Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Wadau naomba tofauti ya maneno hayo
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habari hapo juu ambacho nimekichukua toka akaunti ya facebook ya BBC. Pamoja na kwamba mimi si mtaalamu wa lugha hiyo lugha iliyotumika nadhani si sahihi. Sote tunafahamu kuwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
‘Mtu mwenye akili akikuambia neno la kipumbavu -ukalikubali anakudharau!’ Mwalimu Nyerere 01/5/1995. Kutokana na nukuu hiyo ndugu zangu watanzania,lazima kila siku kile kinachoingia masikioni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa pamoja tuungane na kuwatetea ndugu zetu hawa wenye ulemavu wa ngozi. 1>damu yake yamwagika,bila hata ya hatia. Na vilio vya sikika.,maumivu wasikia. Yamewajaa mashaka,kipi walichokosea ...
0 Reactions
0 Replies
46K Views
marejesho( marejesho ya mkopo)
0 Reactions
29 Replies
8K Views
Mara zote msiba ukitokea tunatumia kauli ya "TUMEMPOTEZA" hii ina maana ya kwamba na nyie mlichangia kwenye kifo chake.... Wadau wa lugha mnasemaje hapa
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zenu wana lugha. naomba msaada kuhusu tofauti kati ya JINSI na JINSIA, ahsanten
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa siku mbili au tatu sasa hili neno 'kavazi' limekuwa likisemwa/kuandikwa kwenye vyombo vya habari.Nilianza kulisikia wakati wa uzinduzi wa 'kavazi' ya mwalimu Nyerere juzi na leo nimeona BBC...
0 Reactions
5 Replies
23K Views
where do you live ni english kifaransa no
0 Reactions
5 Replies
2K Views
WATU WENGI WATAKOSA SWALI HILI!! Kuna tofauti gani kati ya NJE YA NCHI na NCHI ZA NJE??, kama wewe unajua kiswahili utapata tu maana kuna tofauti kubwa sana!.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kile kitabu cha ‘PAKA WA BINTI HATIBU' ambacho kilikuwa kikisubiriwa kwa hamu na shauku kubwa hatimaye kimeingia mitaani tayari kufikisha ujumbe na kutoa burudani kwa jamii iliyokusudiwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Leo tujifunze lugha teule ya Kiswahili. 1. password- Nywila. 2. juice - sharubati. 3. chips - vibanzi. 4. PhD - uzamifu. 5. Masters - uzamili. 6. Degree - shahada. 7. Diploma - stashahada...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
It's not an Aeroplane, it's a Bird..
1 Reactions
43 Replies
17K Views
What can be done to bring back the title-winning United of old?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Matangazo mengi yenye kilevi kama bia yana slogan inayosema: HAIUZWI KWA WENYE UMRI CHINI YA MIAKA KUMI NA NANE Swali langu kama hao chini ya miaka 18 hawaruhusiwi kununua, je wanaruhusiwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Najuliza na sna shaka na utambuz wangu lkn hili ni neno jamii iliamua kulitumia badala penis yaan uume. Kwa nini ukiimbwa wimbo wenye neno hilo watu huruka na husismkwa kwa kucheza Jamii...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
moja kati ya mapungufu ya usanifishaji wa lugha ya kiswahili ni kwamba .....mchakato huu ulifanywa na wageni(wazungu) hivyo kusababisha baadhi ya maneno kutamkwa tofauti na yanavyo andikwa...
0 Reactions
2 Replies
13K Views
Katika pitia pitia yangu ya vitabu hususan novels nimekuta zaidi ya mara tau hiv neno handsome limetumika kwa mwanamke (like Rose was a handsome womam of thirty-five pg 122, para 3, 4th line...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba mwenye uelewa wa swali hili anisaidie Distinguish entrepreneurship from an entrepreneur.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kiswahili chetu kitakaa sawa lini? Nashindwa kuelewa haya maneno MBUNGE, MBWA, MBU Kwanini tusitumie au isomeke vizuri kwa kuandikwa M'BUNGE badala ya MBU-NGE ipi ni sahihi hapa na unaisomaje...
0 Reactions
30 Replies
6K Views
Back
Top Bottom