Ujenzi wa nyumba tofali za kuchoma

nakwede97

Member
Aug 9, 2021
40
52
Wana JamiiForums,

Naomba ushauri wa hili jambo langu nimejiokoteza kwenye shughuli zangu nikajipatia sh 4million nikaona nianze ujenzi.

Kiwanja ninacho ambacho ni mita 15 Kwa mita 10 nataka kutumia tofali za kuchoma naomba wenye uzoefu wa hizi mambo anipe maelekezo ya hela yangu na kiwanja itafukisha wap hii nyumba au patakua na kasoro bila kusahau nipo Morogoro.

FB_IMG_1685340244021.jpg
 
Kwa mimi hapa nilianza kwa raman inayotaka kufanana na hio tofali za block msingi tu umekula hela kama hio (4m).
 
Wana JamiiForums,

Naomba ushauri wa hili jambo langu nimejiokoteza kwenye shughuli zangu nikajipatia sh 4million nikaona nianze ujenzi.

Kiwanja ninacho ambacho ni mita 15 Kwa mita 10 nataka kutumia tofali za kuchoma naomba wenye uzoefu wa hizi mambo anipe maelekezo ya hela yangu na kiwanja itafukisha wap hii nyumba au patakua na kasoro bila kusahau nipo Morogoro.

View attachment 2779764
Morogoro kubwa?
 
Kama eneo ni level kwa ramani ya hiyo nyumba milioni 2 inatosha kuanza nayo bila shida hapo utapiga zako msingi na iliyo baki 2 unanunua tofali za kuta ila mpaka lenta utaongeza 1m ziwe Tano afu 3 zilizobaki ni paa....
Tafuta 4mil nyingine iwe 8mil. ukuze paa
 
Wana JamiiForums,

Naomba ushauri wa hili jambo langu nimejiokoteza kwenye shughuli zangu nikajipatia sh 4million nikaona nianze ujenzi.

Kiwanja ninacho ambacho ni mita 15 Kwa mita 10 nataka kutumia tofali za kuchoma naomba wenye uzoefu wa hizi mambo anipe maelekezo ya hela yangu na kiwanja itafukisha wap hii nyumba au patakua na kasoro bila kusahau nipo Morogoro.

View attachment 2779764
hapa saiz ya hii nyumba ukiw na 8M unaipandisha boma lote unasbir kupaua tu

Yangu ina 12 kwa 11 boma lote nimemaliza kw 13M hapo hamna anaenidai
 
Back
Top Bottom