Jukwaa la Historia

On JF:

September 7 ya 1996 MGM Grand, USA Pambano la Ndondi Tyson v Bruce Seldon Pambano liliisha ndani ya Sekunde 109 Tyson alishinda. Wahudhuriaji kibao walikuwepo ma-Celebrities pia Mfano: New...
2 Reactions
9 Replies
780 Views
Niaje waungwana. Leo katika historia ya nchi tunazopeana nazo mpaka, ningependa nikuletee hostoria ya nchi ya Malawi chini ya uongozi wa mwana mapinduzi wa kweli, mwana mageuzi ya uchumi na...
3 Reactions
5 Replies
710 Views
Anaweza kuwa Papa wa kwanza kutembelea zaidi ukanda wa Afrika kabla hajawa Papa. Papa ameishi Nigeria, pia ametembea Congo DRC na Kenya. Kwa mujibu wa Catholic News Agency, Papa ameshafika...
0 Reactions
3 Replies
603 Views
Kifo cha Thomas Ogle, mvumbuzi wa mfumo wa kipekee wa kutumia mvuke wa mafuta badala ya njia ya kawaida ya kuchoma mafuta kwenye injini (vapor fuel system), kimezungukwa na utata mkubwa na...
0 Reactions
0 Replies
481 Views
Habari za wakati huu ndugu msomaji wa makala zangu za kihistoria, leo katika historia nakuletea watu mashuhuri sana katika historia ya Tanganyika na namna wameitengeneza nafasi yao katika jukwaa...
2 Reactions
6 Replies
990 Views
Mwaka 1982, kijiji cha Lubasazi kilichopo Kata ya Kolero, Wilaya ya Morogoro Vijijini, kilipata msiba mzito. Mzee wa heshima kijijini hapo alifariki. Halikuwa jambo la kawaida watu walianza...
2 Reactions
2 Replies
817 Views
KHITMA YA JUMA MWAPACHU Ndugu na jamaa leo walikusanyika nyumbani kwa Juma Mwapachu kusoma khitma. Mtume SAW kifo kinatosha kuwa mawaidha. Kwangu binafsi kuwa kwenye nyumba ile kulirejesha...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
💡 Imepita zaidi ya miaka 112 toka friji la kwanza kugunduliwa Mnamo mwaka 1913 kupitia kwa jamaa mmoja mmarekani anaitwa Fred W Wolf ndo alikua mtu wa kwanza kugundua jokofu la umeme lenye kutoa...
4 Reactions
15 Replies
693 Views
Hii ina ukweli gani wakuu? ZIWA VICTORIA LIMEWAHI KUKAUKA MAJI YOTE MARA TATU Ziwa Victoria ni ziwa la pili kwa ukubwa duniani baada ya Ziwa kuu la Kaskazini nchini Marekani. Ziwa hili ambalo...
8 Reactions
76 Replies
5K Views
MIMI NA CHEF PRIDE Historia yetu sasa nadhani ina kiasi cha miaka 30 na zaidi. Mgahawa ulikuwa Mosque Street, Zahir Hotel. Katika miaka ya 1980/90 ndipo kilipokuwa kijiwe chetu cha mazungumzo...
13 Reactions
31 Replies
2K Views
Mwaka 2024 Taifa la Bangladesh liliandika historia mpya kwa kuuondoa Utawala wa dikteta wa dhalimu mwanamke aliyekuwa kiongozi wa nchi hiyo Bi. Sheikh Hasina. Katika Utawala wa Sheikh Hasina...
5 Reactions
15 Replies
1K Views
Rev. Prof. Charles Nyamiti was born in 1931, among three brothers and four sisters, to Mzee Theophilus Chambi Chambigulu and Mama Helen Nyasolo, (both Late) belonging to the Wanyamwezi of...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
PITIO LA KITABU: BARAZA YA MAJESTIC NA MACHINJIONI KWA BAMKWE Hiki ni kitabu cha nne ambacho nimekifanyia patio katika vitabu ambavyo vinaeleza mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka wa 1964. Kitabu cha...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Watu wengi ikiwemo mimi tulikiwa hatujui kuwa aliwahi kuwako pope mwanamke kunako karne ya 9 Aitwaye pope Joan Anglicus. Tafuta taarifa zaidi
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulitokea tarehe 26 Aprili 1964 ukawa mwanzo wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hadi tarehe ile kulikuwa na mataifa mawili huru ya Jamhuri ya Tanganyika na...
7 Reactions
118 Replies
17K Views
https://youtu.be/EYP1e2tToZc?si=ANvPuvwWhSjtQO_h
1 Reactions
4 Replies
562 Views
MAKTABA IMEPOKEA: MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE PHOTOGRAPHIC JOURNEY Rafiki yangu ndugu Ali Sultan mmoja wa watayarishaji wa kitabu hiki kikubwa cha Mwalimu jana alikuwa Ikulu Dodoma kwa...
9 Reactions
22 Replies
1K Views
Ni Yule Yule tena jamaa wa Tiktok amespot video anasema : Tupac aliuwawa kwa risasi ambayo katika ulimwengu wa roho ilikuwa imekusudiwa kumuua Biggie. Twende kazi : 👇👇👇👇 Akizungumza kupitia...
5 Reactions
55 Replies
2K Views
Mwenye kujua kabila hili chimbuko lake ni wapi anijuze mana nimesikia walikuwa na mfalme aliyeitwa Huihui au mfalme Juha! Wanatoka maeneo gani hapa Tanzania. Nahitaji kujua historia yao kidogo.
1 Reactions
47 Replies
21K Views
Back
Top Bottom