo stage ya kuweka tiles, sasa hizi hesabu zinanipa headache. 40×40 - box 65 25×40- box 45 Skirting - box 7 Tiles za tangastone- box 18 Naomba msaada wa kupata...
4 Reactions
40 Replies
5K Views
KAMATI YA BUNGE YAAGIZA MAABARA ZA SHULE ZA WASICHANA ZIKAMILISHWE OR-TAMISEMI Kamati ya Kudumu ya Bunge ya TAMISEMI imeielekeza Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)...
0 Reactions
0 Replies
214 Views
Kwenye ujenzi wa nyumba hakuna kitu kinakula gharama na kuleta stress karma 'finishing' Leo tutaangazia kipengele cha urembo wa kwenye kuta.. Hapa badala ya kubandika mapichapicha yenye gharama...
4 Reactions
104 Replies
3K Views
RIPOTI YA UJENZI WA SEKONDARI MPYA MUSOMA VIJIJINI (progress report as of 15 March 2025) 1. Idadi ya Sekondari Jimboni mwetu: (Kata 21 zenye Vijiji 68) 1a. Sekondari za Kata/Serikali: 26...
1 Reactions
1 Replies
315 Views
Nipo na kikundi ninachokisimamia mimi binafsi na maelezo kamili kuhusu huduma zetu 🏡 LUNO GROUP – UBORA WA UJENZI UNAOWEZA KUAMINI! 🏡 Mshirika Wako Anayeaminika Katika Kujenga Ndoto Zako...
2 Reactions
2 Replies
365 Views
KAMATI YA BUNGE YAELEKEZA UJENZI WA SHULE MPYA ZA MULEBA ZIKAMILIKE APRILI, 2025 Kamati ya Kudumu ya Bunge ya TAMISEMI imeuagiza uongozi wa Wilaya ya Muleba, Mkoa wa Kagera, kuhakikisha ujenzi wa...
0 Reactions
0 Replies
279 Views
KAMATI YA BUNGE YAKOSHWA UWEKEZAJI SEKTA YA AFYA, SIMIYU Na WAF-Simiyu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI, Mhe. Hassan Mtenga, amepongeza juhudi za Rais Dkt...
0 Reactions
0 Replies
247 Views
Habari wana JF Kwa anaejua au mwenyewe uelewa juu ya Gharama za kujenga frame ndogo kwaajili ya biashara. Kwa kutumia mbao laini anisaidie ufafanuzi tafadhar. Karibuni...
0 Reactions
0 Replies
276 Views
Back
Top Bottom