Wakati wa Uhai wake, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliwahi kuishi katika nyumba hii ikiwa ni baada ya kurejea nchini akitokea masomoni nchin Uingereza.
Huko alihitimu masomo yake na...
Ukifika mji mkuu wa italy Rome kuna jengo maarufu liko kama uwanja wa mpira linaitwa colloseum. Jengo hilo lilijengwa AD 70-80 kama miaka 1940 hivi iliyopita.
Maana yake ni kwamba baada ya...
Wanabodi,
Nimeikuta hii humu jf kwenye mjadala fulani hebu jisomee mwenyewe!.
Kwa mara ya kwanza Sheikh Abeid Karume alifunga ndoa na Bibi Pili binti Ahmed Ambari mwanzoni mwa miaka ya...
KAULIZA MUULIZAJI NANI SHEIKH BADI?
Sheikh Muhammad Yusuf Badi alikuwa sheikh maarufu Lindi na sehemu yote ya Jimbo la Kusini, yaani Southern Province.
TANU iliasisiwa Lindi mwaka wa 1955 tayari...
Frank and His Sisters LP
The world’s first collection of gorgeous pop songs from Frank and His Sisters, a family band from Moshi, Tanzania. Formed in the early 1950s by Frank Humplick, Thecla...
Nikikumbuka hii Movement huwa numia sana, ni bahati Mbaya sana Watanzania sisi hatuamini kwenye umoja na hii ndo changamoto kubwa sana inayo tukumbuka.
Hii movement ilikuwa na nguvu sana sema...
History ya nchi zetu inashangaza sana.
Cha ajabu Sisi wenyewe hatuchimbi history vizuri.
Around mwaka 1830 wakati Sultan wa Oman anaamua kuwa Zanzibar itakuwa second capital baada ya Muscat. Na...
Habari wakuu,
Kwa uchache nataka niwape historia fupi ya watu ambao ni katili na bado historia zao zinakumbukwa mpaka leo.
Dunia imewahi kukaliwa na watu mbali mbali. Wapo wanaozungumzwa kwa...
Prof. Kighoma Ali Malima 1985
On Sunday 17 July, 1995, 37 years since TANU held its 1958 annual meeting in Tabora the meeting which paved the way to independence, Prof. Malima addressed a big...
KWA NINI BENJAMIN MKAPA ALISHINDWA KUCHAPA TAAZIA YA ABDUL SYKES KATIKA THE NATIONALIST BRENDON GRIMSHAW AKACHAPA "OBITUARY" YA ABDUL SYKES KATIKA SUNDAY NEWS (TANGANYIKA STANDARD)?
Mgogoro wa...
Nawatakeni radhi wasomaji wangu kwa kuandika kwa Kiingereza na Kiswahili:
RAMADHANI IN DAR ES SALAAM THROUGHOUT THE YEARS
''Leo Chungu Tatu Ramadhan 1436 Dhuhr imenikuta Ubungo/Mandela.
Takbir...
Tarehe 05 mwezi Februari mwaka 1997 ilikuwa siku muhimu yenye matukio ya kufurahisha na kuhuzunisha. Kabla haujayapitia hayo matukio matatu, Kumbuka siku hii chama cha TANU na ASP viliungana na...
KUMBUKUMBU KUTOKA KIJIJI CHA DAVID LIVINGSTONE BLANTYRE, GLASGOW SCOTLAND 1991
Hayo niliyoandika hapo chini nimemwandikia rafiki yangu Dr. Harith Ghassany mwandishi wa kitabu maarufu, ''Kwaheri...
Hapo chini ni picha za baadhi ya mitaa iliyopewa majina ya wapigania uhuru wa Tanganyika:
Katika picha hizi picha ya kwanza inamuonyesha Ali Msham wa kwanza kulia akiwa na Baba Taifa Mwalimu...
Shariff Abdalla Attas
(Picha kwa hisani ya Bwana Shomari)
Sie wengine tumekuja kumjua Shariff Abdallah Attas katika utu uzima wake akikaa Mtaa wa Twiga na Sikukuu nyumba yake mkabala na Msikiti...
Chief Michael Lukumbuzya wa Ukerewe
Nilikuwa naitafuta picha ya hayati Chief Michael Lukumbuzya kwa miaka mingi bila mafanikio. Sababu ya kuitafuta picha ya Chief Lukumbuzya ni kisa...
KWA NINI BABA WA TAIFA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE HAKUNYANYUA KALAMU KUANDIKA MAISHA YAKE?
Naikumbuka siku hii kama jana vile.
Niko nje ya mipaka ya Tanzania ni nyakati za usiku niko kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.