Kipi ambacho watajaziabikiwa wewe hata lengo lako/swali halielewekiNitaacha wanaJF wengine waje kujazia.
Napakumbuka hapo wakati ansoma kibaha.no kweli unayosema??Na picha ya ndege KIBAHA
yaah zamani wakiishi ndani huko kukiitwa Lulanzi then badae watimul;iwa wasogee road na kuunda kijiji ambacho now kinajulikan kam PCHNapakumbuka hapo wakati ansoma kibaha.no kweli unayosema??
Sasa mkuu neno picha ya ndege lilitokana na nini?yaah zamani wakiishi ndani huko kukiitwa Lulanzi then badae watimul;iwa wasogee road na kuunda kijiji ambacho now kinajulikan kam PCH
Palikuwa pana SANAMU LA ndege pale....NDEGE YA MZUNGU.... SIO NDEGE kinega,, mfano hadi leo ukipita pale utaona kuna NDEGE YA MBAO SEHEMU.... imefungwa,,, kama inapaaSasa mkuu neno picha ya ndege lilitokana na nini?