M Mourine stephano Member Joined Sep 4, 2014 Posts 38 Reaction score 7 Mar 31, 2015 #1 Wadau naomba tofauti ya maneno hayo
bukoba boy JF-Expert Member Joined Jan 15, 2015 Posts 5,376 Reaction score 3,976 Mar 31, 2015 #2 Salary analipwa mtu alie na mkataba wa kazi wa kudumu na wage ni ule unaolipwa kila siku yani kama kwa week au siku ila mshahara ni kuanzia mwezi.
Salary analipwa mtu alie na mkataba wa kazi wa kudumu na wage ni ule unaolipwa kila siku yani kama kwa week au siku ila mshahara ni kuanzia mwezi.