Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nimekuwa nikifuatilia mgogoro wa RPC Mponjoli Mwabulambo na ndugu Msukuma nikakumbuka Miaka Miwili iliyopita nliishi Jijini Mbeya na nikafanikiwa kukaa mpaka Tukuyu kikazi kwa Mwaka Mzima...
7 Reactions
303 Replies
43K Views
Swala aliyeamua kujiunga na simba kumuonyesha simba walipo swala wengine ili simba akawawinde, hata yeye swala hayupo salama
4 Reactions
1 Replies
110 Views
Tahakiki ya Tamko la Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba, kwa Wahariri, 25 Novemba 2025: Mazingira, Maudhui, Mapengo, Tathmini na Mapendekezo 1. UTANGULIZI KUHUSU TAMKO Waziri Mkuu wa Tanzania, Mwigulu...
14 Reactions
17 Replies
966 Views
Leo jioni Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba amepost propaganda mfu wanazozitengeneza huko CCM kuwakebehi na kuwajengea picha mbaya Wanamageuzi wa kweli wa Tanzania Tundu Lissu na Godbless Lema eti...
17 Reactions
38 Replies
3K Views
Wazee wanasema "Tumbo halina dini, huwa linamwabudu kila anayelilisha." kuna watu wanaabudu wanaowalisha wameshindwa kusema ukweli
1 Reactions
0 Replies
117 Views
  • Redirect
Waziri Mkuu wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba, amevituhumu vyama vya upinzani, hususan CHADEMA, kwa kile alichodai kuwa ni mkakati wa kutaka kuingiza nchi kwenye machafuko kwa kutumia kigezo cha...
0 Reactions
Replies
Views
Pamoja na umaarufu utajiri na network ya wazazi wake ameamua kufanya kazi ya kawaida kabisaa
19 Reactions
121 Replies
9K Views
Kama Polisi walishasema ushahidi tulionao wananchi ni "AI", ninyi mnataka mpewe nini tena? Hebu nendeni kwanza kwa Muliro akawaambie alijuaje huo ushahidi uliotumwa kwa Larry Madowo ni AI...
2 Reactions
5 Replies
178 Views
Huu ujinga uliofanywa na wapumbavu wasiojielewa na matahira waliojiita wakatoliki nitashangaa sana kama utaachwa hivi hivi. Wanaoweza kufanya upumbavu kama huo ni watu matahira wasiojua...
12 Reactions
15 Replies
444 Views
Tutafakari pamoja Wakuu Kwamba 'Wakatoliki' zaidi ya 100 wameandamana mpaka ubalozi wa Vatican bila ya kukamatwa licha ya polisi waliotanda barabarani, hawakuonekana kabisa mpaka wamefika na...
3 Reactions
11 Replies
311 Views
Mpaka warudi kuwa na umoja kama enzi zile itachukuwa muda sana. Kundi linalopinga rais Samia kupitishwa kugombea na msaafu Kikwete ni kubwa. Na hilo ndio mpaka sasa halikubali huu uongozi uliopo...
1 Reactions
0 Replies
133 Views
Ukweli: Siasa za Uongo zimefika mwisho hakuna siri kwa kizazi hiki hivyo tumeshaona mbinu za Uchawa zimepitwa na wakati. Technologia imebadilisha sana mambo miaka hii huwezi kudanganya watu...
27 Reactions
36 Replies
854 Views
Jina langu halisi naitwa Muhamed Awadh Mafwere. Ni inspekta wa polishi kikazi. Kwa amri toka juu, niliwaita washirika wetu akina Zuwena aliyejiita Rose, Zahra aliyejiita Sofia, Mahamoud...
7 Reactions
15 Replies
461 Views
π—ͺπ—”π—­π—œπ—₯π—œ π—žπ—’π— π—•π—’: π—˜π—Ÿπ—œπ— π—¨ π— π—Ÿπ—œπ—¬π—’π—œπ—£π—”π—§π—” π—œπ—ͺπ—˜ 𝗖𝗛𝗔𝗖𝗛𝗨 π—žπ—ͺ𝗔 π— π—”π—˜π—‘π——π—˜π—Ÿπ—˜π—’ 𝗬𝗔 π—§π—”π—œπ—™π—” Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amewatunuku vyeti wahitimu 900 wa ngazi...
0 Reactions
0 Replies
167 Views
Ndugu zangu Watanzania, Hotuba ya Rais Wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Imeonyesha Kuwapenda na kuwajali sana Watanzania. Ni...
0 Reactions
42 Replies
615 Views
Balozi Humphrey Polepole alitekwa na kupotezwa. Ajabu, serikali ya aliyekuwa kamteua iko kimya! Nini kifanyike ukweli na haki vite vitendeke? Tunangojwa amaduriwe Rais ndipo wahusika wawajibike...
3 Reactions
23 Replies
452 Views
Si siri wala uzushi. Tanzania sasa inaongozwa na waislam wakiongozwa na sheha na mashehena wao waliojaa uchu, uroho, uzwazwa kiasi cha kuwa vipofu wa balaa wanaloandaa. Tangu yafanyike maandamano...
4 Reactions
5 Replies
224 Views
Watangazaji wa Clouds FM wa kipindi cha Power Breakfast wakifanya yao kwa wakatoli 120 walioshitaki Padre Kitima ni watu wanaofanya vizuri lakini hawapo sehemu sahihi lakini credit kwao message...
28 Reactions
41 Replies
1K Views
Anonymous
Kumekua na kukithili kwa porojo za kisiasa juu ya sekta ya afya nchini, hali inayopelekea huduma kuendelea kuwa duni na zisizoridhisha. Jambo moja wapo ni hili la kupitiwa na kubadilishwa kwa...
3 Reactions
4 Replies
297 Views
Sijui walahi! Naambiwa hapa kuna jambo lingetokea leo lakini limeahirishwa mpaka kesho huko Dar. Mliopo Dar mkae vizuri na mtujuze nini chaendelea huko. Mambo yashafana. Hiyo miili mtaila nyama...
26 Reactions
298 Replies
14K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…