Jukwaa la Historia

On JF:

Huyu shekh Mussa Al Bique alikuwa mmoja katika machifu au viongozi katika eneo la Kilwa Kisiwani mkoani Lindi kabla ya kuondolewa na Sultan Ali Hasan bin Suleiman na kukimbilia...
1 Reactions
35 Replies
6K Views
Salaaaaam kwenu wote jukwaaani" Ninapotafakari hili suala kwa kweli huwa nakosa majibu maridhawa Waarabu`wajerumani na waingereza hawa wote kwa nyakati tofauti walikuja kuchukua mali na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
anaetaka kuja shinyanga kutoka kilimanjaro arusha Paine morogoro na tanga mawasiliano ni 0764 149464
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hivi vitabu viwili vimenitoa tongo tongo
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Katika maktaba leo tuna picha ya kumbukumbu ya uzinduzi wa soko kuu la Kariakoo la jijini Dar es salaam kulikofanywa na aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Baba wa Taifa Mwl...
5 Reactions
12 Replies
8K Views
Wanaukumbi, Naweka hapa vipande kutoka Dictionary of African Biography (DAB) ambao ni mkusanyo kwa njia ya maandishi ya Waafrika walioacha alama katika maendeleo ya bara hili. Huu ulikuwa mradi wa...
3 Reactions
9 Replies
3K Views
Mwaka 1896 serikali ya Zanzibar iliingia vitani na ile ya Uingereza. Vita hii iliisha baada ya dakika 38. Waliokufa au kujeruhiwa vibaya kwa Wazenj walikuwa 500 huku Waingereza wakijeruhiwa askari...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
kwanza heshima kwenu wakubwa na vijana wenzangu, kuna habari za kihistoria niwewahi kuzisikia lakini sikupata historia hiyo kwa kina na nimeona hapa kuna wenye uelewa mpana wa mambo yetu ya...
0 Reactions
25 Replies
10K Views
Nadhani kila mwanaJF anaifaham historia ya nguli wa siasa nchini tanzania,baba wa taifa,hayati mwalimu Nyerere.Ndugu ulishawahi kusikia kuwa hayati mwalimu alishawahi kuishi na wake wawili tu...
2 Reactions
36 Replies
9K Views
https://www.youtube.com/watch?feature=player_embedded&v=HhhuTRuX5Bg&x-yt-ts=1421914688&x-yt-cl=84503534 KUMBUKUMBU YA MAPINDUZI - AZAM TV - Mohamed Said
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari Wakuu? Kwanza kabla ya yote napenda kutoa chuki zangu za dhati kwa Raisi Kikwete kutokana na hotuba yake mbovu mbovu aliyoitoa juu ya Sakata la Escrow. Binafsi nimeona matundu mengi "...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
1). Mtwa Mkwawa hakuwa mhehe na wala hakuwa mtoto wa Mnyigumba (kama historia iliyoandikwa na Wajerumani inavyopotosha); bali Mkwawa alikuwa ni mtoto wa dada wa Mnyigumba aliyeolewa na mtemi wa...
5 Reactions
53 Replies
18K Views
Mimi ni mwanachama wa CDM mwenye kadi no. CDM 0545314 iliyotolewa tawi la chuo kikuu cha Tumaini(SMMUCo) moshi-2011. Toka mwaka huo mpaka leo nimeshindwa kulipia ada ya uanachama kwa kuwa nakosa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba mwenye kujua aniambie ni sehemu gani hapa Tanzania (Dar es Salaam) wanafundisha lugha ya kichina??
0 Reactions
16 Replies
4K Views
MAAZIMIO YA KAMATI KUU YA CCM -: TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. Jana tarehe 13/01/2015 Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa chini ya uongozi wa Mwenyekiti wake wa Taifa Dr. Jakaya Mrisho...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakati majuzi Mh. Rais JK akijimung`unya mdomo na kujidai ana kikohozi hadi kunywa maji wakati akijitayarisha kumfuta uwaziri Mh. Prof. Anna Tibaijuka, Rais mwenzie Mzee Julius Nyerere alimfuta...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Alijenga viwanda katika kila mkoa hapa Tanzania Mwatex Mara Milk KOIL Mwanza Sunguratex ZZK MBEYA Machine tools Moshi Arusha General Tyre Kilitex EMKO Soap Maries Biscuits Peremende Ongezeeni...
0 Reactions
45 Replies
6K Views
Raisi wa Jamuhuri ya muungano wa tanzania amemteua Bwana george msaju kua mwanasheria mpya kuanzia tarehe 2 january.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
KHITMA YA SHEIKH ALI MZEE COMORIAN MSIKITI NGAZIJA 1ST JANUARI 2015 Written By Mohamed Said on Thursday, January 1, 2015 | 9:51 AM Mufti Sheikh Hassan bin Amir, Al Habib Omar bin Ahmed...
1 Reactions
7 Replies
9K Views
KASHIFA YA WATERGATE (WATERGATE SCANDAL) Wakati kashifa hii inagonga vichwa vya habari katika vyombovya habari duniani miaka ya sabini hapabongo sisi tulikuwa tunaisoma sana katika gazeti la...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Back
Top Bottom