Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Mtalii wa ndani kwa ndani anaitwaje kiswahili kwa neno moja
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Mimi naanza Bad-mbaya Bud-kikonyo Sleep-lala Slip-kipeperushi Sweet-tamu Sweat-jasho Endeleeni
0 Reactions
26 Replies
5K Views
Masalkheri? Kwa walio wahi kusoma shairi/mashairi nafikiri neno diwani sio geni, Ningependa kufahamu maana na asili ya hilo neno kama litumikavyo kwenye shairi.
0 Reactions
5 Replies
8K Views
Hili swali huwa linanishangaza sana! Muhindi ana zaidi hata ya miaka 30 au amezaliwa na kuzeekea hapa ila kuongea kiswahili kwa ufasaha ni shida kubwa. Ila wazungu wanaokuja kwenye miradi au...
4 Reactions
29 Replies
4K Views
Msimbazi qwota ni wapi? Shira ni nini? Miwala ni nini? Mbona shira ya Zanzibar inasifiwa? Napenda saana nyimbo za Tanzania lakini kiswahili wakati mwingine balaa ...nsaidieni mi ni mkenya na...
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Washwahili wengi hatujui matumizi ya "which" na "that" katika kiingereza. Kwa vile maneno hayo yanaweza kuwa na maana moja katika kiswahili, basi huwa tunependa sana kutumia "which" hata mahala...
7 Reactions
19 Replies
9K Views
Hapo vip!! Nimejaribu kutafuta neno la kiswahili lakutumia badala ya hili ya kingereza la nimekumis...ni neno gani la kiswahi utaliweka liwe mbadala ya nimekumiss..
3 Reactions
10 Replies
5K Views
Hivi ni sahihi kisarufi kusema nimekuja hapa tangu jana? Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Tukumbushane maneno ya kizungu ambayo wabongo tunajifanya ni lugha yetu mfano; We "bitozi' tu Huyu jamaa ni "joblesi" "poa" "Kompyuta" Hayo maneno ya kwenye fungua na funga semi ni asili ya...
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Nyuzi nyingi za kingereza humu JF huwaga hazina wachangiaji kitu ambacho kinatia shaka uwezo wa wana great thinkers kwenye ishu mzima ya lugha ya kimalikia. Na hata watakaochangia ukisoma...
3 Reactions
143 Replies
53K Views
Historia Karamojong ni miongoni mwa Makala yanayopatikana kusini mwa mkoa wa Karamoja nchini Uganda katika ukanda wa kaskazini mashariki karibu na Mrima Moroto, Kidepo valley national park na...
2 Reactions
3 Replies
3K Views
Kenya marehemu huitwa mwendazake. Kiswahili Cha Kenya kinachekesha sana.
4 Reactions
58 Replies
6K Views
Stakeholders how are things here, all right, ok. My brothers and sisters, I have a problem with only five thousand and I need it, I have nothing, there is a problem and I have nothing at all...
0 Reactions
3 Replies
765 Views
Ripoti maalumu ya wakfu wa the World Linguistic Society imeitaja Uganda kama nchi kinara kwa kuzungumza Kiingereza fasaha Barani Afrika. Ripoti wakfu huo inazitaja nchi nyingine kuwa ni Zambia na...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Naomba msaada kufafanuliwa pamoja na mfano wa msamiati" mukhtadha" Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Waheshimiwa habari za mihangaiko ya siku! Ni matumaini yangu kuwa mko powa na wale wenye matatizo ya hapa na pale nawaombea kwa MUNGU awapitishe salama katika hali hiyo. Nimekuwa nikisikia huu...
1 Reactions
21 Replies
8K Views
¡Holla! E ai galera, tudo bem? . Natafuta mtu / watu wa kuwasiliana naye / nao kwa kutumia lugha hizo hapo mbili kama sehemu ya kujifunza. Kama upo tayari naomba tujulishane na tujadili ni njia...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Wataalam! Ukiangalia Utofauti wa neno TANZIA na TANZANIA ni mdogo sana! Je, kuna uhusiano wowote wa inchi na neno hilo? Je, hakuna namna yoyote neno hilo likafutwa kwenye kamusi na kutaftiwa...
3 Reactions
7 Replies
3K Views
Hoja yangu ni fupi. Tunaelewa bidii kubwa inafanyika kiswahili kijitosheleze kwa misamiat kadri dunia inavyozalisha vitu vipya. Lakin naona baraza la kiswahili wanatumia njia moja zaid ya kutohoa...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Kuna kauli au msemo potofu iliyoota mizizi kwa miaka kadhaa isemayo; "Akili za kuambiwa changanya na zako". Hivi toka lini mtu akaambiwa akili? Katika hali ya kawaida mtu huwa anaambiwa maneno au...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…