Busara Kali
Member
- Jan 7, 2021
- 59
- 77
Nina miaka 34, Mke na watoto 2,Mwaka Jana nilikua na shauku ya ujenzi kiwanja nilisha nunua kina tofali kama 4000,Kokoto mende 3, mchanga mende 3, Tank za maji lita 4000. Nikatafuta mtaalam akanichorea ramani na kunifanyia tathmini ya ujenzi ni nyumba ya vyumba 3 master moja chini na kigorofa kina chumba kimoja master.
BOQ inahitaji 10m ya msingi tu nje ya material zilizoko site. Total garama ni kama 90m ujenzi kuisha. Kodi nilikua nalipa laki 4 na nusu nyumba ya room tatu. Ambayo ilikuwa kama 30km kutoka eneo langu la ofisi. Ikizingatiwa wife ni graduate kwa sasa hana kipato.
Mafuta ya gari almost laki 2na nusu kwa mwezi. Ikabidi nifanye màamuzi nitumie kama 7m kupata nyumba ya NHC ina vyumba 2, sebule jiko na public toilet, ambayo ipo 5km kutoka ofisini kwangu, na kodi ni laki 2 ambayo nailipa kila tareh 15 ya mwezi unaofuata.
Hii nilifanya ili niweze kushusha garama zangu za maisha ili kuweza kufanikisha dream house yangu. Wife alishauri kujenga servant house tuhamie ambayo ingegharimu kama 20 - 25m na site ipo 25km kutoka ofisini wazo Lake sikulipokea nikaamua on NHC apartments. Ambayo wife hana furaha nayo.
Ila mm natazama mbali kidogo na mwaka huu 2022 nataka nichukue ka mkopo wa miaka 3 angalau 40m ili nianze ujenzi na baada ya miaka 2 nifanye top up nichukue tena mkopo so nimejipa miaka 5 niwe nimekamilisha ujenzi. Tukumbuke hao watoto 2 nasomesha kama ada 4m kwa mwaka.
Haya maamuzi ni sahihi ??
BOQ inahitaji 10m ya msingi tu nje ya material zilizoko site. Total garama ni kama 90m ujenzi kuisha. Kodi nilikua nalipa laki 4 na nusu nyumba ya room tatu. Ambayo ilikuwa kama 30km kutoka eneo langu la ofisi. Ikizingatiwa wife ni graduate kwa sasa hana kipato.
Mafuta ya gari almost laki 2na nusu kwa mwezi. Ikabidi nifanye màamuzi nitumie kama 7m kupata nyumba ya NHC ina vyumba 2, sebule jiko na public toilet, ambayo ipo 5km kutoka ofisini kwangu, na kodi ni laki 2 ambayo nailipa kila tareh 15 ya mwezi unaofuata.
Hii nilifanya ili niweze kushusha garama zangu za maisha ili kuweza kufanikisha dream house yangu. Wife alishauri kujenga servant house tuhamie ambayo ingegharimu kama 20 - 25m na site ipo 25km kutoka ofisini wazo Lake sikulipokea nikaamua on NHC apartments. Ambayo wife hana furaha nayo.
Ila mm natazama mbali kidogo na mwaka huu 2022 nataka nichukue ka mkopo wa miaka 3 angalau 40m ili nianze ujenzi na baada ya miaka 2 nifanye top up nichukue tena mkopo so nimejipa miaka 5 niwe nimekamilisha ujenzi. Tukumbuke hao watoto 2 nasomesha kama ada 4m kwa mwaka.
Haya maamuzi ni sahihi ??