Wanajamii wanaojua kimombo, nina wasiwasi na hii kauli, pale mtu uliyempigia na "kumkosa" anapokupigia na kusema;
"....nimekuta MISSED CALL yako!"
Nijuavyo mimi, inapaswa kubadilika na kuwa...
Tangazo la vodacom la Nimeshinda (100,000,000)linakera nackukidhalilisha kiswahili na mwalimu
linaaza kwa kumuonyesha mwalimu aliyevaa kwa staha akiwa ubaoni uliojaa herufi na tarakimu...
NO Smoking in Swahili
I am sure some of you have come across this before. But just to celebrate being a proud Kenyan, the unity in diversity aspect of it, here it goes...........
After...
Habar wana jamvi,naomben msaada wa kimawazo,ushauri,vitendo na hata ikibid kaz kama nitakuwa nimekizi vigezo ingawa kwa sasa nahitaj zaid mafunzo.nimemaliza chuo kikuu ,shahada ya kiswahili...
Wana jamvi Amani iwe kwenu. Mtoto wangu wa darasa la sita aliniuliza swali mwaka mmoja uliopita mpaka sasa sijapata jibu, nakuja kwenu maana kanikumbushia ikabidi nimuombe samahani. Anauliza...
KUMEKUWEPO NA UBISHANI MKUBWA KUHUSU MATUMIZI YA KIINGELEZA KAMA LUGHA YA KUFUNDISHIA BADALA YA KISWAHILI.
nini maoni yako?
Zingatia
1.kiingeleza kinadaiwa kuchangia matokeo haya mabaya ya...
Kitabu cha Kiswahili 'Bidhaa Adimu: Jiajiri' sasa kimeshachapishwa Dar es Salaam na kitaanza kupatikana madukani hivi karibuni. Ukisoma kitabu hiki wewe mwenyewe utachukua hatua ya kujiajiri au...
msaada tafadhali.shangazi anahitaji msaada wenu.ni hivi:binamu yangu amehitimu 4m 6.amemwambia shangazi yangu kuwa fomu ya mkopo ni 50000 na ya chuo ni 30000 na mwisho wa kulipia ni...
Mwaka 2013 NOKIA wameboresha kwa kuweka lugha ya kisukuma kwenye simu na mambo yatakuwa kama ifuatavyo:-
Phonebook
SHITABHO SHA SIMU
Names
MINA
Time
MAKANZA
Ringtone
LUPUNDU
Setting
MABEGEJO...
Mwandishi maarufu wa riwaya Mzee Adam Shafi akitupatia historia ya maisha yake toka mwanafunzi, kazi ya udobi ilimwezesha kukata tiketi ya meli nia na ndoto kufika Uingereza kwa ajili ya masomo...
Azungumzia Watanzania na lugha yao ya Kiswahili na pia umuhimu wa kuzungumza Kiswahili fasaha ili wageni waendelee kutambua Tanzania ndiyo nchi yenye Kiswahili fasaha. Mazungumzo na John Mtembezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.