Habari za wakati huu wanajamii?
Natumaini mnaendelea vyema na shughuli zenu za hapa na pale.
Waungwana naomba kujuzwa tofauti ya maneno "nipo" na "niko"
mfano: kama ninaendesha gari natokea Posta Mpya kwenda Ubungo na nimefika eneo la Manzese; mtu akinipigia simu na kuniuliza sehemu ya uwepo wangu nitajibuje?
Je, haya maneno yote yanatumika katika kiswahili au moja sio sahihi?
Kama yote yanatumika, yanatumika kwa kutofautishwa vipi?
Ahsanteni
Natumaini mnaendelea vyema na shughuli zenu za hapa na pale.
Waungwana naomba kujuzwa tofauti ya maneno "nipo" na "niko"
mfano: kama ninaendesha gari natokea Posta Mpya kwenda Ubungo na nimefika eneo la Manzese; mtu akinipigia simu na kuniuliza sehemu ya uwepo wangu nitajibuje?
Je, haya maneno yote yanatumika katika kiswahili au moja sio sahihi?
Kama yote yanatumika, yanatumika kwa kutofautishwa vipi?
Ahsanteni