Mohamed Said JF-Expert Member Nov 2, 2008 20,900 30,235 Jan 21, 2022 #1 Mohamed Shomvi Mlimani TV anamuhoji Mohamed Said kuhusu historia ya Tanganyika:
Sijali JF-Expert Member Sep 30, 2010 2,586 1,678 Jan 23, 2022 #2 Watoto wa siku hizi ni play stations tu, kichwani patupu.
jiwe angavu JF-Expert Member Aug 28, 2015 19,092 35,888 Jan 23, 2022 #3 Mzee kilizi..na historia zake uchwara..za kulia lia anahujumiwa..only a fool anaweza kaa kusikiliza story zake zilizojaa chuki fitina na uzushi. #MaendeleoHayanaChama
Mzee kilizi..na historia zake uchwara..za kulia lia anahujumiwa..only a fool anaweza kaa kusikiliza story zake zilizojaa chuki fitina na uzushi. #MaendeleoHayanaChama
Mohamed Said JF-Expert Member Nov 2, 2008 20,900 30,235 Jan 23, 2022 Thread starter #4 Jiwe... Laiti ungeandika kwa uungwana kipi nilichosema kibaya tungeweza kufanya mjadala. Lakini maneno ya kebehi, kejeli, matusi na chuki sina la kuchangia.
Jiwe... Laiti ungeandika kwa uungwana kipi nilichosema kibaya tungeweza kufanya mjadala. Lakini maneno ya kebehi, kejeli, matusi na chuki sina la kuchangia.