Katika kupenda kwangu kudadisi mambo na kukaa na wazee wa zamani nilipata kupewa simulizi juu ya vita ambayo haiku andikwa sana ya Wasambaa na Wajerumani.
Ikumbukwe kwamba Chifu wa wasambaa miaka...
Hili kaburi liko Bagamoyo, nila Distritc Commissioner wa Kwanza wa Waingereza, Honorable William Francis Bamphylde, (1892-1930).
Alijiua baada ya kugundua houseboi wake anafanya mapenzi na mkewe...
Jimbo la California kule marekani lilipata jina lake kutoka kwa Malkia mweusi aliye itwa Califia . Kwa mujibu wa historia, California kilikuwa kisiwa ambapo wanawake weusi tuu waliishi. Wanawake...
OLAUDAH EQUANO (1745 -1797)
Ifahamike kuwa katika histori ya Afrika hasa kwa upande wa Afrika magharibi, biashara ya utumwa ilishamili kwa kiasi kikubwa sana. Kulikuwa na idadi kubwa ya Waafrika...
Siku ya leo nilikuwa najisomea kitabu changu kiitwacho THE HISTORY OF THE WANGONI kilichoandikwa na Father ELZEAR EBNER, OSB..Nitawaonyesha siku nyingine. Nachotaka kusema hapa ni kwamba mara...
*THE SOMALI EMPIRE IN 1000 worldwide
Last week, my colleagues and I were traveling from Nakuru to Nairobi; and, along the way, we talked about the quarrel between Kenya and Somalia over their...
KUTOKA MAKTABA ZA KIJESHI
Baada ya jaribio la mapinduzi kushindwa, Nyerere aliamua kuchukua hatua kadhaa zilizobadili taswira ya jeshi la Tanzania.
Muhtasari.
Ilikuwa jioni ya January 20...
Nilichokisema na ninachoendelea kukisema mpaka sasa ni kuwa, huruma yetu ya machoni au machozi yetu tunayoyaonyesha hayawezi kubadili uamuzi wa mahakama, kama tunadhani hilo linawezekana basi ni...
Mababu weusi wa kale huko misri walikuwa wanaamini kuwa Maisha na watu walikuwa na mwanzo, kivipi!!?
Elimu ya mababu hao inasema hapo mwanzo kulikuwa na maji yaliyokuwa yamejaa Dunia Nzima...
Nakusalimu maalim Mohamed Said
Hii picha niliikuta katika kumbukumbu zangu, lakini sikumbuki asili nilipoipata, napia mueleo wangu ni mdogo juu ya hili suala, kwaiyo naomba msaada kwa mujibu wa...
Anaitwa Mfalme Henry VIII
Alimuona mwanamke mrembo anayeitwa Catherine wa Wales. Ni mwanamke aliyempenda ila tatizo lilikuja pale ambapo mwanamke huyo kila alipokuwa akipata mimba, alizaa watoto...
Afrika ilipoteza wana mapambano wawili kwa mpigo, Afrika imeshudia kumpoteza Kofi Annan Katibu Mkuu wa kwanza mweusi kutoka Afrika hii ni pigo kwa wana mapambano wa haki duniani. Lakini mapema...
Wengi wetu tumekulia Dar es Salaam na tumeuona unazi wa Simba na Yanga ulivyokuwa.
Nakumbuka siku kama ya leo ambayo sasa tunaita Dar es Salaam Derby ukipenda Kariakoo Derby ilivyokuwa...
Historia ya Afrika ni historia[1] ya bara hilo lililo asili ya binadamu wote.
Kwa ujumla, historia ni kumbukumbu ya maisha ya mwanadamu duniani, hasa ile tarehe iliyosajiliwa na kuhifadhiwa...
PART 2 : tulipoishia....
Jina “WAYAHUDI” lilitumiwa kwa mara ya kwanza na Mordekai ndani ya Biblia katika kitabu cha Esther kuwatambulisha watu wa kabila la Yuda waliokuwa uhamishoni kwenye nchi...
Montaza Palace, Alexandria June 1988
Ndugu zangu nilikuwa napita Maktaba Idara ya Picha.
Nia yangu ni kuandika kitu kidogo kuhusu mji wa Alexandria.
Katika pekua pekua nikakuta picha hiyo...
Wadau wote wa humu na wale ambao wamebarikiwa kuwa na ujuzi wa masuala mbalimbali hasa kwenye mambo ya imani n.k ningependa kufahamu na si mimi peke yangu hata wengine pia wangependa kujua je, ni...
Written by Mohamed Said;
[/B][/COLOR]Islams role in Tanzanias freedom struggle
What is saddening about the history of Tanganyikas struggle for independence is the fact that, more than four...
Wanaukumbi,
Imekuwaje leo Uislam wa Zanzibar unakuwa neno miaka 50 baada ya muungano? Kuna kitu hapa hakisemwi kwa kuwa kinatisha. Dunia nzima hivi sasa Uislam unakuja juu na huu ni ukweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.