Na Ahmed Rajab
TWAYIB! Imeingia Ramadhani na tupo barazani. Sijui kwanini Ramadhani hii inanikumbusha ya 1964 mwaka ulioiweka njia panda historia ya Zanzibar. Mapinduzi yalikuwa bado mabichi...
Carl Peters (27 Septemba 1856 - 10 Septemba 1918), alikuwa mtawala wa kikoloni wa Ujerumani, mvumbuzi, mwanasiasa na mwandishi na muasisi mkuu wa koloni la Ujerumani la Afrika Mashariki (sehemu ya...
Na Ahmed Rajab
TWAYIB! Imeingia Ramadhani na tupo barazani. Sijui kwanini Ramadhani hii inanikumbusha ya 1964 mwaka ulioiweka njia panda historia ya Zanzibar. Mapinduzi yalikuwa bado mabichi...
Kwa mara ya kwanza paka huyu aliyekuwa na rangi nyeusi na nyeupe alikuwa anamilikiwa na mwanajeshi wa Ujerumani Bismarck, na alikuwepo katika safari ya meli ya Ujerumani ya mei 18, 1941 wakati...
Jean-Paul Charles Aymard Sartre Mwandishi na mwanafalsafa kutoka nchini Ufaransa aliwahi kuandika kumuhusu Ernesto "Che" Guevara, kwamba; “ not only an intellectual but also the most complete...
K’naan (KEINAN ABDI WARSAME) ni msanii kutoka CANADA na pia ni mzaliwa wa SOMALIA mjini Mogadishu. Watu wengi wanamtambua kwa nyimbo yake maarufu ya waving flag ambayo aliitunga kwaajili ya...
SAFARI YAKE YA KWANZA NJE YA NCHI
By Livino Ngalimitumba Haule (Lingaha)
Nelson Mandela akiwa mwanaharakati wa kupigania uhuru wa watu weusi wa Afrika Kusini toka kwa serikali ya 'mkaburu.'...
SHEIKH HASSAN BIN AMEIR (1880 - 1979) NA WAISLAM WA BURUNDI
''Waislam walipoona juhudi zao zote hizi zinagonga ukuta wakaona waombe msaada kwa kutoka kwa ndugu zao Waislam wa Tanganyika kupitia...
Kaisari Nero anajulikana kwa ukatili mkubwa aliowafanyia watu alikuwa akiogopwa Sana na watu wake Kaisari Nero Kwanza alimuua mama yake afu akamuua mke wake .mwaka 64 A.D. alisabisha Moto...
Abishai alikuwa mtoto wa Seruya dada yake Daudi. Pia alikuwa kaka wa Yoabu na Asaheli. Abishai ni moja kati ya wale mashujaa watatu ambao walikuwa mashuhuri kuliko wale thelathini.
Katika Biblia...
Mchungaji maarufu duniani anayetokea katika taifa la Nigeria TEMITOPE BALOGUN JOSHUA alimaarufu kama TB JOSHUA ameamua kufunga na kupanda milimani kwa ajili ya maombi maalumu kuombe janga la...
Je, wajua kuwa Japan wanalo onyesho la uume 😌 maonyesho haya yanajulikana sana kama "KANAMARA MATSURI" ikimaanisha onyesho la kuiba uume huwa yanaonyeshwa kila mwaka mwanzoni mwa mwezi wa nne kila...
Huku tukiendelea kujikinga na Corona nimeona kidogo tujikumbushe historia kidogo ya hii Vita maarufu huko barani ulaya .chanzo Cha Vita ni kushindwa kwa mkutano wa amani(An important cause of the...
Wakati wa uhai wake Kim Jong-il baba mzazi wa Kim Jong-Un, Kiongozi mkuu wa Korea Kaskazini alioa wanawake wawili ambao ni Hong Il-chon na Kim Young-sook. Lakini aliishi kinyumba na wanawake...
Habari zenyuu wakuu
Matumaini yangu mko wazima wa afyaa
Tukiwa tunasubiri uzinduzi wa kiwanda kingine
Moja kwa moja kwenye mada:Leo katika kusikiliza idhaa ya kiswahil Dw, (Dunia yetu leo...
Heshima kwenu wakuu,
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliundwa mnamo tarehe 26 Aprili, 1964 kwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar (inayojumuisha Visiwa vya Pemba na Unguja). Tanganyika ilikuwa ni...
#HISTORIA Ya Afrika Ina Mengi Sana, Moja Ya Maandiko Ni Juu Ya Ujio Wa Jamii Za Kigeni, SEWA HAJJI Ni Mmoja Kati Yao Ni Mtu Pekee Aliyethamini Utu Wa Mtu Ambae Hakujali Dini Au Rangi Ya Mtu...
Ilikuwa kama ni sheria nyumbani kwetu kuwa chakula cha jioni tujumuike sote kula na baba mezani na si kama nyumbani kwetu kulikuwa na watu wengi.
Mtoto nilikuwa mimi peke yangu na ikiwa hakuna...
Kuchunguza 'janga la kicheko' la 1962
"Utafiti wa Christian F. Hempelmann."
Katika maadhimisho ya miaka 40 ya Mlipuko wa Kucheka kwa Tanganyika ya mwaka wa 1962, mgombea wa udadisi wa lugha ya...