Msakatonge a.k.a ????

Kwa hoja za yule mheshimiwa, nakubaliana nae kua Kuna viongozi kua ni wasakatonge! hasa kutoka kule Visiwani. Kwanini wakiwa huko kwao wanasema vingine, na wakija Dodoma Wanasema vingine.
 
Kwa hoja za yule mheshimiwa, nakubaliana nae kua Kuna viongozi kua ni wasakatonge! hasa kutoka kule Visiwani. Kwanini wakiwa huko kwao wanasema vingine, na wakija Dodoma Wanasema vingine.

Yah kina mshimba na shamsi vuai nahodha
Mimi nilikua nilijua wasakatonge ni watu wenye maisha magumu Kama ilivoelezwa katika kitabu cha 'WASAKA TONGE NA JUA KALI'kumbe sivo dah. Bunge linatufundisha mengi
 
Kwa hoja za yule mheshimiwa, nakubaliana nae kua Kuna viongozi kua ni wasakatonge! hasa kutoka kule Visiwani. Kwanini wakiwa huko kwao wanasema vingine, na wakija Dodoma Wanasema vingine.

ulisikia walivyokuwa kule kwao walichosema?
Na dodoma unajua kwann hawasemi?
 
Wanao dai serekali mbili mbona hawana hoja zozote! Kiakili unaona kabisa wanazidiwa hoja na Wanaotaka serekali tatu.
 
Back
Top Bottom