Jukwaa la Historia

On JF:

Mwl Nyerere atakumbukwa kwa mengi kama ukombozi wa nchi za kusini mwa Afrika, Amani na upendo, lugha ya kiswahili, umoja wa kitaifa, ujamaa, ukombozi wa ardhi ya Tanzania toka kwa nduli Amin nk...
2 Reactions
114 Replies
9K Views
An archaeologist checks an unearthed coffin at Xilin Gol league museum in Xilin Hot, North China's Inner Mongolia autonomous region, March 7, 2014. A 1,500-year-old coffin, excavated from...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Kwanza tujue mtumwa kuwa mzuri kuliko master wake ni kawaida. Mtumwa kupendwa na mke wa master wake ni kawaida ref. mwanzo 39:7 Pili tutambue ushoga ulianza kwa whites, ila kwa sasa ndio...
1 Reactions
9 Replies
5K Views
Nimekuwa nikijiuliza swali hili kwa muda mrefu nimejaribu kufuatilia nimepata majibu mengi nimeshindwa kujua lipi ni sahihi anayejua chanzo hasa anisaidie ntashukuru
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hatimae Mh Samuel Sitta amechaguliwa Kuwa m/kiti wa Bunge la Katiba, je utendaji wake utaweza kufanana ule wakati alipokuwa Spika?Sababu hakuweza kutetea nafasi yake kwenye kinyang'anyiro cha...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ni muda sasa toka tuone watetezi wa wanyonge wakikandamizwa wakiuawa na kuteswa kwa ajili ya jina la ukombozi wa mnyonge.wameuliwa sana wameteswa sana wameumizwa sana wameng'olewa meno sana na...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Picha hizi zinaonyesha jinsi ndege walivyokauka na kuwa kama mawe hii ni sababu ya ziwa hilo kuwa na chumvi nyingi (sodium carbonate) kutokana na majivu ya volcano au volcanic ash, Ni flamingo...
4 Reactions
10 Replies
7K Views
MY STORY: My advice made Museveni succeed Lule as NRM chief News MONDAY, 17 AUGUST 2009 10:27 WRITTEN BY SSEMUJJU IBRAHIM NGANDA4 COMMENTS Lule escapes from house arrest in Tanzania How...
6 Reactions
44 Replies
10K Views
Makala yangu kuhusu Prof. Malima niliyobandika juma lililopita iliondolewa kwa haraka. Sijui sababu. Lakini makala ile ile katika website yangu Mohamed Said imejaa wasomaji. Ikiwa na hii...
7 Reactions
103 Replies
14K Views
kipindi hiko sikuwepo,wala sina maelezo ya kutosha ya kihistoria kwa nini siku ile ya muungano,mwalimu hayati nyerere alichanganya udongo wa tanganyika na zanzibari peke yake?hayati karume alikuwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa wale waliokuwa wadogo wakati Tanganyika inapata Uhuru wake ,msidhani hii nchi haikuwa na watu walioithamini,watu wamepigania bila ya kumwaga damu,watu wamesheherekea na walifurahi ,iweje leo...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Mimi kiukweli nampenda sana mwl.nyerere,ingawa jamaa mmoja aliniambia kuwa mimi ni mtumwa wa legacy ya mwalimu,nakubali sana iwapo utumwa huo utanipa muda zaidi wa kupata interesting stories za...
3 Reactions
25 Replies
11K Views
Mwl.Nyerere katika moja ya hotuba zake kwa umma anasema, "Kiongozi ambaye hawezi kuisimamia, kuifuata, kuitetea na kuitetea katiba ya nchi yetu hatufai kabisa. Aondoke akasimamie mashamba yake"...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba kujua historia na asili ya watu hawa na ni nchi waliyotoka.
0 Reactions
3 Replies
18K Views
The world's largest chain of fast food restaurants that serve around 68 million customers each day in 119 countries began operation in 1940 as a barbecue restaurant run by brothers Richard and...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
1st Tanzania British High commissiner after independent. Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani embu oneni na nyinyi hii pich
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Najaribu kupost picha yake lakini naona pana tatizo. Naambiwa pesa ya kwanza hapa nchini ilitengenezwa Tabora na pia hospitali ya mwanzo nchini ilijengwa Tabora hivo kumbe Tabora ina historia...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Jioni ya Agosti Mosi, 1999 vijana wawili, Yaguine Koita na Fodé Tounkara walifanikiwa kuingia katika Uwanja wa Ndege wa Conakry, Mji Mkuu wa Guinea, Nchi iliyo katika Pwani ya Afrika Magharibi...
2 Reactions
1 Replies
3K Views
Mwalimu Julius K.Nyerere alifanya makosa makubwa sana ambayo hadi sasa yanatugharimu kuhusu swali la Muhungano! Nasema kitu kilichokosewa ni Kuwa na Mabunge mawili ndani ya nchi moja!. Kuruhusu...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Back
Top Bottom