Hamjambo ndg zangu watanzania kwanza samahani kama nimeonesha ukabila katika kingereza kuna compound words mf. massmedia ambapo mass lina maana yake na media kivyake lakini yakiungana inaleta...
Nilisikia linatumika kwenye vyombo vya habari, lakini hadi sasa nimejitahidi kujuwa
maana halisi ya hili neno lakini sikufanikiwa. Lakini nahisi Wazanzibar wanafahamu vizuri maana naona lilitumika...
Habari Wadau wa Lugha ya Kiswahili!
Mimi ni mdau wa lugha ya Kiswahili.
Nimekuwa nikijaribu kukieneza Kiswahili hasa kwa njia ya mtandao, hivyo nimeona si vibaya nikibadilishana uzoefu na wadau...
Wakuu habari ya majukumu ya kutwa. nina rafiki yangu anaomba nimsaidie katika kujifunza lugha ya kiswahili. Tatizo sina muongozo wa kumfundishia, naomba kwa yeyote aliyenao anisaidie. Natanguliza...
Mfano matumizi ya neno la kiswahili BARAZA kufasiri maneno yafuatayo.
Veranda-BARAZA
Cabinet-BARAZA La Mawaziri
House of Representative-BARAZA La Wawakilishi
Ward Tribunal-BARAZA La Kata...
Kwakweli kabisa yajayo yanafurahisha!
Nilikuwa nafikiri 'MAKINIKIA' ni neno jipya, lakini baadaye nikagundua limo kwenye kamusi!
Sasa nawaomba wadau kama kuna yeyote aliyeisha kutana na hili neno...
Haya majina yote hutumika kumaanisha Makatibu wa Wakuu japo kwa Kiingereza utakuta yanaandikwa kwa style tofauti ndani serikali hiyo hiyo.
Je kuna tofauti yoyote kisheria kwenye title hizo?
Shairi hili ni la kwa wa ubani aumwaye.
Poa nipoe, kohoa nikohoe
Harija zote nitoe, ni bwage moyo Kaole
Zari na mgolole, wenye staha tuoe
Poa nipoe, nisijepiga mayowe
Maradhi faradhi, mimi yako...
Habarini wakuu, m nmependa kuleta kwenu hili neno, hivi neno "
MPUMBAVU'
ni tusi au siyo tusi , kwa jins wewe unavyolichukulia, sabab hili neno limetumika mpka kwenye vitabu vya dini i.e.bibble
Habari za kazi na siku waungwana,nimekuwa nikisoma baadhi ya mada naona neno 'popoma' huwa kuna baadhi ya wanaJF hupenda sana kulitumia lakini katika hali ambayo huwa linaelewekan kwa badhi tu...