Ahmadi Brown
Member
- Feb 11, 2019
- 19
- 19
#TUJIKUMBUSHE
Ukiambiwa Dr Salim Ahmed Salim aliteuliwa balozi nchini Misri akiwa na miaka 22 halafu ukalinganisha na vijana wetu wa leo wenye elimu na umri huo utaona km vile tunarudi nyuma badala kwenda mbele...
Na ukiambiwa miaka ya 70 hadi 90 nchi yetu ilikuwa na vyama vya ushirika kila mkoa vyenye nguvu kabisa ya kuweza kununua mazao ya wakulima bila matatizo halafu ukalinganisha na Sacco's za sasa hivi za wasomi utaona tunarudi nyuma badala ya kwenda mbele..
Ukiambiwa zamani nchi yetu bila wasomi ilikuwa na viwanda Mutex mwatex kiltex urafiki nk na mashirika ya umma yenye mafanikio makubwa sana lkn baada ya wasomi kuyaongoza ndo yamefilisika kabisa lazima utakuwa na mashaka na elimu za vijana wetu...
Ukiambiwa zamani kwamba mzazi yeyote alikuwa anaweza kumchapa mtoto ambaye siyo wake na mtoto akienda kulalamika kwao anaongezewa kipigo utajua madili yanazidi kuporomoka kuliko zamani...
Ukiambiwa zamani vijana walikuwa wanachaguliwa wachumba na wazazi wao na wanakubaliana kuoana na ndoa zinadumu tofauti na sasa vijana wanachunguzana miaka mitano lkn wakioana ndoa hazidumu utagundua watu wa zamani hawakuwa na elimu lkn walikuwa na busara kuzidi wa sasa hivi...
Ukiambiwa akina mama wa zamani walikuwa wanaenda shambani na mtoto mgongoni anapitia maji kichwani na kuni lkn wa Siku hizi hata kupika ugali hawawezi utaelewa kuwa Siku hizi wamebaki wanawake majina tu wanatamani kutumia computer kupika wali....
Ukiambiwa zamani wazee wa kimila walikuwa na maadili sana tofauti na viongozi wa dini Siku hizi..utagundua dini zimekuja kwa nia nzuri lkn zinatumiwa vibaya....
Au wewe unaonaje? Kwamba miaka ijayo tutakuwa na wasomi wengi wa mitandaoni lkn watendaji wa mikono hawatakuwepo!
Ukiambiwa Dr Salim Ahmed Salim aliteuliwa balozi nchini Misri akiwa na miaka 22 halafu ukalinganisha na vijana wetu wa leo wenye elimu na umri huo utaona km vile tunarudi nyuma badala kwenda mbele...
Na ukiambiwa miaka ya 70 hadi 90 nchi yetu ilikuwa na vyama vya ushirika kila mkoa vyenye nguvu kabisa ya kuweza kununua mazao ya wakulima bila matatizo halafu ukalinganisha na Sacco's za sasa hivi za wasomi utaona tunarudi nyuma badala ya kwenda mbele..
Ukiambiwa zamani nchi yetu bila wasomi ilikuwa na viwanda Mutex mwatex kiltex urafiki nk na mashirika ya umma yenye mafanikio makubwa sana lkn baada ya wasomi kuyaongoza ndo yamefilisika kabisa lazima utakuwa na mashaka na elimu za vijana wetu...
Ukiambiwa zamani kwamba mzazi yeyote alikuwa anaweza kumchapa mtoto ambaye siyo wake na mtoto akienda kulalamika kwao anaongezewa kipigo utajua madili yanazidi kuporomoka kuliko zamani...
Ukiambiwa zamani vijana walikuwa wanachaguliwa wachumba na wazazi wao na wanakubaliana kuoana na ndoa zinadumu tofauti na sasa vijana wanachunguzana miaka mitano lkn wakioana ndoa hazidumu utagundua watu wa zamani hawakuwa na elimu lkn walikuwa na busara kuzidi wa sasa hivi...
Ukiambiwa akina mama wa zamani walikuwa wanaenda shambani na mtoto mgongoni anapitia maji kichwani na kuni lkn wa Siku hizi hata kupika ugali hawawezi utaelewa kuwa Siku hizi wamebaki wanawake majina tu wanatamani kutumia computer kupika wali....
Ukiambiwa zamani wazee wa kimila walikuwa na maadili sana tofauti na viongozi wa dini Siku hizi..utagundua dini zimekuja kwa nia nzuri lkn zinatumiwa vibaya....
Au wewe unaonaje? Kwamba miaka ijayo tutakuwa na wasomi wengi wa mitandaoni lkn watendaji wa mikono hawatakuwepo!