Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
UWANENI Uwaneni! Chinjanen! Chukianen! Amani tena ya nini?. Piganeni! Shindaneni Mwende vitani? Nawasemesha wahuni. Wamarekani! Pia Irani! Ni mashetani? Mliopo duniani Yenye amani Tatizo nini...
2 Reactions
5 Replies
951 Views
Hivi ni nini maana ya kudamshi? Kiswahili ni kipana wanandugu.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kitambi kimeniponza Kitambi kimeniponza, sina hamu asilani. Kimenifanya nawaza, maisha si ya thamani. Mahari mara ya kwanza, natakiwa milioni. Wakashindwa kunioza kwa laki tano jamani...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Aardvark - Muhanga African Wild Dog - Mbwa mwitu Ant – Sisimizi/Chugu/Sungusungu (Flying) ant - ngumbi (Safari) ant - Siafu Baboon - Nyani Bat - Popo Bat-eared fox – Mbweha masikio Bird - Ndege...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
kujua lugha mbalimbali ni moja wapo ya njia ya kuongeza thamani ya ulichonacho kwa mfano wapo watu wenye elimu ndogo tu ambao kujua lgha fulani imewafanya kupata kipato maradufu nakualika...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
This is a special platform where we can learn how to improve our english skills in terms of speaking, writing, listening and reading. In this thread also we are going to learn how to eliminates...
11 Reactions
133 Replies
18K Views
HAYA SIYO MAISHA. Watu wanatengana, eti kisa ni pesa Fukara wanapigana, sababu ni siasa Hovyo wanagombana, damu wakiinusa Roho kuchukiana, pendo tukalikosa Sidhani Kama hivi, haya siyo maisha...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Yanga imetokana na Young?, Kwanini "Young" ya Kiingereza haikuwa "Vijana" kwa Kiswahili? Yanga ni kitu gani? Ni kukosea? Ni kutokujua? Ni sahihi kuita timu ya Dar es Salaam Young Afrika kwa jina...
2 Reactions
63 Replies
13K Views
SIKU HIYO IKIFIKA Siku hiyo njema kwangu, Mateso tapumzika Takutana mola wangu, Moyo utafurahika Tapata lo haki yangu, Dunia lo dhulumika SIKU HIYO IKIFIKA, HAKI ZANGU TAZIPATA Wale kwao nilo...
0 Reactions
0 Replies
938 Views
Wengi wamekuwa wakisoma Biblia ya Kiswahili bila ya kufahamu hasa ni nani alioandika Biblia kwa lugha ya Kiswahili kutoka katika moja ya lugha zile tatu za mwanzo mwanzo ambao ndizo zilizotumika...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Walipo ipata mali, wakaingia mjini Wakamtupa jalali, jembe na wake mpini Wakaponda zote mali, na warembo limbukeni Wakachana daftari, kupoteza taarifa Walikula na kusaza, wakaota na vitambi Meza...
0 Reactions
0 Replies
842 Views
Naomba nielekezwe kitabu hicho kinapopatikana wadau. kuna zawadi kwa atakaenielekeza mahali kinapatkana hapa Dar
0 Reactions
4 Replies
9K Views
NA MOHAMMED ABDULRAHMAN Kiswahili ni lugha inayozungumzwa katika kanda ya Afrika Mashariki kuanzia Somalia hadi Msumbiji na ni lugha ya mawasiliano kwa sehemu kubwa ya kanda hiyo. Tanzania ndiyo...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
BARIDI YA MOROGORO HAINA ADABU 1. Ya moyoni ninayo, mengi kujaza kapu Yaani tena yahusuyo, baridi iumizayo pafu Baridi adabu hamnayo, nawapa yake makavu Baridi ya Morogoro, kweli...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Hello members, nataka kufanya mtihani wa Kiingereza IELTS kabla mwaka huu, naomba ushauri kwa yeyote mwenye uzoefu na hii mitihani. Vilevile nitafurahi nikipata members ambao wamewahi fanya hii...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Pale JNIA Terminal 2 niliona tangazo lenye sura ya waziri wetu wa utalii. Tangazo hili lina slides 2, ya Kiswahili na ya Kiingereza. Ya Kiswahili imeandikwa “Simba ni Utalii”, ya Kiingereza...
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari zenu wadau. Nilikuwa naomba msaada wa uhakiki wa maneno yaliyotumika katika kutayarisha Shahada hii. Shahada hii ni Hati ya Shukrani kwa ajili ya kuthamini mchango wa wanajumuiya wetu...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani wakati tunakua tulikuwa tuna ganilwa nahau na methali mbalimbali za kisukuma na bibi na babu zetu, hata sisi wenyewe wakati tunachunga tulikuwa na mchezo wa kugani methali na mwingine...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Halo JF, Kumekuwa na matumizi mabaya ya neno "Angalau" kunakopigiwa upatu na radio za kimataifa za BBC, DW, VOA nk. Wenyewe wamehamisha moja kwa moja kutoka lugha ya Kiingereza "Atleast"...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…