Jukwaa la Historia

On JF:

OPERATION WET-I-E COUNTER-COUP; MAPINDUZI PEKEE AFRIKA YALIYO JIRATIBU YENYEWE, YAKAPINDUA NAYO YAKAPINDULIWA KISHA YAKAIGEUZA NIGERIA KUWA UWANJA WA MAPINDUZI. Na. Comred Mbwana Allyamtu...
12 Reactions
15 Replies
4K Views
Hii makala niliiandika siku kama ya leo mwaka jana. Leo niko hapa najibu maswali kuhusu Abdul Sykes. Ndugu zangu hebu someni hayo makala hapo chini: TAHARUKI YA BI. MUGAYA NYANG'OMBE NA WANA...
6 Reactions
2 Replies
3K Views
mimi mutwa mukulu nawakilisha kizazi cha dot com. nikiwa shule ya msingi ilembula njombe kwa mzee nyimbo, nilibahatika kusoma baadhi ya vitabu vya zamani kwani kijiji kile watu walianza kusoma...
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Hii ni Ikulu ya Alexander aliipendelea sana Tsar Nicholas II Kabla ya Ujamaa walimuamini Yesu
3 Reactions
26 Replies
4K Views
Rasputin with his wife and daughter Matryona (Maria) in his St. Petersburg apartment in 1911 Rasputin ni mzaliwa wa Urusi, alikuwa mshika dini sana na alijitangazia uwezo wa kuponya magonjwa...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Kuna baadhi ya vifungu kwenye Bible uki connect dott unapata picha tofauti kabisa kuhusu Dini. Wakati wa Biashara za watumwa, Watumwa walivyo kuwa wanafika kule hawakuruhusiwa kujifunza kitu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hili Jambo limekuwa likinitatiza sana hasa nchini Misri na Israel. Kumekuwa na mtindo wa kufukua makaburi ya watu wa kale kwa kisingizio cha kufanya tafiti za kihistoria. Hivi hao watu...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Siti binti Saad alizaliwa katika kijiji cha Fumba, Zanzibari mwaka 1880. Alipozaliwa alipewa jina la 'Mtumwa' hii ni kwa vile alizaliwa katika kipindi cha utumwa wa Kiarabu. Jina la Siti alipewa...
13 Reactions
7 Replies
7K Views
By Malisa GJ Wakati wa uhai wake Kim Jong-il baba mzazi wa Kim Jong-Un, Kiongozi mkuu wa Korea Kaskazini alioa wanawake wawili ambao ni Hong Il-chon na Kim Young-sook. Lakini aliishi kinyumba na...
7 Reactions
24 Replies
6K Views
2003 INVASION OF IRAQ: Kanisa Katoliki Vatican na ushawishi wake juu ya msamaha kwa Waziri Tariq Aziz. Mkristo kindakindaki na swahiba mkuu (Inner Circle) wa Saddam Hussein. Waziri wa zamani wa...
13 Reactions
106 Replies
15K Views
Aliyekuwa Rais wa kwanza wa Zambia mzee Kenneth Kaunda amefariki dunia katika hospitali ya jeshi mjini Lusaka, alikokuwa amelazwa kutokana na kuumwa. Kuumwa na kuaga dunia kwa Mzee Kaunda, sio tu...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
‘Seppuku’ au ‘Harakiri’ inamaanisha “kukata tumbo kwa kisu”, hii ni aina ya tamaduni ya kujikafiri kwa kujikata na kulichana tumbo kwa kisu iliyokuwa ikifanyika Japan ya kale. Mila hii ya kikatili...
3 Reactions
19 Replies
4K Views
Alizaliwa tarehe 10.7.1951 Elimu Alisoma shule ya msingi ya Mawenge Middle School mwaka 1961 hadi 1964 1965 hadi 1965 St. Francis College Pugu 1969 hadi 1970 Shinyanga Secondary ‘’A’’ Level 1971...
11 Reactions
29 Replies
9K Views
Haya ma basin yaliweka maji ya kunawia, vyoo vilijengwa karibu na chemichemi na kulikua na mtiririko wa maji unaosafisha uchafu.
15 Reactions
38 Replies
6K Views
TIMU YA TANGANYIKA GOSSAGE CUP 1961 Majina ya wachezaji wote na maelezo ya ziada kayatoa John Limo baada ya kumfikishia hii picha. Tumshukuru kwa kutufanyia hisani hii: Kutoka kushoto: Henrick...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
KENNETH DAVID KAUNDA NA ALLY KLEIST 1953 Leo Kenneth Kaunda katimiza miaka 97. Nimeangalia picha ya Kenneth David Kaunda na picha hii ikanikumbusha uhusiano wa Kaunda na Ally Kleist Sykes wakati...
6 Reactions
6 Replies
2K Views
Mpaka mtoto afikishe miaka miwili + ndiyo anaweza kutambua kuwa anahitaji haja kubwa au ndogo hapa ndipo anafundishwa kujistiri. Enzi tuna vaa magome ya miti watoto walitunzwaje ili kinyesi...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
+ Katika Vitabu maarufu vya historia vinavyotolewa na "UNESCO World Heritage" kuna Makala ambazo huwa zinahusu orodha ya miji mikongwe ambayo mpaka leo inakaliwa na watu (List of oldest...
7 Reactions
27 Replies
5K Views
Siku moja nimepita ofisini kwa Bwana Ally Sykes na katika mazungumzo yetu akaniambia kuwa alikuwa siku ya pili anasafiri anakwenda London. Palepale ikanijia fikra nimpe Bwana Ally makala yangu...
4 Reactions
6 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…