IKARAHANSI
JF-Expert Member
- Jul 30, 2019
- 398
- 479
Waheshimiwa habari za mihangaiko ya siku!
Ni matumaini yangu kuwa mko powa na wale wenye matatizo ya hapa na pale nawaombea kwa MUNGU awapitishe salama katika hali hiyo.
Nimekuwa nikisikia huu usemi kuwa "MUNGU SI ATHUMANI" tangu nilipoanza kujitambua, sasa ninaamini humu jamvini kuna wajuzi wa historia pia uzoefu wa maisha na ninaomba wanijulishe yafuatayo:-
a. Huyu Athumani alikuwa nani (Kimamlaka au kivyovyote) na alimkosea nini MUNGU?
b. Alitokea taifa gani hapa Duniani?
c. Kwa Nini iwe Athumani na siyo Daudi au Makame?
Ni matumaini yangu kuwa sasa nitapata majibu sahihi kupitia JF.
Ni matumaini yangu kuwa mko powa na wale wenye matatizo ya hapa na pale nawaombea kwa MUNGU awapitishe salama katika hali hiyo.
Nimekuwa nikisikia huu usemi kuwa "MUNGU SI ATHUMANI" tangu nilipoanza kujitambua, sasa ninaamini humu jamvini kuna wajuzi wa historia pia uzoefu wa maisha na ninaomba wanijulishe yafuatayo:-
a. Huyu Athumani alikuwa nani (Kimamlaka au kivyovyote) na alimkosea nini MUNGU?
b. Alitokea taifa gani hapa Duniani?
c. Kwa Nini iwe Athumani na siyo Daudi au Makame?
Ni matumaini yangu kuwa sasa nitapata majibu sahihi kupitia JF.