Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

On JF:

Mimi nilifiwa na mzazi wangu wa kiume ambaye alikuwa mwajiriwa serikalini. Baada ya mazishi kikao cha wanandugu kilimteua baba mdogo kama mfuatiliaji wa mirathi. Lakini tangu kuteuliwa kwake huyo...
0 Reactions
8 Replies
9K Views
Nina ndugu yangu alikuwa ameolewa ndoa kanisani, waliishi miaka 12 ya ndoa. Mume akaja kuanzisha maisha mapya na mwanamke mwingine, alikuwa ni mwanajeshi wanaishi katika nyumba za jeshi mke...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Tafadhali ianze moja walau tujue kila kipengele asante
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ni mtoto wa mama mwingine ambapo 1 hakuwepo kwenye msiba wa babake,na alipokuja hakwenda kuliona kaburi,alipoambiwa atoe viambata for mirathi akadai hana haja nayo na hakutoa sapoti,binamu kawekwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama mtu umeajiliwa na kupewa muda wa probation na kwa sasa ni miezi miwili imepita na mwajili wako hajasema lolote either kuongeza muda wa probation au vinginevyo. Je ni hatua gani kisheria...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
what are the basic foundations of legal systems
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nilifanya biashara na jamaa yangu nikiwa kama mcmamiz mkuu,lakni baadae nikajikuta nina los ambayo mwenyewe ckujua imetoka wap.Ndipo niliamua kukimbia bila yeye taarifa lakni ktkt mtaji wetu tulio...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu wadau,naomba kuuliza ni hatua gani mtu asiyekuwa na cheti cha kuzaliwa anaweza fuata ili apate na gharama ni shi ngap kupata hicho cheti makao makuu na itachukua muda gani?,thanx kwa...
1 Reactions
5 Replies
6K Views
Leo nimeangalia video clip ya Zari the boss lady alipokuwa akifanya mapenzi na mchepuko wake mwingine, siyo Diamond. Zari mwenyewe kupitia ukurasa wake wa facebook aliandika kupinga sana kitendo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa kutambua kuwa humu kuna watu wanaojua sharia hizi vizuri, naomba maelekezo mazuri , sharia namba 45 ya mamlaka za miji inaelezea juu ya wajumbe wa baraza kuwa ni wenyeviti waliochagulia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hivi ikatokea wachumba wamefunga NDOA bila kupima HIV. Baada ya miezi mitatu kupita mkaenada kupima na kugundua mmoja wenu ni HIV POSTIVE na mwingine ni HIV NEGATIVE.......je sheria inawaruhusu...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Poleni na majukumu ya kazi ndugu zangu. Ndugu zangu nahitaji kufanya usajili wa kampuni binafsi, nimepitia maelezo mbali mbali nilio kutana nayo huko mitandaoni namna ya kuanzisha kampuni...
0 Reactions
14 Replies
18K Views
Simba wanane waliotoka nje ya Hifadhi ya Taifa ya Tarangire na kuingia eneo la Kijiji cha Kibaoni wilayani Babati mkoani Manyara, wameuawa kwa kuchomwa mikuki na wananchi. Kijiji cha Kibaoni kipo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naomba kujua sheria inatamka nini, kima cha chini cha mshahara katika sekta ya mawasiliano?
0 Reactions
0 Replies
821 Views
Wakuu naombeni msaada wa kisheria,mwezi wa 8 nilikamatwa na police na hatmae ndg zangu kunitoa kw dhamana.hata hvo walniambia lazma niwe na riport central police kila baada ya wik ,na toka mwzhuo...
0 Reactions
45 Replies
6K Views
hivi askari anapotumwa kwenda kumkamata mtu ni haki gani anayokuwanayo mtu yule anaetaka kuchukuliwa na polisi kupelekwa kituoni ikiwa hana chochote anachokifahamu kinachoendelea.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu zangu wanasheria nahitaji kufahamu taasisi ipi inaweza kunisaidia katika mchakato wa talaka uliopo mahakamani ili kupata haki na stahiki zangu na watoto bila kutozwa fedha? shauri langu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
what does the term commission report means
0 Reactions
0 Replies
631 Views
Kwa wenye uelewa naomba kujua hapa nchini kwetu kuna adhabu gan imewekwa kwa mtu atakae piga/sambaza picha za uchi,mwenye uelewa naomba msaada
0 Reactions
0 Replies
6K Views
the national language of tz is kiswahl but why the mother law of the land is both english and kiswahili?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom