Mimi ni Mwalimu wa secondari nimepangwa kufundisha mkoa wa (SINGIDA-MKALAMA), nahitaji kwenda mkoa wa DAR au PWANI, hivyo kwa yeyote anayehitaji tubadilishane vituo au hata kama kuna mtu unamjua...
China:flypig:
EVALUATION
Senior High School Entrance Examination (Chuzhong Huikao)
Considered to be between GCSE and GCE A level standard. Those students with high grades may be considered for...
Habari wana jf, naomba msaada wa taarifa za gharama, mahali na hatua zote za kupata international english language test certificate ( IELT) na passport.
Natafuta tuition nzuri kwa mwanafunzi wa kidato cha kwanza wilaya ya ILALA au TEMEKE. Tafadhari ndungu zangu nisaidieni nahitaji msaada wa haraka. Natanguliza shukurani.
Urais SAUT, Saimon Philibert aibuka kidedea
Ajizolea kura lukuki
uchaguzi watawaliwa na amani
Ndugu Saimon Philibert mwanafunzi wa mwaka wa pili kutoka katika kitivo cha sanaa ya elimu (BAED...
Mwezi November Bodi ya mikopo pengine kwa kuona imeishiwa fedha za kulipana posho zao ikatunga habari kuwa wale wote ambao wamekosa mikopo ila wanadhani walistahili kukopeshwa na au wamepata...
Mazingira magumu ya waalimu yanaanzia kwny college wanazosoma jamani,hapa MUCE no water,leo ni siku ya pili,afu kama wiki hivi Mhe.Hawa Ghasia alikuja hapa chuoni....japo wanachuo wng hawakulijua...
Mwanafunzi mmoja wa Chuo Kikuu Dodoma – UDOM aliyefahamika kwa jina la KAMUGISHA S/O ISACK, Miaka 24, Mwaka wa Tatu, Kitivo cha Sayansi ya Jamii (Social Science) anayeishi Block Namba 11...
Takribani siku tatu zimepita tokea post za ualimu zitangazwe na tamisemi,ila kinachonishangaza ni kutokupangiwa vituo vya kazi wanafunzi waliosomea shahada ya sana na ualimu katika chuo cha St...
je wew ni mmoja wapo wa wale walikosa post za ualimu(diploma)
kama upo tayar na unataka kuajiriwa naomba tuwasiliane 0764616352
NB.mkono mtupu haulambwi
Katika hali ya kusikitisha serikali imewatelekeza walimu wanafunzi wa vyuo vya ualimu vya CHETI pamoja na Stashada ambao wapo kwenye mazoezi ya Muda mrefu ya kufundisha (BTP). Tarehe 3 mwezi huu...
hapa, nilipo nipo sekomu, takribani wanafunzi 100 wapo kat(ika hekaheka za supp and special, shida ni kwamba wengi wao hajaweza kufika kufanya mitihani hiyo kisa pesa board hawajaleta ila...
I am doing masters in mba. I request any one who knows the website where i can get research papers on the above subject to assist. Please help.
Thank you in advance
Hamjambo wana JF?Katika upembuzi wangu niliofanya kwenye hizi ajira za Walimu nimegundua kwamba,walimu wa masomo ya Sayansi kama vile Physics,Chemistry,Maths na Biology ni wachache sana!Hii ina...
Wanajamvi...
Nmekuwa nikipatwa na maswali mengi juu hii kitu kinachoendelea kwa wanafunzi wa sekondari hususani kwa wasichana wa shule za mjini. Nashangaa kuwaona wakienda shule wakiwa hawana hata...
Haya wana JF naona watu wanatafutana sana hasa wale wa mashule...akina YOYO na IST!!! sasa basi wale wa Minaki Sec aka mlima kinyanyiko au watoto wa Mjale (RIP) mpo?!
Wakuu naomba msaada wenu wa mawazo kwa hili, Mtu mwenye Bachelor ya education BAED anaweza kusomea hiyo kozi ( tajwa hapo juu) na ikaja kuwa na maslahi baadae kwake?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.