East Africa military operations during the first world war

z12f

JF-Expert Member
Dec 4, 2017
638
458
Kama una muda unaweza kuona jinsi wajerumani walivyopigana na waingereza hapa Afrika ya Mashariki wakati wa vita kuu ya kwanza ya dunia.

Waingereza walijaribu kuingia Tanga ili wafike Dsm chap chap lakini wakafeli.

Baadae walivamia kupitia Himo, then Moshi. Jeshi lao liliongozwa na Luteni Jenerali Smuts (ambae baadae alikuja kuwa kiongozi wa Afrika kusini). Jeshi la Wajerumani liliongozwa na Paul von Lettow-Vorbeck. Baadae Hitler alipoingia madarakani huko Ujerumani, alimsifia Paul von Lettow-Vorbeck kwa ujasiri wake during WWI.

Military operations : East Africa / compiled by Charles Hordern ; founded on a draft by the late Major H. Fitz M. Stacke. Sketch maps by the compiler.
 
Kama una muda unaweza kuona jinsi wajerumani walivyopigana na waingereza hapa Afrika ya Mashariki wakati wa vita kuu ya kwanza ya dunia.

Waingereza walijaribu kuingia Tanga ili wafike Dsm chap chap lakini wakafeli.

Baadae walivamia kupitia Himo, then Moshi. Jeshi lao liliongozwa na Luteni Jenerali Smuts (ambae baadae alikuja kuwa kiongozi wa Afrika kusini). Jeshi la Wajerumani liliongozwa na Paul von Lettow-Vorbeck. Baadae Hitler alipoingia madarakani huko Ujerumani, alimsifia Paul von Lettow-Vorbeck kwa ujasiri wake during WWI.

Military operations : East Africa / compiled by Charles Hordern ; founded on a draft by the late Major H. Fitz M. Stacke. Sketch maps by the compiler.
Z12f,
Ahsante sana kwa historia hii.

Naingia Maktaba In Shaa Allah nitakuwekea hapa yaliyoandikwa na Kleist Sykes katika kumbukumbu zake za vita hii WWI yeye akiwa askari katika jeshi la Wajerumani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom