Ipi ni njia bora zaid kwenye kuanza ujenzi wa nyumba kati ya hizi mbili

Herry jr

Member
Oct 16, 2020
74
131
Waungwana naombeni mnisaidie, je ni ipi njia bora ya kuanza ujenzi wa nyumba endapo tayari una kiwanja kati ya hzi zifuatazo:

1. Kumtafta surveyor wa ku survey eneo la kiwanja na ku design nyumba kulingana na eneo lilivo, na gharama za kumlipa huyo surveyor zipoje

au

2. Kununua ramani ya nyumba na kumtafta fundi ujenzi aanze ujenzi kweny eneo ulilojenga

Naomben ushauri wenu kwenye hili maana nna kiwanja tayari nataka nianze ujenzi January mwaka mungu akipenda
 
Waungwana naombeni mnisaidie, je ni ipi njia bora ya kuanza ujenzi wa nyumba endapo tayari una kiwanja kati ya hzi zifuatazo:

1. Kumtafta surveyor wa ku survey eneo la kiwanja na ku design nyumba kulingana na eneo lilivo, na gharama za kumlipa huyo surveyor zipoje

au

2. Kununua ramani ya nyumba na kumtafta fundi ujenzi aanze ujenzi kweny eneo ulilojenga

Naomben ushauri wenu kwenye hili maana nna kiwanja tayari nataka nianze ujenzi January mwaka mungu akipenda
1
 
Waungwana naombeni mnisaidie, je ni ipi njia bora ya kuanza ujenzi wa nyumba endapo tayari una kiwanja kati ya hzi zifuatazo:

1. Kumtafta surveyor wa ku survey eneo la kiwanja na ku design nyumba kulingana na eneo lilivo, na gharama za kumlipa huyo surveyor zipoje

au

2. Kununua ramani ya nyumba na kumtafta fundi ujenzi aanze ujenzi kweny eneo ulilojenga

Naomben ushauri wenu kwenye hili maana nna kiwanja tayari nataka nianze ujenzi January mwaka mungu akipenda
Option #2
 
Namba 1 ni bora zaidi lakini kama unazo hela za kujenga mpaka kumaliza, Namba mbili kama una hela ya kujenga kidogo dogo(ujenzi wa mwaka/miaka).


Lunatic
 
Kazi ya Surveyor ni kupima eneo na kulirasimisha upate Hati miliki.

Kuhusu ku design mjengo wako muone Architect (Msanifu majengo) mpeleke site kwako yeye atakupa ramani kulingana na eneo lako. Ataangalia ukubwa wa eneo, uelekeo wa upepo, jua linakochomoza n.k kisha atakupa unachostahili. Epuka ramani za kuchukua mitaani zitakugharimu. Pitia uzi wa mdau analalamika harufu ya choo cha ndani inavomtesa moja ya sababu ni poor design.
 
Ahsanteni sana kwa ushauri wenu
Mm nakushauri tafuta mwana Architecture mzuri mwenye gharama nafuu, makadirio 250000-300000/= Tsh hapo ata design raman kulingana na eneo lako ata àkufanyia na BOQ (akijiongeza)

Hakikisha kama uta tumia njia hii mwambie kila kitu utakacho taka kuweka ktk eneo lako mfano kama mabanda ya kuku, frame za maduka, yaan matumiI ya eneo lako lote ..kama fensi pia ...
Huo ndio ushauri wangu
 
Kama upo vizuri basi opt 1 chukua, otherwise tafuta fundi mzoefu nenda nae site akiona plot yako plus mawazo yako lazma atapata ramani ya nyumba itakuaje! Chukua hayo mawazo mplekee mchoraji akuwekee kwenye vipimo na upate side zote za ramani.
 
Back
Top Bottom