EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Wakuu nimekuwa nikisoma hapa jamvini na kwingineko watu wanapoandika wanabadilisha matumizi ya herufi L and R kwenye maneno. Kwa mfano, unakuta mtu anaandika daradara badala ya daladala, kibari badala ya kibali, foreni badala ya foleni n.k. Kwa mfano pitia hii thread: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-msamaha-wa-kufuata-sheria-za-barabarani.html.
Wakuu wa lugha, hivi hii inasababishwa na nini? Kuna sababu za msingi zinazofanya watu waandike hivyo? Hivi watu kama hawa wanapongea huwa pia wanatumia herufi R badala ya L au ni kwenye maandishi tuu?
Wakuu wa lugha, hivi hii inasababishwa na nini? Kuna sababu za msingi zinazofanya watu waandike hivyo? Hivi watu kama hawa wanapongea huwa pia wanatumia herufi R badala ya L au ni kwenye maandishi tuu?