Habari zenu wa Jf wote.
Mimi nipo naishi Arusha.
Nilikuwa nauliza wapi nitaweza kupata chuo cha kujifunza lugha ya kichina ?
Mwenye kufahamu awasiliane nami kwa email ya iddyallyninga@Gmail.com...
Habari ndugu, Excellent Training Center ni kituo cha kufundisha masomo ya QT na wanaorudia form IV, pia tunafundisha Elimu ya Watu Wazima wasio jua kusoma na kuandika. Kwa miaka yote tumekuwa...
Nini tofauti kati ya Makamu wa Rais, Naibu Rais na Kaimu Rais. Kwa uelewa kidogo nilionao naona kiutendaji Naibu Rais ana nguvu kuliko Makamu wa Rais.
Je, imekaaje vyote ni sawa au kunautofauti...
SHAIRI: KWANINI TWAKICHAFUA KIOO?
MTUNZI: MULIKUZA PASCHAL
Mara nyingi huwa hakidanganyi kile kionacho,
Huonyesha taswira iliyopo mbele yake bila mficho,
Haijalishi taswira ina muonekano gani kwa...
TWAKIMBIA TARAWEHE.
1)Ni Mara moja kwa mwaka,swala hii twaipata
Ingawa tunairuka,bila nafsi kutusuta
Nyumbani twa tawanyika,nini twaenda tafuta
Twakimbia tarawehe,kama tumeona nyoka...
Misamiati Mipya ya Kiswahili
Vitate, Vitawe na Visawe
3 days ago
ICU (intesive care unit) = SADARUKI.
Serikali ya Mseto (coalition government) = SERIKALI MAHUTUTI.
CHIMBUKO LA VINA NA MIZANI KATIKA USHAIRI WA KISWAHILI
KURUNZI YA USHAIRI
Kabla ya kujikita katika vina na mizani si budi tukaangalia kwa muhtasari chimbuko la ushairi wa Kiswahili. Licha ya...
RIWAYA YA KISWAHILI NA SIFA ZAKE
RIWAYA YA KISWAHILI
NUKUU ZA SOMO:
MAANA YA RIWAYA NA AINA ZA RIWAYA:
Riwaya imefasiliwa na wataalamu mbalimbali miongoni mwao nikama...
MADA MPYA 3: KUHAKIKI KAZI YA FASIHI ANDISHI
MADA NDOGO: MAENDELEO YA FASIHI ANDISHI.
A.Mwelekeo wa kazi za fasihi andishi nchini Tanganyika na Zanzibar wakati wa ukoloni.
KIMAUDHUI:
Kazi...
Haloo Nai, Natumaini hujambo. Kule chitchat uliniomba nikufundishe Kichaga cha Mkuu Rombo. Bila shaka ulikuwa serious, ulikuwa hutanii. Nakuletea somo hilo kwenye hili jukwaa maalum kwa ajili...
Kwa heshima kubwa nakuomba Dr. Slaa ambaye najua umo humu jamvini unisaidie kunipa maana na tofauti ya maneno haya Waraka na Tamko.
Nimekuja kwako Dr kwa kuwa najua wewe ni mbobezi katika mambo...
BOOKS FESTIVAL NI NINI ?
Ni Tamasha la namna ya pekee kutokea Tanzania mahali ambapo Waandishi wa vitabu, wasomaji na wabunifu wa kitanzania hukutana pamoja. Kupeana udhoefu ili kujenga nchi yao...
Neno NDULI ,nimelisikia kwa mara ya kwanza ktk hotuba za mwl,Nyerere ,kwa kumtaja adui wa taifa kwa wakati ule.
Nduli idi Amini wa uganda.
hivi hili neno maana yake hasa ni nini?je ni neno la...
Wakuu,
Mimi ni mdau wa lugha ya Kiingereza. Paragraph hii ya chini nimeandika mwenyewe kwa misamiati ambayo sio ya kubuni, ipo kwenye Dictionary kabisa na wala sio misamiati ya kifamasia, ni...
Samahanini wadau kwa yoyote ambae amesoma English course pale British council.
Wenye idea ya hapo nataka kusoma English course, kuongea. Kuandia kiingereza naweza kukuandikia kitabu kizima...