Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Supu ya nyama ina nini cha ziada Mimi naona kama ni maji tu,unakuta mtu anakunywa mapombe too much akiamini supu yenye kakipande kamoja cha nyama inasaidia kutibu madhara ya pombe alizokunywa. At...
4 Reactions
10 Replies
545 Views
Hivi sio vyakula bali ni vichocheo vya kula nyama zaidi. KICHURI Kichuri kinatengenezwa na kutokana chakula ambacho hakijameng'enywa ndani ya tumbo la mnyama kinachanganywa na ndimu au limao...
4 Reactions
9 Replies
542 Views
Habari wakuu. Natamani nifanye jiko la nyumbani kwangu liwe la tofauti kidogo na nimeona Kuna hizi sufuria za non stick ambazo zimekuwa maarufu sana. Naomba mwenye kuzijua vizuri anielezee sifa...
3 Reactions
59 Replies
4K Views
Wakuu, Mimi nakumbuka nilijaribu kupika wali. Nikaandaa kila kitu freshi, weka mchele wangu safiii πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Wakuu nilitoa bokoboko si la nchi hii, jina likabadilishwa fasta nikaanza kuitwa...
9 Reactions
94 Replies
4K Views
PAGE I Chakula ukikizingatia unaweza kuenjoy sana maisha siyo kula kula tu. Ila jua nini wewe roho yako inapenda na unataka uleje na kipikweje. Wapo watu wengi wana hela ila hawaenjoy kabisa...
10 Reactions
91 Replies
2K Views
Matayatisho Iliki ,tangawizi ya kusaga ,majani ya chai , maziwa na maji na sukati Jinsi ya kuitengeneza Ni rahisi sana ufundi ni kidogo Chemsha maji yachemke kabisa kama robo lita hivi ongeza...
13 Reactions
59 Replies
9K Views
Kongole kwa wanawake wote mnaotupikia waume zenu vizuri, nyie ndio mnaotufanya tunawiri. Sasa kwa msosi kama huu nakupigaje goli moja kwamfano πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹
26 Reactions
124 Replies
6K Views
Mahitaji 1. utumbo 1kg 2. Mchicha fungu 2 3. kitunguu 1 4. karoti 1 5. pilipili hoho 1 6. currypowder 7. chumvi 8. Tangawizi 9. Limao 10. Nazi / karanga MAANDALIZI 1. Bandika utumbo wako jikoni...
7 Reactions
18 Replies
23K Views
MABUNDA ni aina ya chakula cha asili cha Afrika ambacho ni rahisi kukiandaa. Pia kinajulikana kama MKATE WA NDIZI Kwa lugha nyingine.Ni chakula kilicho katika mfumo wa mkate ila hiki upikwa na...
5 Reactions
15 Replies
15K Views
Wazee wa maakuli, leo tunauanza mwaka mwaka mpya, naamini uko mzima wa afya. Tumeuanza mwaka na msosi gani leo? Mimi nimepiga ndizi bukoba na dagaahapa safii, utamu unafika hadi kisogoni.
3 Reactions
45 Replies
884 Views
Wakuu...kwa sisi mabachela hapa tunapata pilau safi kabisa..nimekula kwa Mara ya kwanza nikaongeza sahani ya pili imebidi niifunge maana nilijiaona sijashiba kabisa..halafu so kula sahani mbili...
6 Reactions
43 Replies
2K Views
Tembea uone, Nimeenda huko kunakosifiwa kwa mapenzi na mapishi, nimekutan na mboga ya ajabu sana sijawahi kuiona. Inaotwa hombo za/ja Mungu, yani ni kama vile hina, au majani ya chai...
5 Reactions
45 Replies
2K Views
Wazee wa madikodiko kwema? Xmas hiyo inakuja, umejipanga kutoka na sotojo gani? Kwa upande wangu najua pilau na juice moja matata havitakosa kwenye menu yangu, vingine hivyo vitakuwa vya ziada...
2 Reactions
26 Replies
829 Views
Habari wakuu Naomba kujua Curry powder ipi ni bora zaidi kwa sasa ambayo inaweza fanya mboga yangu ya bamia na nyanyachungu zitaste kama nyama roast.
1 Reactions
8 Replies
910 Views
Jinsi ya kutengeneza juice nzuri ya embe, anayejua tafadhari. Mtaani maembe kibao.
1 Reactions
9 Replies
19K Views
Sikuwa nakifahamu! Lakini miaka michache baada ya kusikia kikielezewa, nilifanikiwa kukila. Mara yangu ya kwanza kuila ilikuwa ni Jumatatu, 28/06/2021, Zanzibar, kwenye mghahawa uitwao ZANZI BBQ...
3 Reactions
38 Replies
2K Views
Kuna restaurant nimeingia nikaona wameandika kuna mtori ... dah... Ile kuagiza mtori si ndo nikagundua wana saga na blender ndizi zilizochemshwa wanachanganya na nyama ndo wanasema mtori ...
14 Reactions
53 Replies
3K Views
Nauliza wajuzi, hiki ni kinaitwaje na kina kazi gani, kwenye mapishi ya chakula masna nimekikuta kwenye seti ya vifaa vya mapishi niliyonunua
0 Reactions
4 Replies
709 Views
Ndg zangu. Kipindi hiki ni wiki moja watoto wakiwa wameanza likizo napenda sana kuwafundusha mapishi mbalimbali. Tukiwa jikoni yaani ni kama hotelier vile. Sasa sijui wife anawaza nini ndoa...
4 Reactions
20 Replies
728 Views
Wana jamii naomba maujuzi ya kupika wali kwa gesi hadi kuukausha kwake.
2 Reactions
109 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…