Ndugu wana jamvi taarifa zilizopo kwa sasa ni kuwa raiskuna baadhi ya watu wamejifungi mahali wakijadili vipaumbele sita ambavyo rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania aliviainisha ambavyo...
Waungwana nisaidieni ,....hili lnakuwa sasa..sasa tuna Drs WENGI, Prof WENGI..Lakini mtu anakurupuka kutaka kuwa bosi tena mtu mzito kwenye taasisi tena kubwa chuo kikuu ..anagali ana Masters...
Naomba msaada taratibu udahili A Level shule za serikali. Je ipo kamati inayosimamia udahili kama ya vyuo vikuu a mwanafunzi inabidi kutuma maombi shule husika? Ahsante
Wakuu wote tiumeshuhudia moto wa matokeo ya Kidato cha Nne 2012 ambao umehitimishwa kwa kuunda tume ya kuchunguza chanzo cha jambo ambalo sababu zake ziko wazi kabisa. Ikumbukwe kuwa matokeo ya...
Wakuu leo nikiwa katika nyumba ya ibada kumwabudu Mungu nimeshangaa na kushindwa kumwelewa mwanafunzi mwenye matokeo haya:
S2663/0001
F
34
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F PHY-F CHEM-F...
Katika familia yangu mimi ni wa kwanza na jumla tupo watano. Na mama yetu ndo aliyetulea mpka kufikia hapa.
Mimi nimesoma na ni Daktari wa binadamu yaani MD.
Mdogo wangu aliyenifuata amesoma...
Matokeo mabaya ya kidatu cha nne yangelipunguzwa kama ile sera ya mitihani ya kidatu cha pili ingeiiimarishwa na kuzingatiwa. Mtihani wa kidato cha pili unawafanya watoto kujiandaa vyema kuvuka...
Naomba msaada utaratibu wa udahili A level shule za serikali. Je ipo kamati ya udahili kama ya vyuo vikuu au mwanafunzi anahitajika kutuma maombi shule husika? Natanguliza shukurani.
Katika hali ya kawaida haiwezekani asilimia 60% ya watahiniwa wa form 4 wakafeli mtihani. Sote tunajua kwamba wanafunzi hawakufundishwa vizuri kwa sababu mbalimbali lakini kubwa ni mgomo wa...
Wadau nipo sehem hapa naona TBCCM1 ikiendesha mada hii na wasemaji ni Prof. Enstella Bhalalusesa (kamishna wa elimu Tanzania), Mahamoud Mringo (Mwenyekiti wa wamiliki wa shule binafsi) na Dr...
TAMKO LA JUKWAA LA WALIMU NA WANAFUNZI-TANZANIA
MAPROFESA na MADOKTA(PhD) WA TANZANIA NDIO CHANZO CHA UBOVU WA ELIMU YA TANZANIA.
Kutokana na wanasiasa na wadau mbalimbali wa elimu kumsakama...
NECTA YA NDALICHAKO IHESHIMU WADAU WAKE
Ndugu wadau wa JF, hii taasisi ya Necta haina heshima hata kidogo kwa wadau wake. Kauli zake kwa watahiniwa, wasimamizi na wasahihishaji ni chafu sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.