Wasakatonge ni kina nani?
Kwa hoja za yule mheshimiwa, nakubaliana nae kua Kuna viongozi kua ni wasakatonge! hasa kutoka kule Visiwani. Kwanini wakiwa huko kwao wanasema vingine, na wakija Dodoma Wanasema vingine.
Kwa hoja za yule mheshimiwa, nakubaliana nae kua Kuna viongozi kua ni wasakatonge! hasa kutoka kule Visiwani. Kwanini wakiwa huko kwao wanasema vingine, na wakija Dodoma Wanasema vingine.