Abdilatif Abdalla
Professional Centre
Nairobi, 24 Machi, 2018
Ndugu zangu na wanaharakati wenzangu.
Ni fahari kubwa kwangu kushirikishwa katika maadhimisho haya ya kumkumbuka Karimi Nduthu...
Jina kamili aliitwa Francois Duvalier. Alizaliwa 14 April 1907 na kufa 1971. Alikuwa rais wa Haiti 1957-1971
KABLA YA URAIS
Alipata degree ya madawa Chuo Kikuu cha Haiti 1934 na baadae kama...
LEO KATIKA HISTORIA- SEPTEMBA 9, 1990: KIFO CHA DIKTETA SAMUEL DOE WA LIBERIA
******************************************************************************************************
Samuel Kanyon...
JOHN KETO
HISTORIA YANGU KUHUSU ELIMU YANGU NA UZOEFU
KATIKA KAZI ZA KUJENGA TAIFA
(Kwa hisani ya Dr. Nzige)
Waliosimama wa nne kulia ni John Keto University of Edinburgh 1953
Nilizaliwa...
Buhaya kingdom ukisoma history ndo kingdom pekee ambayo kabla ya wakoroni ilikuwa imefikia hatua y'all feudalism pili nitaifa ambalo lilipigana vita ndo maana ikaitwa vita y'all kagera tatu no...
Sheikh Hamisi Mataka
Shule ya Msingi Mchikichini sikupata kushika zaidi ya nafasi tatu za juu muda wote wa miaka saba hapo shuleni. Kwa kuwa nilianza darasa la kwanza nikiwa na umri wa miaka 11...
MAMBO ADIMU KABISA KUWAHUSU MARAIS HAWA WA MAREKANI, HAKIKA YANASTAAJABISHA.
_______________________________________________
[emoji116][emoji116]
_________________________
1. GROVER CLEVELAND...
Mambo Niajee wakuu, sjawahi post kitu chochote Hapa JF Tangu nimeanza Kuifaham JF Tangu 2012. Turudi kwenye topic hapo Juu. Haya maandamano ya mange kimambi Je Yangekuwa ya kumuunga mkono raisi...
Nimeingia maktaba ili nai nichangie kitu katika mambo ambayo Waismailia, yaani Aga Khan walifanya katika kusaidia Waislam wa Tanganyika.
Al Jamiatul Islamiyya Muslim School
Katika miaka ya...
Ndugu Wanahistoria,
Salaam! Ningependa kujua historia na mchango ya hawa wachumi ambao hawatajwi sana siku hizi.
1. Jumanne Wagao
2. Salvatore Rugumisa
3. Ngila Mwase
4. Kighoma Malima
5. Mboya...
''Kurejea kwa Dk Kabourou nchini na kujiunga na siasa
kuliweza kuwa chachu kwa vijana si tu wa Kigoma bali nchini kote.''
(Manju Msambya).
Inna lillah wainna Illah rajiun.Poleni wana Ujiji...
Nimepata wasaa wa kutembelea Isimila kujionea malikale. Ni sehemu nzuri ya kuvutia na si mbali toka mjini Iringa, gharama ni nafuu kabisa na mapokezi yanaridhisha sana. Napendekeza upate wasaa pia...
Nimekuwa nikisikia sana hili jina Mwanamakuka anasifiwa sana na baadhi ya redia kama nembo ya wanawake wajasiriamali. Binafsi nimetafuta google sijapata hints zozote!
Naomba mwenye kujua...
Nimefikiria mbali wakati nimetulia zangu kitandani,miaka hiyo kwenye 90 kulikuwa na vitu vingi vya burudani mashuleni
Mara anakuja jamaa anaendesha baiskeli juu ya paa na kamba,mara anabadili vitu...
Kama una muda unaweza kuona jinsi wajerumani walivyopigana na waingereza hapa Afrika ya Mashariki wakati wa vita kuu ya kwanza ya dunia.
Waingereza walijaribu kuingia Tanga ili wafike Dsm chap...
Kisiwa cha Toten ni kisiwa kimojawapo cha Tanzania ambacho kinapatikana katika hori ya Tanga kwenye mwambao wa Bahari ya Hindi. Jina latokana katika Kijerumani "Toteninsel" na kumaanisha "Kisiwa...
Mwandishi katika video hii anaanza kuzungumza katika dakika ya 40:40
Hii ni simulizi ya mkasa wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere ilipodhaniwa kalishwa chakula kilichotiwa sumu kwa nia ya...