Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Nahitaji mtu ambaye yuko serious anamalengo na awe mtu asiyependa starehe kupita kiasi awe anajua vzr Biashara Awe angalau na ml2 jinsia yeyote Njoo watsapp 0752841018 nikuambie ni Biashara gani...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wanajamvi. Mimi ni mjasiliamali, nina jihusisha na utengenezaji wa bidhaa za ngozi, hasa sandals aka viatu vya kimasai, mikanda, mabegi na bidhaa nyingine nyingi. hivi sasa nipo katik...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Helium is one of the most abundant elements in the universe, forming about 23 percent of all matter. It becomes a liquid at the lowest boiling point of any element. But because it is lighter than...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Huyo Ng'ombe ni moja ya Breed wanao toa maziwa mengi mno anatoa hadi lita 100 kwa siku. Sasa kweli Tumeshindwa kumfanyia majaribioa Tanzania? make anaweza saidia kabisa kuondoa umasikini huko...
6 Reactions
36 Replies
21K Views
Ndugu wana Jf Wachumi ningependa kufahamu nini athari ya dhamani ya dola ya marekani dhidi ya kushuka kwa riba za benk wanaokopa BoT Kutoka 12% hadi 9%, Kuna wengine tuna vidola vyetu ndani visije...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Naweza pata wapi weighted average interest rates za BOT za 2017. Nimejaribu sana ku google lakini sijafanikiwa. Mwenye nazo naomba plse.
0 Reactions
0 Replies
796 Views
Natafuta kiwanja Dodoma mitaa ya kisasa au ilazo,offer 14 m. Sqr m 100 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
1K Views
WAREHOUSE FOR RENT (KILIMO WAREHOUSE) Location; Yombo vituka area,behind Tazara Railway station,Dar es salaam. 7.7 km from Dar es salaam harbour port 6.6 from Dar es salaam international airport...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tafadhali nataka kujua soko na bei ya kilo mwaka huu tafadhali maana huku mambo yanaanza kuiva tayari
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
848 Views
Msaada wa ndugu hizo pesa za zimbabwe bado zinatumika ,na je ? Kama zinatuka ukichenji bongo sh ngap Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Watu wengi wanaajiri kwa sababu tofauti, wengine kwakuwa wanapenda, wengine ajira ngumu , mazingira n.k Kuna vijana wengi ambao wapo mitaani hawajui pakunzia , ila kikubwa safari ya kujiajiri...
19 Reactions
19 Replies
6K Views
Wakuu, Nilianzisha biashara ya nguo lakini soko limekuwa gumu sana nilikuwa nachukua nguo K/koo napeleka mikoani hasahasa Morogoro ila biashara ni ngumu huko mzigo hautembei kabisa mauzo madogo...
1 Reactions
33 Replies
9K Views
Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hali ya maisha sasa hivi imekuwa ni tofauti, makampuni yanabana matumizi hivyo nasisi lazima tubane matumizi. Hizi ni mbinu unazoweza kuzitumia kubana matumizi 1. ukifanya maamuzi ya kuishi...
14 Reactions
34 Replies
9K Views
SIO KILA MTU ANASTAHILI KUSAIDIWA WENGINE WANATAKA WAKUSHUSHE CHINI. Karibu msomaji!! Ivi ulishawai kuona unafanya biashara yako vizuri na inaendelea vizuri kabisa na kukuingizia pesa. Sasa...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Ndugu wana jamii forum,nngependa kujua kuhusu biashara ya unga wa mahindi nje ya mipaka ya Tanzania kama Kenya,Congo na Sudan. Naomba kujua legal basis,Market na profitability ya biashara hiyo...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habari hapo juu, I want to start a business in Arusha so nahitaji sehemu ambayo ina watu wengi sana kama stendi. Biashara ninayoanziaha ni ya chakula. Karibuni mwenye kujuana na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani naomba kujibiwa, eti ni benki gani nzuri kufungua account ya biashara? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
836 Views
Back
Top Bottom