Wakuu nahitaji kujua upikaji wa aina hii ya nyama kwani kwangu mi ni mashikoro mageni ....hapa ninapofanyia shughuli zangu Kuna duka wanauza hii kitu huwa natamani ninunue ila naogopa inaweza...
Za jioni wapendwa!
Pishi la leo km jina linavyojieleza...samahani kwa wasiotumia sukari..
1) Katika suria ndogo kiasi weka sukari 5-6 tbsp. Yayusha kwenye moto mdogo mdogo huku ukiizungusha...
Nna hamu ya viazi vitamu balaa, ila hunisababishia kiungulia hatari.
Sasa natafuta njia ya kuvi-pimp kupunguza kiungulia.
Je, naweza kufanya 'mashed potato'? Sijawahi jaribu viazi vitamu...
Soseji ni kitafunwa kinachopendwa sana,na hutumika sana kama sehem ya kifungua kinywa.Ni namna nyingine ya kuhakikisha unapata protini kwenye kifungua kinywa.
Hata ivyo soseji huweza kutumika...
hii ni namna ya kutengeneza CURRY nyumbani kwako. KARIBU
Korma paste
2 cloves of garlic / a thumb-sized piece of fresh root ginger / ½ teaspoon cayenne pepper / 1 teaspoon garam masala / ½...
Kuku 1
Tangawizi
Kitunguu thomu 1 teaspoon
Orange juice 2 glasses waweza kamua fresh orange au orange juice ambayo 100% alafu no sugar added
Chumvi kiasi
Chungwa moja kwa ajili...
Type 1
Mahitaji
Majani ya salad
Samaki asie na miba wa kuchemsha bila ya viungo weka chumvi (unaweza tumia samaki wa kikopo)
Nyanya 1 kubwa
Kitunguu maji kidogo sana 1
Pilipili...
Wana jiko!! Ni mda sasa nimekua nikienjoy mapishi ya chef wetu farkhina. Naomba nami niwaekeeni kaujuzi hapa wa kutengeneza mkate simple wa ufuta!!
Mahitaji;
Unga vikombe 2
Maziwa kikombe 1na...
unachukua fish fillets au meat fillets unazikaanga na mafuta kidogo na vinegar kwa mbali kisha unapasulia yai lisilovurugwa juu yake unaacha kwenye moto kama dak 5 kisha unaopoa! unakuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.