Tofauti/matumizi ya "nipo" na "niko"

Capt Nemo

JF-Expert Member
Feb 26, 2015
1,445
678
Habari za wakati huu wanajamii?

Natumaini mnaendelea vyema na shughuli zenu za hapa na pale.

Waungwana naomba kujuzwa tofauti ya maneno "nipo" na "niko"
mfano: kama ninaendesha gari natokea Posta Mpya kwenda Ubungo na nimefika eneo la Manzese; mtu akinipigia simu na kuniuliza sehemu ya uwepo wangu nitajibuje?

Je, haya maneno yote yanatumika katika kiswahili au moja sio sahihi?

Kama yote yanatumika, yanatumika kwa kutofautishwa vipi?

Ahsanteni
 
Habari za wakati huu wanajamii?

Natumaini mnaendelea vyema na shughuli zenu za hapa na pale.

Waungwana naomba kujuzwa tofauti ya maneno "nipo" na "niko"
mfano: kama ninaendesha gari natokea Posta Mpya kwenda Ubungo na nimefika eneo la Manzese; mtu akinipigia simu na kuniuliza sehemu ya uwepo wangu nitajibuje?

Je, haya maneno yote yanatumika katika kiswahili au moja sio sahihi?

Kama yote yanatumika, yanatumika kwa kutofautishwa vipi?

Ahsanteni[/QUOTE

Nipo=hapa
Niko=kule
 
Nipo=hapa
Niko=kule[/QUOTE]

Nashukuru kwa jibu lako.

naomba nijibu kwa kutumia mfano wa garini yoka posta kama nilivyouliza maana sijakuelewa ndugu
 
Habari za wakati huu wanajamii?

Natumaini mnaendelea vyema na shughuli zenu za hapa na pale.

Waungwana naomba kujuzwa tofauti ya maneno "nipo" na "niko"
mfano: kama ninaendesha gari natokea Posta Mpya kwenda Ubungo na nimefika eneo la Manzese; mtu akinipigia simu na kuniuliza sehemu ya uwepo wangu nitajibuje?

Je, haya maneno yote yanatumika katika kiswahili au moja sio sahihi?

Kama yote yanatumika, yanatumika kwa kutofautishwa vipi?

Ahsanteni[/QUOTE

Nipo=hapa
Niko=kule

Majibu Yako Mazurij
 
Nipo=hapa
Niko=kule

Nashukuru kwa jibu lako.

naomba nijibu kwa kutumia mfano wa garini yoka posta kama nilivyouliza maana sijakuelewa ndugu[/QUOTE]

Umekuwa Wa Shule Ya Msingi Mpaka Kilakitu Utafuniwe
 
Nashukuru kwa jibu lako.

naomba nijibu kwa kutumia mfano wa garini yoka posta kama nilivyouliza maana sijakuelewa ndugu

Umekuwa Wa Shule Ya Msingi Mpaka Kilakitu Utafuniwe[/QUOTE]

May be..ila hata wakati nikiwa shule ya msingi neno niko kule halikutumika..kwa sababu nyepesi tu kuwa mtu anapotaja alipo anakuwa yupo hapohapo..sasa akisema nipo kule ina maana sipo hapa..unaweza kuwa mahali na at the same time usiwepo?...kwa degree yako najua hutaelewa hata point yangu
 
Habari za wakati huu wanajamii?

Natumaini mnaendelea vyema na shughuli zenu za hapa na pale.

Waungwana naomba kujuzwa tofauti ya maneno "nipo" na "niko"
mfano: kama ninaendesha gari natokea Posta Mpya kwenda Ubungo na nimefika eneo la Manzese; mtu akinipigia simu na kuniuliza sehemu ya uwepo wangu nitajibuje?

Je, haya maneno yote yanatumika katika kiswahili au moja sio sahihi?

Kama yote yanatumika, yanatumika kwa kutofautishwa vipi?

Ahsanteni

Haya maneno yanaweza kuwa sawa au si sawa kwa vile mtamkaji ana mazoea ya kutumia lipo..

Hasa yupo mmoja neno alijualo in nipo na sio niko..

Ninachotambua kuhusu niko ni hali inayoonesha hicho kitu,jambo au mtu ni katika ndani ya, katikati ya, au kuzingwa au kuzongwa na..

MF.niko mpira ni..niko kwenye foleni..
Niko nyumbani..

Hali neno nipo linaonesha kitu,jambo, au mtu yuko katika mahala huru kidogo..

MF.Mwalimu darasani akiita majina ktk orodha yake..

John Mussa...? Ataitikia nipooo..

Na hata akiwa hayupo watamjibia hayupooo..

MF.2.

Jamaa kapiga simu na akauliza..

"Mbona huonekani siku hizi" utamjibu nipo..yaani huru kidogo..

N.b Ki lugha matumizi yote ni sahihi kwa mawazo au mazoea ya mtumiaji na kwa watu wake, kwani wakati mwingine ubora wa neno au maneno ktk matumizi hufuatana na mazoea na vile mtakavyoweza kuelewana.

Wadau wa lugha Mpoo..

Mie niko hapa zogoni..
 
Rejea ngeli ya KO-PO-MO

KO....mahali ambapo si mahususi (indefinite place)... Mtoto yuko wapi?
PO....kitu kilichopo mahali mahususi (specific/definite place)mf. Kikombe kipo Mezani
MO...Kitu kilichopo ndani ya kitu kingine. kwa mfano maji yamo ndani ya chupa,Kikombe kimo kabatini



Habari za wakati huu wanajamii?

Natumaini mnaendelea vyema na shughuli zenu za hapa na pale.

Waungwana naomba kujuzwa tofauti ya maneno "nipo" na "niko"
mfano: kama ninaendesha gari natokea Posta Mpya kwenda Ubungo na nimefika eneo la Manzese; mtu akinipigia simu na kuniuliza sehemu ya uwepo wangu nitajibuje?

Je, haya maneno yote yanatumika katika kiswahili au moja sio sahihi?

Kama yote yanatumika, yanatumika kwa kutofautishwa vipi?

Ahsanteni
 
Rejea ngeli ya KO-PO-MO

KO....mahali ambapo si mahususi (indefinite place)... Mtoto yuko wapi?
PO....kitu kilichopo mahali mahususi (specific/definite place)mf. Kikombe kipo Mezani
MO...Kitu kilichopo ndani ya kitu kingine. kwa mfano maji yamo ndani ya chupa,Kikombe kimo kabatini


Ee bwana kiongozi nimekusoma vizuri kabisa..ubarikiwe sana sana
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom