Jukwaa la Historia

On JF:

Jina lake halisi ni Bushiri Salum au Salum Bushiri... Hilo ndio jina lake halisi". Ingawa katika vyanzo kama Wikipedia na mitandao mingine anajulikana kama Abushiri au Bushiri al-Harthi, mjukuu...
1 Reactions
0 Replies
119 Views
Kulingana na vyanzo ulivyotoa, neno "maandamano" na harakati za kudai mabadiliko zimezungumziwa katika mazingira mawili tofauti: maandamano ya wananchi katika nchi za Ghuba dhidi ya kambi za...
1 Reactions
7 Replies
212 Views
Kulingana na vyanzo ulivyotoa, mwanahistoria Mohamed Said anasimulia kisa alichopewa na Mohamed Hamisi kuhusu Sheikh Said Omar Abdallah alipokuwa Ulaya akifanya kazi za kulingania dini (dawa)...
1 Reactions
2 Replies
117 Views
KIPINDI CHA RADIO KWA WANAFUNZI: VIONGOZI WA AFRIKA Kipindi hiki akitangaza Mkurugenzi mwenyewe wa TBC Martin Kiama. Niko Majengo Middle School, Moshi mwaka wa 1963. Kipindi kinafunguliwa na...
0 Reactions
0 Replies
102 Views
Kwa kipindi kirefu kitabu cha Abdul Sykes kilikuwa hakipatikani kwa kuwa nakala zilikuwa zimekwisha (out of print). Hiki ni kitu cha kawaida kwa kitabu kukosekana. Kitabu cha Abdu Sykes ni...
5 Reactions
35 Replies
611 Views
Baadhi ya vitabu vya historia ya Zanzibar vilivyopo Maktaba Huwa nasoma nyuzi hapa JF mtu anaandika kuwa John Okello ni Baba wa Taifa la Zanzibar. Anaishia hapo. Ukimuuliiza kama anajua historia...
1 Reactions
13 Replies
232 Views
Wakuu nawaambia Jambo Moja kabisa la UHAKIKA bila mbambamba. SAMIA na Genge lake, wajifarague vipi, waruke, wake, wasimame ,wakimbie, wapae, yaan Hizo zote ni mbwembweeena HAZIWASAIDIII KITU...
0 Reactions
1 Replies
118 Views
CCM na Genge lao Wana ujinga wanauita "MARIDHIANO" . Huuuu ujinga, ndio ambao NCHIMBI, anaupiga Vita . Anawaambia Watanzania, 'Msiingie kwenye huo mtego'
2 Reactions
2 Replies
122 Views
https://youtu.be/jOVbRE9elZ4?si=34lbSSlBJP_1P8-O
1 Reactions
13 Replies
171 Views
Utangulizi Kalamu ya Mh. Ally Saleh haiandiki bali inazungumza. Siku zote ninapomsoma Alberto siishi kushangazwa na uwezo wa fikra zake na jinsi anavyojua kuchagua maneno ya kutumia kumfanya...
4 Reactions
22 Replies
6K Views
Ipi ilikuwa siri iliyomzuia Salim Ahmed Salim kupata nafasi ya kuwa Rais wa Tanzania mara mbili, licha ya kuwa na wasifu (CV), uzoefu na sifa zilizotajwa kuwazidi wapinzani wake katika mchakato wa...
2 Reactions
5 Replies
208 Views
Yani una request halafu unaona simu inaingia mtu anakuuliza upo wapi pengine hata hiyo sehemu huifahamu au nivigumu kuwa na sehemu specific yneye jina . Bolt andeni semina fundisheni watu wenu...
7 Reactions
20 Replies
263 Views
Kitendawili cha Nahashon Isaac Njenga Njoroge Ilikuwa tarehe 5 Julai 1969. Jiji la Nairobi lilikuwa na hali ya hewa ya jua, barabara zilikuwa na pilikapilika za kawaida, na Tom Joseph...
4 Reactions
4 Replies
229 Views
Mohamed Said anahoji inakuwaje historia ya chama kikubwa kama TANU, kilichoongozwa na Mwalimu Julius Nyerere, imepotea kiasi kwamba waasisi wake hawafahamiki wala kazi zao hazijulikani. Anasema...
2 Reactions
11 Replies
188 Views
Juni 27 ni siku ya 178 ya mwaka katika kalenda ya Gregorian (au ya 179 kama ni mwaka mrefu), huku zikiwa zimesalia siku 187 kabla ya mwaka kwisha. Katika upande wa maadhimisho na siku kuu...
2 Reactions
16 Replies
307 Views
KUMBUKUMBU YA KIFO CHA HASSAN UPEKA Naweka picha nilizopiga tarehe 28 October 2010 nyumbani kwa Hassan Upeka Mwananyamala wakati wa maziko yake. Kleist Sykes katika ''memoir'' zake alizoandika...
2 Reactions
12 Replies
252 Views
https://youtu.be/8DNwD9U2mks WASWAHILI WA MAREKANI Huyu mwandishi Nathaniel Mathews tunafahamiana na kwa kiasi fulani alikuwa kama mwenyeji wangu nilipokwenda Northwestern University...
5 Reactions
6 Replies
161 Views
Sherehe kubwa itakayowakutanisha Watanzania kutoka Kabila la Wangoni inakuja. Itafanyika jijini Dar es Salaam. Lakini pia watu kutoka makabila mengine watapokelewa kuhudhuria. Sherehe hii itakuwa...
5 Reactions
21 Replies
414 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…