Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

On JF:

Huu mti uliota Shambani kwangu, Miaka 6 iliyopita.Mke wangu alikuwa anasimamia Ujenzi akataka Kukata, nikamwambia auache. Mwaka Jana ukatoa Maua mazuri lakini Yana harufu isiyovutia. Punde...
5 Reactions
12 Replies
1K Views
Jipatie Safety Gear vifaa vya usalama kwenye ujenzi ,viwandani na hata Migodini.Tupigie 0784087481 & watsup 0768815810.Tupo Mwanza na Tunatuma mikoani Kwa uwaminifu mkubwa
1 Reactions
2 Replies
321 Views
Huu mjengo ni 1.5 storey. Upande ghorofa lenye eneo la takribani 80m2. Upande mwingine ni nyumba ya chini eneo la 68m2. Upande wa ghorofa nguzo 14 na upande wa chini nguzo 4. Mzamo wa footing ni...
13 Reactions
83 Replies
4K Views
Habari wakuu. Baada ya kushindwa kumudu kuweka makabati ya mbao jikoni kutokana na ukubwa gharama, Pia ya zege kwa kuhofia kutokuwa na mwonekano mzuri, Nimefikiria ama kutumia materials za 1) MDF...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Naomba kuuliza wadau wa ujenzI kuna hii kitu,nadhani ni kokoto iliyozungushwa kuzunguka msingi wa nyumba,naona ni kama kokoto nyeusi na nyeupe au ni kokoto imepuliziwa rangi nyeupe na nyeusi...
2 Reactions
6 Replies
606 Views
Wakuu, ningeomba kufahamishwa madhara ya kuskim na kupaka rangi badala ya kuweka tiles kwenye ukuta wa jikoni. Naomba kuwasilisha.
0 Reactions
3 Replies
427 Views
Nchi ya Japan imepiga hatua za juu zaidi za kiusalama wa tetemeko la Ardhi kwa kutumia Nyumba za levitating zilizotengenezwa na Kampuni ya Kijapani ya Air Danshin Systems Inc. wakati wa hali ya...
3 Reactions
5 Replies
726 Views
Changamoto kubwa kwenye eneo la uhasibu na kodi kwa wanafanyabiashara wengi hasa wanaotumia mtindo kuagizisha mizigo mbalimbali kutoka nje ya nchi kwa kutumia Fedha za wateja kufanikisha au...
1 Reactions
0 Replies
351 Views
Habari mdau..Je na wewe umewahi kupitia kazia hii ya kupata fundi (Ujenzi) asiye na uaminifu yani mdokozi...?? Bila shaka zipo sababu 2 ambazo mimi binafsi naona ndio chanzo cha Mafundi...
1 Reactions
16 Replies
763 Views
Nyumba ipo Dar ya vyumba vitatu kimoja self, jiko, Sebule, dining na public toilet hii ndo bajet ya msingi fundi wangu kanitumia ila nahisi Kuna namna ananipiga au wataalamu hii mnaionaje
5 Reactions
46 Replies
2K Views
🪖🦺🔨⛏️🪖🦺 SHEBWA MASONRY CONTRACTION Simu: 0673817130 (WhatsApp), Social Media: SHEBWA MASONRY CONTRACTION, Tupo: Moshi na Arusha Tunatoa Huduma Bora za Ujenzi na Ukarabati wa Nyumba! Je...
1 Reactions
4 Replies
457 Views
Waungwana, amani na iwe kwenu. Bila kupepesa macho, naamini hapa ni sehemu sahihi kwa ajili ya hili suala linalonitatiza. Ntajitahidi nieleze kwa ufupi. Nipo katika hatua za mwisho za kufanya...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wana JamiiForums, Naomba ushauri wa hili jambo langu nimejiokoteza kwenye shughuli zangu nikajipatia sh 4million nikaona nianze ujenzi. Kiwanja ninacho ambacho ni mita 15 Kwa mita 10 nataka...
1 Reactions
10 Replies
5K Views
Mkoa wa Pwani ugawanywe Kibaha, Bagamoyo, Kisarawe na Mkuranga ziunde jiji la Dar Es Salaam. Rufiji, Kilwa, Mafia na Kibiti ziunde Mkoa wa Pwani/Rufiji/Kilwa. Mikoa miwili ya Tanzania bara...
5 Reactions
12 Replies
1K Views
NDEFU KIDOGO Habari zenu wakuu , nadhani wote tunalikumbuka vizuri lile zoezi la urasimishaji liloanza chini ya raisi wa awamu ya tano marehemu jpm . Ukiachilia mbali changamoto zake , moja ya...
6 Reactions
37 Replies
5K Views
Wakuu Naomba kuuliza msingi wa vyumba vitatu kimoja self, jiko sebule na public toilet kwa Dar unaweza kutumia cement mifuko mingapi?
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Bei ya sokoni saiz 24 march ni 37500 Gauge 30 kumbuka hili ndio bati pekee ambao halipauki kwa sasa Tz miaka mingi tupo buguruni 0743 257 669 Ukitaka fundi kupaua pia yupo
2 Reactions
25 Replies
3K Views
🔨 UNAHITAJI SAKAFU TARAZO IMARA NA YA KISASA? 🔨 Tunatoa huduma za ujenzi wa sakafu ya tarazo kwa shule, maghala (godowns), majengo ya biashara na makazi kwa ubora wa hali ya juu. ✅ Tunatumia...
8 Reactions
15 Replies
2K Views
FAIDA ZA KUWA NA KIBALI CHA UJENZI Kujenga nyumba ambayo imethibitishwa kitaalamu kuwa ni salama. Kuwa na mazingira bora kwa kuwa na mji uliopangwa. Kuepuka hasara na usumbufu unaoweza kutokea...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom