Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
JIFUNZE KUPIKA WALI WA SAUSAGE NA MBOGA MAJANI MCHANGANYIKO JIFUNZE KUPIKA MBOGA MAJANI NA MCHANGAKO WA WALI NA SAUSAGE MAHITAJI 3 vipande vya sausage 1 fungu la majani ya...
3 Reactions
17 Replies
11K Views
Naamini kila mtu anajua kuchemsha kuku na kukaanga, ni pishi la kawaida sana. Ingawa pishi hili ni rahisi, watu wengi wanalikosea sana,na matokeo ya pishi lao hayawi mazuri.Unaposoma pishi hili na...
7 Reactions
32 Replies
58K Views
1) Kunde.... (za kupaaza) kg 1/2 2) Pilipili mboga 1/2.. 3) Kitunguu maji 1/2. 4) Kitunguu saumu 1/2teaspoon 5) Chumvi kiasi.... 6) Baking powder/hamira 1tablespoon 7) Mafuta ya kupikia 8)...
7 Reactions
62 Replies
20K Views
Hello Mods I think you will agree with me kwamba hamna kitu muhimu hapa duniani kama Kula (apart from Praying and Believing in your Religions) Watu wa dini na makabila tofauti wanaweza...
1 Reactions
152 Replies
50K Views
Ingredients 1 medium onion, finely chopped 1 tablespoon coconut oil 1 1/2 tablespoons minced peeled fresh ginger 2 teaspoons ground cumin 1 teaspoon ground coriander 1/4 teaspoon cardamon...
4 Reactions
7 Replies
2K Views
Tafadhali anayeweza kunifahamisha mchanganyiko wa prawns,pweza, ngisi na kingfish inachanganywa na kuwa rojo kama ina utamu fulani wa sukari
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Hello there, mambo vipi? mihangaiko je. .anayejua kupika sombe Ile yakikongo wanayotumia oxtail meet na mawese please naomba unielekeze please. Thanks.
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Jamani nitapata wapi hii kitu kwa hapa D'salaam
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Weka futari(chakula) upendacho kula na unahitaji kupika ila tu hukijui/umesahau namna ya kupika tutakumbushana biidhnillah en shaAllah...... Mrs Kharusy Angel Nylon rasai Ennie gorgeousmimi na...
7 Reactions
124 Replies
20K Views
Vipimo Nyanya za mshumaa/chungu 20 kiasi Kitunguu 1 Nyanya/tungule...
0 Reactions
3 Replies
8K Views
najua huku kuna wataalam kedekede nawahitaji. nawe bi farkhina njoo upande huu
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mahitaji Unga wa ngano vikombe 2 Sukari nusu na robo kikombe Mafuta ya kupikia nusu kikombe Yogourt vijiko 3 vya kulia Baking powder kijiko 1 cha chai Mayai 3 Namna ya kutengeneza 1)changanya...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Mahitaji 1)Unga kikombe 1 2)1/2 kikombe cha yogurt na maji kidogo waweza tumia tui la nazi pia. 3)siagi ama samli 1tablespoon 4)1 teaspoon ya hamira Shira (sugar syrup) 1)Sukari kikombe 1 2)maji...
7 Reactions
37 Replies
21K Views
Naomba mnielekeze namna nzuri ya kuhifadhi ndizi mbichi za kupika ili ziweze kukaa muda mrefu bila kuiva.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
jaribu mapishi haya ya cut-lessi :- Viazi vyakuponda na nyama ya kima.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari zenu wana Jamii, Hivi karibuni nimepata wazo la kuanzisha biashara ya chakula ila nina shida ya mwalimu wa mapishi, sana sanaa ni utengenezaji wa SALAD za aina mbalimbali,naomba msaada...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Wanaukumbi. Naamini kila mtu anajua kuchemsha kuku na kukaanga,ni pishi la kawaida sana. Ingawa pishi hili ni rahisi,watu wengi wanalikosea sana,na matokeo ya pishi lao hayawi...
2 Reactions
3 Replies
3K Views
PIA NITAKUPATIA RECIPE SAFI KABISA YA KITAFUNWA HIKI CHA KARANGA NA CHOCOLATE RECIPE SAFI KABISA YA KITAFUNWA HIKI CHA KARANGA NA CHOCOLATE MAHITAJI 360 gram peanut butter 1 kg high...
0 Reactions
25 Replies
12K Views
Mahitaji 1.Njegere 2.Carrot 3.Viazi 4.Mayonnaise chemsha njegere zako..bt make sure zisiwe laini i mean ziive enough kwa kula,fanya hvyo kwa viazi na carrot pia..viazi na carrot vinapendeza...
3 Reactions
17 Replies
10K Views
Wanaukumbi. Tambi za mayai ni moja kati ya vyakula ambavyo napenda kuandaa pale ninapokua ninaharaka au sina muda mrefu wakukaa jikoni.pishi hili huchukuca muda mfupi sana nanimlo...
10 Reactions
27 Replies
12K Views
Back
Top Bottom