Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeir katika nasaha zake
amesema historia ya Saigon Club iandikwe kwani kiandikwacho
hudumu.
Mufti akaendelea kusema kuwa Saigon Club ni kielelezo cha
historia...
By Hamis Hababi.
Kijana huyu Abdul Mahmoud Omar Athuman Kagobe, (Abdu Nondo) ni mjukuu wa Omar Athuman Kagobe, ambaye ni veteran wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia (1914 – 1918), na baadae alijiunga...
Vyama vya upinzani ni demokrasia na ni chachu ya kuleta maendeleo.Ni kama vile zilivyo dini mbalimbali na waumini wake.Kwa Tanzania vyama vya upinzani imekua ni uadui mkubwa na uhasama...
Makabila mengi yaliyopo Tanzania siyo ya asili ya hapa mengi yalihamia miaka ya zamani na kuweka makazi haswa kutokana ardhi hii kuwa na ardhi yenye rutuba kwaajili ya kilimo na malisho ya...
Lugha inayojulikana leo kama kibantu, ni lugha ya zamani sana. Kama wewe ni mbantu ukisoma maneno ya ancient Sumeria (wakati inakaliwa na watu weusi, Hamites) utashangaa kwamba unaelewa baadhi ya...
Habari wanajamvi,
Naombeni kama kuna mtu anaye fahamu au mwenye historia ya watu waliokuwa wanaishi katika eneo la Engaruka Wilayani Monduli Mkoani Arusha.
Wenyeji/watu waliokuwa wanahishi eneo...
The Bunge can be a very interesting theatre for epic stories of which authors like Irving Wallace could be inspired to write best seller tantalising novels which film makers like Oliver Stone or...
The Danube, known by various names in other languages, is Europe's second longest river, after the Volga. It is located in Central and Eastern Europe. The Danube was once a long-standing frontier...
Ukiachilia mbali kuwa Wilaya ya Manyoni kuna Kijiji kinaitwa Chisingisa ambapo ndio ipo alama ya kuonyesha pale ndio katikati kabisa ya Tanzania, lakini nimekutana na hichi kisa hivi karibuni...
Naomba mwenye kukumbuka anisaidie hiyo statement aliitoa Nyerere, mwaka gani na kwenye tukio gani. Ikiwezekana na kitabu chenye quotation ya hiyo statement nitafurahi
kati ya mwaka 1330 hadi 1355 duniani kuliibuka plague au tauni kali sana maarufu kama black death. Kitabu hiki kinaelezea chanzo, madhara na matokea ya Tauni hii huko ulaya. Tauni hii inasemekana...
Habari zenu wakuu,
Ninapenda kuwasilisha historia fupi ya 'double agent' Juan Pujol Garcia almaarufu 'Agent Garbo' au Alaric Arabel.
Garbo ni mzaliwa wa Spain(Barcelona) katika familia ya...
kwa wenye historia ya mzee Bakari Mfaranyaki alikuwa na mchango gani huyu mzee maana mi nimesikia habari zake juu juu tu sasa sijajua imekaaje historia yake
Singida ni moja ya mkoa unaopatikana katika nchi ya Tanzania. Wakazi asilia wa mji huu ni Wanyaturu na Wanyiramba (habari zao tulishaandika).
Mji wa singida ni moja ya maeneo yenye historia kubwa...
Kwa kuwa historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika haifahamiki na wengi hii imepelekea pia kwa wanawake wanachama wa mwanzo kujiunga na TANU kupigania uhuru wa Tanganyika wengi wao hawafahamiki...
Jean Bedel Bokassa alikuwa dikteta wa CAR, alikuwa na wake 17 na watoto hamsini. Alifanywa yatima wafaransa walipomuua baba yake akiwa na miaka 6.
Baada ya baba yake kufa mama yake naye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.