Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

On JF:

Tunatoa mafunzo ya biashara kwa vijana mbalimbali. Tuna kampuni na leseni halali ya kutoa mafunzo haya. Tunafikiria kuanza kutoa "Certificate of attendance" kwa wahitimu. Je taratibu gani za...
0 Reactions
1 Replies
769 Views
Natumaini humu jukwaani nitapata ushauri nini cha kufanya, Sisi baba yetu alifariki dunia mwaka jana mwezi wa nne,sasa kwenye bank ya NMB walituambia baada ya kufuatilia mirathi mahakamani mje...
0 Reactions
0 Replies
901 Views
Mimi nasoma chuo kikuu hapa Tanzania. Mwaka jana mwezi wa tisa nilinunua plot lakini niliporudi chuo ndugu zake na muuzaji ambao ni wa kike walienda mahakamani wakidai mimi na mwenyekiti wa mtaa...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Baada ya stori kuenea kwamba Mwigizaji RAY anahusika moja kwa moja na kifo cha mwigizaji STEVEN KANUMBA, mwigizaji huyo amezungumza yafuatayo kwenye AMPLIFAYA ya CLOUDS FM. Amesema "Nimekua...
1 Reactions
146 Replies
30K Views
how far is the doctrine of constitutionalism reflected in Tanzania?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Msaada wa kesheria-Kukosekana hati halisi za muungano kunashiria nini kisheria?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu wadau! Kuna mwanamke mmoja nilishawahi kuwa nae kimapenzi na baadae bahati akapata mimba, tukapata mtoto mmoja. nikajaribu kumweka ndani awe mke wangu, tulikaa miaka miwili pamoja, alikua...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nimekuwa nikisikia kutoka kwa maafisa mbalimbali ya kwamba kuna mabadiliko yalifanywa kwenye Public Service Standing Orders, 2009, mabadiliko hayo yanaruhusu watumishi wapya kulipwa posho ya siku...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habari wana jf Mimi nikuwasuspended from job for unknown period. Je naweza nikarisign?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naomba kufahamishwa kama kuna Barristers Lawyers hapa Tanzania na ni nani?
0 Reactions
0 Replies
746 Views
Msaada wana Jamvini Mimi ni mfanyakazi wa taasisi fulani hapa Dar. niliaanza kazi tarehe 01/04/2013 mwajiri wangu hakunipa mkataba wowote wa maandishi.. lakini baada ya miezi 3 akanipandishia...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
naomba kujuzwa tofauti kati ya hakimu mkazi na hakimu mfawidhi na hakimu wa kawaida...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nilimsikia Jaji mkuu akieleza kuwa wanaompango wa kufuta kesi zote zilizozidi miaka 2 hata kama ni za jinai!hii ikoje?Je imeshaanza kutekekezeka? Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF - Hii imekaa vipi Jamani.... Hili hapa ni kosa alilofanya, kanuni aliyovunja na adhabu yake - Kosa -Kwa kujibu hotuba ya Jaji Warioba badala ya Kuzindua Bunge kama ratiba ilivykuwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Heshima kwenu nyote. Namuomba yeyote mwenye soft copy ya CONSTITUTIONAL REVIEW ACT CAP 83 (R.E 2013) anisaidie kuipost hapa it is urgently needed. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
0 Replies
939 Views
Habari wana jamvi,,,nnimeacha kazi,nitachukua muda gani kupata pesa zangu za nssf
0 Reactions
5 Replies
2K Views
kiwanja changu hakijapimwa lakini mwenyekiti wa serikali ya mtaa ameamua sehemu ya kiwanja change kuwa barabara labda sababu nimechelewa kujenga, naomba ushauri katika hili
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Heshima kwenu wakuu. naangalia Itv Huyu wakili anaelezea vizuri sana kuhusu mambo ya bunge la katiba...fuatilia
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari wakuu!! Naomba msaada katika hili.. Nipo Zambia nahitaji msaada wa kisheria, naweza kwenda wap ili nipate msaada, vp kwenye balozi huwa zinahusika kutoa msaada kwa raia endapo anahitaj...
0 Reactions
1 Replies
815 Views
Taasisi ya kupambana na rushwa ina kurugenzi nne zinazo saidiana katika utimjzaji wa lengo la kuzia na kupambana na rushwa Tanzania bara. Kurugenzi hizo ni 1. Dirrctor of investigation 2...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom