Hi wanaJF,
Naomba msaada. Nimejaribu kukokotoa interest rates za fixed account kwenye bank moja hapa nchini kwa kutumia nested if function kwenye excel. Lengo langu, kama sehemu ya kujifunza MS...
Jamani nimeona tangazo la kazi kwa waalimu wa masomo ya Drama, kuna shule ya Drama academy inafunguliwa hapa Dar es salaam. kama kuna mtu yupo interested anaweza tuma maombi kwenye email...
KAAD Scholarships in Germany for Developing Countries, Germany
The KAAD scholarships are addressed to post-graduates and to academics who already gained professional experience and who are...
Kama unafahamu kozi yoyote inayohusiana na masuala ya afya naomba unambie, naomba unambie pia chuo inakotolewa na qualifications zake. Ni muhimu tafadhal
Wakuu wanajf,
huu ni mwezi unakaribia wa nne sasa toka wanabod wa Ugavi Na Ununuzi au Procurement & Supplies wafanye mitihan lakin hadi sasa matokeo hayajatoka!
Nakumbuka mitihani ya PSPTB...
Study MBBS, BDS (Dentistry), Engineering, Business Management, Nursing etc, in China. Admissions open for 2013 session. Scholarships available for limited seats only. Contact us for scholarship...
Jamani, kwa hapa Tanzania, kuna shule ipi inafundisha kupiga picha, nina madogo nataka kuwapeleka ili waje wakae kwenye studio yangu, tafadhali anayejua naomba anisaidie ni wapi kuna shule ya...
Nimesoma na kufarijika sana kuwa Shirika la haki elimu limeamua kufanya utafiti wa kina kwa shule ya sekondari ya Kariakoo iliyopo manispaa ya Tabora kwa lengo kubaini chanzo cha kufanya vibaya...
Waungwana nisaidieni,mm ni moja kati y6a waliokata rufaa ya means test ya mkopo niliopewa na waziri wa chuo changu akadai kuwa ameenda bodi na wamemwambia kuwa katikati ya mwezi wa pili majina...
Waheshimiwa,
Kwa mwenye contact details za yeyote kutoka ukoo/familia ya Marehemu Professor Joshua Mkhululi (Prof. Ken Edwards) ani-PM tafadhali.
Natanguliza shukurani zangu za dhati!
Habari zenu wana JF, ningependa kujua ni chuo gani cha Tnazania ambacho ni partner wa chuo chochote cha Norway. Kutokana na kuwepo kwa Quota Scheme scholarship, mtu anapoitaji kuomba inabidi aombe...
Comrades and fellow members here are some tips you should know;
Top of Form
Bottom of Form
How to Write an Essay
This concise guide to writing an essay by PhD Professor...
hata kama ni usharobaro huu umezidi,yaani wanafunzi wakiume wa chuo wanalawitiwa na mateja na wanadhubutu kujitangaza kwenye magazeti na radio kwamba tumelawitiwa men,na kuibiwa laptop na sim...
habari wakuu kwa wale wasiokuwa na kibarua fanya hiki kibarua mimi kimenisaidia sana unaweza fanya part time au full time on line na ukapata $20 per hour mimi imenilipa unachohitaji kuwanacho ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.