Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Mimi n medical student nipo mwaka 6 katika nchi x huku nje ya nchi, ni mwaka wangu wa mwisho ila nilitaka kufaya internship tanzania nyumbani, chuo changu huku kipo tayari kuniruhusu na ipo hvyo...
0 Reactions
0 Replies
675 Views
hbr wana jamvi nimemaliza 2013, Nina division IV point 32, chemist-D, Biology -D, Maths-D, Physics-E. napanda sana kusoma masomo ya phamacy, wapi ntapata kujiunga na certificate ya phamarcy
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Habari wakuu!! Nilikuwa ninajiuliza, ni namna gani Masters kwa njia ya Executive hupatikana? Usomaji wake ukoje? Na mitihani yake hufanyikaje?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
mimi ni kijana niliye maliza diploma ya architecture na nina tamani sana kujaribu bahati yangu kupitia scholarship ila sifahamu ni jinsi gani yaku apply. naombi msaada juu ya hilo
0 Reactions
0 Replies
797 Views
Habari zenu wapendwa. Ndugu zangu naomba kusaidiwa kuhusu hyo shule nasikia ipo Morogoro lakini sifahamu ni sehemu gani hapo ilipo, ada bei gani, utaratibu wa kumpeleka mtoto pale kusoma upoje na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Salaam GT! Mdogo wangu amehitimu form four mwaka 2014 ufaulu wake katika mtihani wa NECTA ni Civics- D, History - D, Geog - E, Kiswahili - D, English - C, Physics - C, Chemistry - C, Biology - C...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
je!! walimu wanaweza kunufaika na dr. pombe kwa kuwa yeye n mwalimu. alisema kero yenu kuu naijua maana na mm n mwalimu! pia alisema hata kama wanafunzi watasomea chini ya mti ila kama mwalimu...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Napenda kujulishwa kuhusu hali ya shule ya Ihungo kama vile Sare za shule Malazi Huduma za msingi kama vyoo na maji pamoja na hospital na mwisho TAALUMA YAKE
0 Reactions
0 Replies
758 Views
Za mchana huu wrote, wakubwa shimamoo.. Mimi no mwanafunzi Wa kozi tajwa hapo juu... Ninaomba upembuzi Wa uwezekano Wa kusoma master ya biostatistics kama ufaulu utakuwa umejitosheleza. Ila o...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Niko Dodoma, nilimuomba ndugu yangu kunilipia NACTE, ila akawa amechelewa, nikaamua kulipia. Kumbe muda huohuo akawa amenilipia. Nikawa nina namba mbili za 50,000, ile yake nimeitumia kufanya...
0 Reactions
2 Replies
944 Views
Msaada wakuu mwenye uelewa wa kozi inayotolewa na livestock training agency ya Animal health and production VIP kuhusu uwanja wake wa ajira na nimeona ni chuo kimoja ambacho kinatoa degree...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habar wana jukwaa nina Diploma ya umeme je inawezekana kusoma Telecommunications au Information Technology Degree yani ntumie cheti cha diploma electrical ku apply degree kati ya hizo course...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
  • Closed
Wadau salam mbele shule hizi za St. Mary's zimekuwa kama mtambo wa kuzalisha vijana wanaopenda mapenzi ya jinsia moja (Mashoga). Pengine ni kutokana na namna lifestyle ya hapo shuleni kuwa...
3 Reactions
41 Replies
21K Views
Jaman ee hv ukitaka kusomea engnerng ya petroleum ni miaka mingapi? na kutoka adv nisome combi gan? na je mtu mwenye diplom anaweza kuajiriwa? naomben msahada wenu wanandugu
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu naomba kufahamishwa,k una mtu kamaliza form 4 mwaka 2007 na anataka kuomba diploma in clinical medicine,je anaweza kuomba chuo cha serikali?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari,wanafunzi Waliochaguliwa Kidato Cha Tano Kwenda Shule Ya Minaki Wanaripoti Lini? Pia Naomba Namba Za Mwalimu Wa Shule Hiyo. Asanteni Sana Ataenisaidia.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habar,kwa vijana mliochaguliwa Mwinyi high school(MKURANGA-PWANI) mnakaribishwa kwa Maswali.Ikiwemo vifaa mtakavyopenda kuja kukuta vinapatikana shule na kununulia hapo mtoe mapendekezo.
1 Reactions
0 Replies
7K Views
Ndugu zangu natumaini ni wazima mimi nasoma mwaka wa kwanza civil eng pale MUST. Natafuta sehemu ya kufanyia field practical kwani hadi sasa sijapata kila ninapoenda naambiwa wamejaaa hivyo kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba kuuliza ni lini NACTE watatoa post za vyuo?
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Afisa kilimo , njoo wilaya ya handeni nije wilaya za kilolo, iringa vijijin au hata iringa mjin. nifikie kwa +255753235211
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom