Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,857
- 30,205
Muasisi wa TANU Western Province Mzee Bilal Rehani Waikela yumo katika gazeti la Uhuru la leo.
Tajiri...Habari mzee !!Sasa huyo mzee ana umri gani?
Mzee ni cuf kindakindani na katika nyumba yake kuna bendera ya cuf mpaka kesho...wamemtelekeza miaka yote leo ndio wanajibaraguza.
..sidhani kama mzee waikela anawahitaji ccm na serikali wakati amepambana mwenyewe toka ujana mpaka leo amezeeka.
..ccm wanamtembelea mzee waikela sio kwasababu wanatambua mchango wake, bali kwa kutaka kuficha aibu ya kumtelekeza muasisi wa tanu.
Uungwana...Mzee ni cuf kindakindani na katika nyumba yake kuna bendera ya cuf mpaka kesho.
Na ndani ya chumba kuna picha ya mwenyekiti wake.
wewe umejuaje wamemtekeleza?..wamemtelekeza miaka yote leo ndio wanajibaraguza.
..sidhani kama mzee waikela anawahitaji ccm na serikali wakati amepambana mwenyewe toka ujana mpaka leo amezeeka.
..ccm wanamtembelea mzee waikela sio kwasababu wanatambua mchango wake, bali kwa kutaka kuficha aibu ya kumtelekeza muasisi wa tanu.
hapo umesema kweli.Uungwana...
Kuwa mwanachama wa CUF au chama lingine chochote hakimtoi kwenye historia yake kuwa ni muasisi wa TANU 1955 na alipigania uhuru wa Tanganyika.
Wapi nimesema katoka katika historia ??Uungwana...
Kuwa mwanachama wa CUF au chama lingine chochote hakimtoi kwenye historia yake kuwa ni muasisi wa TANU 1955 na alipigania uhuru wa Tanganyika.