Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Wakuu nahitaji kujua upikaji wa aina hii ya nyama kwani kwangu mi ni mashikoro mageni ....hapa ninapofanyia shughuli zangu Kuna duka wanauza hii kitu huwa natamani ninunue ila naogopa inaweza...
0 Reactions
9 Replies
8K Views
Za jioni wapendwa! Pishi la leo km jina linavyojieleza...samahani kwa wasiotumia sukari.. 1) Katika suria ndogo kiasi weka sukari 5-6 tbsp. Yayusha kwenye moto mdogo mdogo huku ukiizungusha...
6 Reactions
22 Replies
8K Views
Kuna raw foods "movement" duniani, yaani jamaa wanaokula vyakula visivyopikwa. Kuna mwenye experience hiyo humu jf atielezee faida zake?
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Nna hamu ya viazi vitamu balaa, ila hunisababishia kiungulia hatari. Sasa natafuta njia ya kuvi-pimp kupunguza kiungulia. Je, naweza kufanya 'mashed potato'? Sijawahi jaribu viazi vitamu...
3 Reactions
15 Replies
6K Views
Onion Soup Diana Herrington | February 20, 2012 | 1 Comment This is a very simple soup to make. Ingredients: 1 yellow...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Watermelon Soup Diana Herrington | July 15, 2012 | 0 Comments Ingredients 4 cups cubed seeded watermelon 2 tablespoons...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Tafadhali kwa yeyote anayejua atusaidie namna ya kuwatengeneza hy kuku naona wife anahangaika kutafuta. formula.
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Mahitaji ya mseto Mchele vikombe viwili Choroko vikombe vitatu Tui bubu kikombe kimoja Jinsi ya kutayarisha Chemsha choroko mpaka ziive,punguza kiasi weka kando.Weka mchele ulooshwa kwenye...
8 Reactions
27 Replies
11K Views
Tazama video hiyo kisha toa maoni.
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Napenda sana hii kitu nikila najiuliza hivi wanatengenezaje?
0 Reactions
0 Replies
6K Views
kama huja jaribu jaribu leo na huu ndi msimu wenyewe!
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Soseji ni kitafunwa kinachopendwa sana,na hutumika sana kama sehem ya kifungua kinywa.Ni namna nyingine ya kuhakikisha unapata protini kwenye kifungua kinywa. Hata ivyo soseji huweza kutumika...
1 Reactions
7 Replies
16K Views
hii ni namna ya kutengeneza CURRY nyumbani kwako. KARIBU Korma paste 2 cloves of garlic / a thumb-sized piece of fresh root ginger / ½ teaspoon cayenne pepper / 1 teaspoon garam masala / ½...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Pishi la Pweza Vipimo Pweza 1 Kilo Mafuta ½ kikombe Chumvi...
2 Reactions
4 Replies
5K Views
Wapendwa za J1.. Kuna recipe hii ningependa kushare nanyi.. Unga mug 1 na robo Mtindi plain mug moja Sukari vijiko 7 Mayai 2 Samli aseel vijiko 4(unaweza tumia mafuta 1/2 mug) Vanilla 1-2 tbs...
5 Reactions
43 Replies
7K Views
Kuku 1 Tangawizi Kitunguu thomu 1 teaspoon Orange juice 2 glasses waweza kamua fresh orange au orange juice ambayo 100% alafu no sugar added Chumvi kiasi Chungwa moja kwa ajili...
9 Reactions
30 Replies
3K Views
Type 1 Mahitaji Majani ya salad Samaki asie na miba wa kuchemsha bila ya viungo weka chumvi (unaweza tumia samaki wa kikopo) Nyanya 1 kubwa Kitunguu maji kidogo sana 1 Pilipili...
9 Reactions
43 Replies
5K Views
Wana jiko!! Ni mda sasa nimekua nikienjoy mapishi ya chef wetu farkhina. Naomba nami niwaekeeni kaujuzi hapa wa kutengeneza mkate simple wa ufuta!! Mahitaji; Unga vikombe 2 Maziwa kikombe 1na...
5 Reactions
52 Replies
11K Views
Nimejipiga mwenyewe nikanunua azam unga,maziwa,samli,mayai. Nikachemsha samli iyeyuke nikachanganya unga,yai moja,chumvi kidogo,na sukari kiduchu kwa ladha maji yakawa maziwa nikakanda weee mpaka...
1 Reactions
21 Replies
14K Views
unachukua fish fillets au meat fillets unazikaanga na mafuta kidogo na vinegar kwa mbali kisha unapasulia yai lisilovurugwa juu yake unaacha kwenye moto kama dak 5 kisha unaopoa! unakuwa na...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom