Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

On JF:

Mwenzenu ni mwanachuo, nasoma sheria, na sisi ndiyo wa kwanza kuanzisha faculty hii hapa chuoni, hivyo hatuna msaada sana, Hivyo basi nitawasumbua sana naomb msichoke. tatizo langu kwa sasa...
0 Reactions
1 Replies
986 Views
hi, mi nna swali - nahitaji kufahamu WHAT ARE GROUNDS OF APPEAL? Anaye fahamu anifahamishe pls
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wakuu nimeanzisha uzi wa kutoa darasa la masuala ya jinai karibuni kwa maswali na mjadala kwa ujumla.
0 Reactions
21 Replies
6K Views
msaada juu ya hili, je kuna uhalali wa vikao vya bunge maalum la katiba kuendelea baada ya baadhi ya wajumbe kutoka? na kama kuna uhalali, sharia inasemaje kuhusu waliotoka? na kama hamna uhalali...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Mfanyakazi afanye nini kupata hakiyake anapoachishwa kazi wakati mwajiri hajapeleka michango mf.nssf kwa miaka mingi.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
habari wapendwa mimi nipo macho, mwanangu mida ya saa saba amepata homa kali sana nimempima akawa 39 nimempa dawa ya kushusha joto afadhari sasa nangoja asubuhi nimpeleke kwa dk koja kinondoni ni...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Who will arrest the decline in image of our policemen? Being a police officer in East Africa has never been easy. But when the media aims directly at you, when...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Greetings to all great thinkers!!! Nahitaji kuanzisha kitu kama kampuni au shirika fulani hivi kwa ajili ya ukopeshaji wa mikopo kwa wanajamii, naomba yeyote anayejua taratibu zinazotakiwa...
0 Reactions
0 Replies
869 Views
please nisaidien, what are the types of style of judicial opinion?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wenye habari zaidi ya nini kilichomsibu dada huyu mpole na mwenye umri mdogo hadi kuletekeza kifo chake atusimulie pls!
0 Reactions
13 Replies
5K Views
The Open University Of Tanzania has been ranked as the best Open & Distance Learning (ODL) University in East and Africa at large. Source: Germany Investigation Co-operation.
0 Reactions
0 Replies
763 Views
S.8 of the Penal Code CAP 16 R.E.2002 talk about ignorance of the law nat to afford any xcuse fo any act or omission wich would otherwise constitute an offence....this has no problem with me.....I...
0 Reactions
3 Replies
972 Views
Kwanza salaam. Nilinunua laptop tar 31.1.2014. Arusha mjini na nikapew warranty ya mwaka mmoja. Baada ya kuitumia kwa miez 2 imekufa spika nikaipeleka tar 10 mwez huu, wakaniambia baada...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mimi nimeajiriwa katika kampuni ya wahindi. Nina ajira nao ya kudumu (permanent) huu ni mwaka wa 3 sasa. Juzi niliumwa sana nikaenda hospitalini. Baada ya vipimo dr anasema nahitaji vipimo zaidi...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
wakuu salama humu naomba mnijuze ni taratibu gani za kufuata wakati wa kununua ardhi ambayo haijasajiriwa au inayomilikiwa kimila (yaan haina hati) maana land act haijazungumzia utaratibu kwa...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Ikiwa rasimu ya katiba ikajadiliwa katika bunge maalumu la katiba, kisha ikakubalika na kupitishwa ili ije kwa wananchi kwa ajili ya referendum, na pia katika referendum ikapita kwa kura nyingi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mim nina biashara zangu ninazofanya kama shughuli ya ziada ya kujiongezea kipato, kuna mtu alikuja na kuchukua vitu vyenye thamani ya tsh 400000 mwezi wa 12 mwaka jana na makubaliano ilikuwa alipe...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Leo asubuhi katika kipindi cha tuongee asubuhi Star Tv, nimemsikiliza mwanasheria mmoja akitetea serikali 2 nchi 2 Tanzania. Kwa kweli huyu jamaa anatiashaka amepata wapi taaluma ya sheria alikuwa...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Na KENYA NEWS AGENCY Imepakiwa - Monday, April 14 2014 at 17:12 Kwa Mukhtasari Mwanamume mwenye umri wa makamo, amesukumwa jela kwa miaka 15 na mahakama mjini Iten, kwa kumwambukiza mwanamke...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
It was obvious evidenced by those who was following the const'n bunge where the ssm wajumbe from zanzibar they were saying with all confidences trying to confront the tanzanians from zanzibar...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom