Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Wanajamii wanaojua kimombo, nina wasiwasi na hii kauli, pale mtu uliyempigia na "kumkosa" anapokupigia na kusema; "....nimekuta MISSED CALL yako!" Nijuavyo mimi, inapaswa kubadilika na kuwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Tangazo la vodacom la Nimeshinda (100,000,000)linakera nackukidhalilisha kiswahili na mwalimu linaaza kwa kumuonyesha mwalimu aliyevaa kwa staha akiwa ubaoni uliojaa herufi na tarakimu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Haya maneno nimeyakuta uzi fulani, hakika yamenitoa kamasi, nisaidieni wakuu
0 Reactions
4 Replies
5K Views
eti neno MSAFİRİ KAFİRİ huwa lina maana Gani?
0 Reactions
1 Replies
991 Views
Naomba mnieleze maana yake nini. Asante.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Redirect
NO Smoking in Swahili I am sure some of you have come across this before. But just to celebrate being a proud Kenyan, the unity in diversity aspect of it, here it goes........... After...
6 Reactions
Replies
Views
wadau wa lugha naomba kujua maana ya neno "diaspora" kwa lugha ya kiswahili.
0 Reactions
2 Replies
15K Views
Watoto leo twalia, siri za baba kuvuja, Vya ndani kuchungulia, tumegeuka vioja, Wewe demokrasia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mara nyingi methali hii imekuwa ikitumika lakini sijawahi kujua ina maana gani hasa. Naomba wataalamu muipambanue
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habar wana jamvi,naomben msaada wa kimawazo,ushauri,vitendo na hata ikibid kaz kama nitakuwa nimekizi vigezo ingawa kwa sasa nahitaj zaid mafunzo.nimemaliza chuo kikuu ,shahada ya kiswahili...
0 Reactions
0 Replies
908 Views
Wana jamvi Amani iwe kwenu. Mtoto wangu wa darasa la sita aliniuliza swali mwaka mmoja uliopita mpaka sasa sijapata jibu, nakuja kwenu maana kanikumbushia ikabidi nimuombe samahani. Anauliza...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
lipo neno ama msemo ambao hutumika sana siku hizi "KAMA MBWAI IWE MBWAI"je kuna mwenye maana ya hili neno na asili yake
0 Reactions
2 Replies
5K Views
KUMEKUWEPO NA UBISHANI MKUBWA KUHUSU MATUMIZI YA KIINGELEZA KAMA LUGHA YA KUFUNDISHIA BADALA YA KISWAHILI. nini maoni yako? Zingatia 1.kiingeleza kinadaiwa kuchangia matokeo haya mabaya ya...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kitabu cha Kiswahili 'Bidhaa Adimu: Jiajiri' sasa kimeshachapishwa Dar es Salaam na kitaanza kupatikana madukani hivi karibuni. Ukisoma kitabu hiki wewe mwenyewe utachukua hatua ya kujiajiri au...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
msaada tafadhali.shangazi anahitaji msaada wenu.ni hivi:binamu yangu amehitimu 4m 6.amemwambia shangazi yangu kuwa fomu ya mkopo ni 50000 na ya chuo ni 30000 na mwisho wa kulipia ni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Matumaini wote ni wazima wa afya. Wakuu napenda kuuliza; nini maana ya neno "Apocalypto?"
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Mwaka 2013 NOKIA wameboresha kwa kuweka lugha ya kisukuma kwenye simu na mambo yatakuwa kama ifuatavyo:- Phonebook SHITABHO SHA SIMU Names MINA Time MAKANZA Ringtone LUPUNDU Setting MABEGEJO...
10 Reactions
37 Replies
6K Views
Naombeni msaada . Hili neno tafsiri yake kwa kiingereza ni nini ???
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Mwandishi maarufu wa riwaya Mzee Adam Shafi akitupatia historia ya maisha yake toka mwanafunzi, kazi ya udobi ilimwezesha kukata tiketi ya meli nia na ndoto kufika Uingereza kwa ajili ya masomo...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Azungumzia Watanzania na lugha yao ya Kiswahili na pia umuhimu wa kuzungumza Kiswahili fasaha ili wageni waendelee kutambua Tanzania ndiyo nchi yenye Kiswahili fasaha. Mazungumzo na John Mtembezi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom