Jukwaa la Historia

On JF:

Abdilatif Abdalla Professional Centre Nairobi, 24 Machi, 2018 Ndugu zangu na wanaharakati wenzangu. Ni fahari kubwa kwangu kushirikishwa katika maadhimisho haya ya kumkumbuka Karimi Nduthu...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu zangu angalieni picha hiyo.
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Jina kamili aliitwa Francois Duvalier. Alizaliwa 14 April 1907 na kufa 1971. Alikuwa rais wa Haiti 1957-1971 KABLA YA URAIS Alipata degree ya madawa Chuo Kikuu cha Haiti 1934 na baadae kama...
4 Reactions
15 Replies
4K Views
LEO KATIKA HISTORIA- SEPTEMBA 9, 1990: KIFO CHA DIKTETA SAMUEL DOE WA LIBERIA ****************************************************************************************************** Samuel Kanyon...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
JOHN KETO HISTORIA YANGU KUHUSU ELIMU YANGU NA UZOEFU KATIKA KAZI ZA KUJENGA TAIFA (Kwa hisani ya Dr. Nzige) Waliosimama wa nne kulia ni John Keto University of Edinburgh 1953 Nilizaliwa...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Buhaya kingdom ukisoma history ndo kingdom pekee ambayo kabla ya wakoroni ilikuwa imefikia hatua y'all feudalism pili nitaifa ambalo lilipigana vita ndo maana ikaitwa vita y'all kagera tatu no...
5 Reactions
26 Replies
8K Views
Sheikh Hamisi Mataka Shule ya Msingi Mchikichini sikupata kushika zaidi ya nafasi tatu za juu muda wote wa miaka saba hapo shuleni. Kwa kuwa nilianza darasa la kwanza nikiwa na umri wa miaka 11...
25 Reactions
188 Replies
20K Views
nasikitishwa sana na historia ya sababu zilizo sababisha vita ya pili ya dunia .mwenye kujua naomba mnisaidie nini chanzo cha vita hiyo
0 Reactions
10 Replies
7K Views
Kweli maisha yanabadilika. Wazee kama sisi tumeona mengi kama kobe.
3 Reactions
12 Replies
3K Views
MAMBO ADIMU KABISA KUWAHUSU MARAIS HAWA WA MAREKANI, HAKIKA YANASTAAJABISHA. _______________________________________________ [emoji116][emoji116] _________________________ 1. GROVER CLEVELAND...
3 Reactions
12 Replies
9K Views
Mambo Niajee wakuu, sjawahi post kitu chochote Hapa JF Tangu nimeanza Kuifaham JF Tangu 2012. Turudi kwenye topic hapo Juu. Haya maandamano ya mange kimambi Je Yangekuwa ya kumuunga mkono raisi...
6 Reactions
12 Replies
4K Views
Nimeingia maktaba ili nai nichangie kitu katika mambo ambayo Waismailia, yaani Aga Khan walifanya katika kusaidia Waislam wa Tanganyika. Al Jamiatul Islamiyya Muslim School Katika miaka ya...
5 Reactions
37 Replies
5K Views
Ndugu Wanahistoria, Salaam! Ningependa kujua historia na mchango ya hawa wachumi ambao hawatajwi sana siku hizi. 1. Jumanne Wagao 2. Salvatore Rugumisa 3. Ngila Mwase 4. Kighoma Malima 5. Mboya...
0 Reactions
0 Replies
997 Views
''Kurejea kwa Dk Kabourou nchini na kujiunga na siasa kuliweza kuwa chachu kwa vijana si tu wa Kigoma bali nchini kote.'' (Manju Msambya). Inna lillah wainna Illah rajiun.Poleni wana Ujiji...
3 Reactions
7 Replies
5K Views
Nimepata wasaa wa kutembelea Isimila kujionea malikale. Ni sehemu nzuri ya kuvutia na si mbali toka mjini Iringa, gharama ni nafuu kabisa na mapokezi yanaridhisha sana. Napendekeza upate wasaa pia...
1 Reactions
8 Replies
6K Views
Nimekuwa nikisikia sana hili jina Mwanamakuka anasifiwa sana na baadhi ya redia kama nembo ya wanawake wajasiriamali. Binafsi nimetafuta google sijapata hints zozote! Naomba mwenye kujua...
0 Reactions
10 Replies
10K Views
Nimefikiria mbali wakati nimetulia zangu kitandani,miaka hiyo kwenye 90 kulikuwa na vitu vingi vya burudani mashuleni Mara anakuja jamaa anaendesha baiskeli juu ya paa na kamba,mara anabadili vitu...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Kama una muda unaweza kuona jinsi wajerumani walivyopigana na waingereza hapa Afrika ya Mashariki wakati wa vita kuu ya kwanza ya dunia. Waingereza walijaribu kuingia Tanga ili wafike Dsm chap...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kisiwa cha Toten ni kisiwa kimojawapo cha Tanzania ambacho kinapatikana katika hori ya Tanga kwenye mwambao wa Bahari ya Hindi. Jina latokana katika Kijerumani "Toteninsel" na kumaanisha "Kisiwa...
2 Reactions
1 Replies
4K Views
Mwandishi katika video hii anaanza kuzungumza katika dakika ya 40:40 Hii ni simulizi ya mkasa wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere ilipodhaniwa kalishwa chakula kilichotiwa sumu kwa nia ya...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…