Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

On JF:

Hbr, Msaada wa kufahamu initial costs za kujenga uzio wa seng'enge (Yaani chain link fabric) kwenye kiwanja. Kiwanja kina 35×40. Je, Zinakuwaga na urefu gani hizo seng'enge na pia zinauzwaje, Na...
1 Reactions
32 Replies
24K Views
wakuu habarini...naomba msaada wa kujua garama ya kumlipa fundi ili anijengee nyumba kama hiyo pichani. Vyumba viwili vidogo vidogo 3*3. Sebule yenye dining, choo kiwanja kipo, tofali 6500 za...
3 Reactions
25 Replies
7K Views
Ndugu mwana Jukwaa hili, ninajaribu kujenga picha kichwani ya kamjengo hata nikikajenga miaka mitatu ijayo. Picha niliyonayo kichwani inaendana na ramani hii niliyojaribu kuchora hapa, japo...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Kama attachment inavyojieleza Halmashauri nazo zinakuja na tozo zao mbalimbali
4 Reactions
41 Replies
7K Views
Unaishi kwenye nyumba choo kiko nje, usiku wa mvua kubwa ukitaka kwenda kujisaidia ni lazima maji ya mvua yaguse ngozi. Vyoo vingine havina mapaa, ukiwa unajisaidia mvua haikwepeki. Asubuhi...
3 Reactions
25 Replies
5K Views
Habari wanajamiiforum, Napenda kuuliza kati ya mbao za Mkongo na Mninga, zipi ni nzuri zaidi au bora zaidi kwa kutengenezea furnitures kama vile kitanda na kabati? Ahsanteni
1 Reactions
9 Replies
5K Views
Nauza kiwanja changu, kimepimwa, maji dawassa, kipo umbali mfupi kutoka Morogoro road. karibuni Call: +255 785 335 350
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Ukifanikiwa kujenga nyumba hii hakikisha au muombe Mungu usiwe na marafiki wanaonunua petrol mkigombana.
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuna ombwe kubwa la ufahamu katika jamii yetu hususani kwenye suala la ujenzi. Nani ni nani na anafanya nini kwenye ujenzi? Hii nitaleta mada yake siku za usoni. Twende kwenye mada! Kuna baadhi...
8 Reactions
16 Replies
3K Views
Ndugu wadau naomba kujuzwa kwa mapana juu ya mada hii tukijikita katika 1. Wiring cost katika nyumba 2. Perfomance 3. Gharama za uvutaji umeme toka tanesco Asanteni
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Salaam wakuu, Ninataka niezeke kwa mabati yanayofahamika kama reject, nimetembelea wanapouza nimeona ni mapya kabisa hayana tofauti kubwa na yale ya madukani ambayo siyo reject. Kuna mtu...
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Nawasalimu wanajamvi, Mfano ujenzi nyumba imefika kiwango cha hii picha, Hapo tayari ina bomba za kuja kupitishia wiring ya umeme, mfumo wa bomba za maji safi na maji taka pamoja na shimo la maji...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari! Je, kwa nyumba ambayo ina ukubwa wa mita 30 kwa 40 ambayo haina ukuta wa nje, haina geti, haina siling board vyumba vyote, haina tiles, ambayo ina vyumba vitatu vya kulala ambacho master...
2 Reactions
20 Replies
12K Views
Kuna yeyote anaweza kunikutanisha na fundi wa vitanda vya chuma Nina idea nataka wa kunibunia anichongee kwa chini kiwe kitanda kwa juu iwe sehemu ya kukalia ambayo unaweza ukafunga screen yako...
2 Reactions
9 Replies
3K Views
Naomba niwashirikishe kwny challenge nnayokutana nayo, ni hv: Nipo kweny harakati za kupanga na kuanza maisha yangu nikiwa natokea gheto, mm ni muajiriwa nafanya kazi maeneo ya morocco. Nawaza...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari za kwenu wanajamvi, Nakuja hapa nikiomba ushauri/msaada wa dhati kabisa juu ya ujenzi nina 15million ya kumalizia vitu vichache je itatosha? Na kwa sasa najua wengi wenu humu mna uzoefu na...
11 Reactions
237 Replies
86K Views
Hesabu hii ni kwa ujenzi wa Nyumba simple ya vyumba vitatu (kimoja master) Ikiwa na upana wa mita 9.5X10.4 KUJENGA BOMA tofali (jumla) ...... 3,130pc mchanga ......... 16m3...
13 Reactions
38 Replies
8K Views
Habari zenu wadau wa JF? Je, ninaweza kutumia nusu ya boriti ya 2x2 (kuikata katikati kwa urefu nakuwa 1x2) kwa ajili ya blandering? Au inaweza kuleta shida in-terms of strength ya kushikilia...
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Habarini wakuu, nauliza bei ya mabati ya msouth kwa bei ya kiwandani. Kama bei itaambatana na grade number itapendeza zaidi. Pia kwa anayefahamu yanakopatikana kwa hapa Mwanza (nasikia kuna...
2 Reactions
8 Replies
12K Views
Back
Top Bottom