dolson masaki
Member
- Aug 12, 2011
- 38
- 3
jamani naombeni nifanyeje nipata kurudi xkul nilihitimu kidato cha 4 2008 nikashindwa kuendelea kutokana na kukosa karo ya shule
jamani naombeni nifanyeje nipata kurudi xkul nilihitimu kidato cha 4 2008 nikashindwa kuendelea kutokana na kukosa karo ya shule
uandishi wako unaonyesha kuwa kichwani hakuna shule.
Nini maana ya "xkul"
uandishi wako unaonyesha kuwa kichwani hakuna shule.
Nini maana ya "xkul"
na wewe wakati wanaume wana-kuchakachua pale udom kabla huja-disko ndio ilikua akili.
uandishi wako unaonyesha kuwa kichwani hakuna shule.
Nini maana ya "xkul"
watu wengine huwa wanajiaribia bila kujua. hapo hata huyo sponsor lazma ashtuke.