Jukwaa la Historia

On JF:

Katika kupenda kwangu kudadisi mambo na kukaa na wazee wa zamani nilipata kupewa simulizi juu ya vita ambayo haiku andikwa sana ya Wasambaa na Wajerumani. Ikumbukwe kwamba Chifu wa wasambaa miaka...
1 Reactions
3 Replies
7K Views
Hili kaburi liko Bagamoyo, nila Distritc Commissioner wa Kwanza wa Waingereza, Honorable William Francis Bamphylde, (1892-1930). Alijiua baada ya kugundua houseboi wake anafanya mapenzi na mkewe...
2 Reactions
14 Replies
4K Views
Jimbo la California kule marekani lilipata jina lake kutoka kwa Malkia mweusi aliye itwa Califia . Kwa mujibu wa historia, California kilikuwa kisiwa ambapo wanawake weusi tuu waliishi. Wanawake...
4 Reactions
10 Replies
5K Views
OLAUDAH EQUANO (1745 -1797) Ifahamike kuwa katika histori ya Afrika hasa kwa upande wa Afrika magharibi, biashara ya utumwa ilishamili kwa kiasi kikubwa sana. Kulikuwa na idadi kubwa ya Waafrika...
5 Reactions
7 Replies
7K Views
Siku ya leo nilikuwa najisomea kitabu changu kiitwacho THE HISTORY OF THE WANGONI kilichoandikwa na Father ELZEAR EBNER, OSB..Nitawaonyesha siku nyingine. Nachotaka kusema hapa ni kwamba mara...
2 Reactions
8 Replies
11K Views
*THE SOMALI EMPIRE IN 1000 worldwide Last week, my colleagues and I were traveling from Nakuru to Nairobi; and, along the way, we talked about the quarrel between Kenya and Somalia over their...
2 Reactions
41 Replies
8K Views
KUTOKA MAKTABA ZA KIJESHI Baada ya jaribio la mapinduzi kushindwa, Nyerere aliamua kuchukua hatua kadhaa zilizobadili taswira ya jeshi la Tanzania. Muhtasari. Ilikuwa jioni ya January 20...
22 Reactions
57 Replies
14K Views
Nilichokisema na ninachoendelea kukisema mpaka sasa ni kuwa, huruma yetu ya machoni au machozi yetu tunayoyaonyesha hayawezi kubadili uamuzi wa mahakama, kama tunadhani hilo linawezekana basi ni...
0 Reactions
0 Replies
871 Views
Mababu weusi wa kale huko misri walikuwa wanaamini kuwa Maisha na watu walikuwa na mwanzo, kivipi!!? Elimu ya mababu hao inasema hapo mwanzo kulikuwa na maji yaliyokuwa yamejaa Dunia Nzima...
6 Reactions
81 Replies
23K Views
Nakusalimu maalim Mohamed Said Hii picha niliikuta katika kumbukumbu zangu, lakini sikumbuki asili nilipoipata, napia mueleo wangu ni mdogo juu ya hili suala, kwaiyo naomba msaada kwa mujibu wa...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Anaitwa Mfalme Henry VIII Alimuona mwanamke mrembo anayeitwa Catherine wa Wales. Ni mwanamke aliyempenda ila tatizo lilikuja pale ambapo mwanamke huyo kila alipokuwa akipata mimba, alizaa watoto...
2 Reactions
4 Replies
3K Views
Afrika ilipoteza wana mapambano wawili kwa mpigo, Afrika imeshudia kumpoteza Kofi Annan Katibu Mkuu wa kwanza mweusi kutoka Afrika hii ni pigo kwa wana mapambano wa haki duniani. Lakini mapema...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
1. Kinjeketile Ngwale 2. Mkwawa Munyigumba 3. David Musuguri 4. Chief Chabruma 5. Robert Mboma 6. ...
3 Reactions
132 Replies
27K Views
Wengi wetu tumekulia Dar es Salaam na tumeuona unazi wa Simba na Yanga ulivyokuwa. Nakumbuka siku kama ya leo ambayo sasa tunaita Dar es Salaam Derby ukipenda Kariakoo Derby ilivyokuwa...
7 Reactions
14 Replies
3K Views
Historia ya Afrika ni historia[1] ya bara hilo lililo asili ya binadamu wote. Kwa ujumla, historia ni kumbukumbu ya maisha ya mwanadamu duniani, hasa ile tarehe iliyosajiliwa na kuhifadhiwa...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
PART 2 : tulipoishia.... Jina “WAYAHUDI” lilitumiwa kwa mara ya kwanza na Mordekai ndani ya Biblia katika kitabu cha Esther kuwatambulisha watu wa kabila la Yuda waliokuwa uhamishoni kwenye nchi...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Montaza Palace, Alexandria June 1988 Ndugu zangu nilikuwa napita Maktaba Idara ya Picha. Nia yangu ni kuandika kitu kidogo kuhusu mji wa Alexandria. Katika pekua pekua nikakuta picha hiyo...
9 Reactions
27 Replies
4K Views
Wadau wote wa humu na wale ambao wamebarikiwa kuwa na ujuzi wa masuala mbalimbali hasa kwenye mambo ya imani n.k ningependa kufahamu na si mimi peke yangu hata wengine pia wangependa kujua je, ni...
2 Reactions
9 Replies
4K Views
Written by Mohamed Said; [/B][/COLOR]Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle What is saddening about the history of Tanganyika’s struggle for independence is the fact that, more than four...
9 Reactions
2K Replies
185K Views
Wanaukumbi, Imekuwaje leo Uislam wa Zanzibar unakuwa neno miaka 50 baada ya muungano? Kuna kitu hapa hakisemwi kwa kuwa kinatisha. Dunia nzima hivi sasa Uislam unakuja juu na huu ni ukweli...
25 Reactions
599 Replies
68K Views
Back
Top Bottom