Habari zenu Wana jamii Forum mimi mjasiliamali na Kuna fursa nimeona nataka niifanyie kazi katika eneo fulani mkoa wa tanga wanapenda sana kutumia sabuni za magadi na majivu ila upatikanaji wake...
Shirika la ndege la Kenya linaungana na South Africa, Ethiopia na Misiri kama sijakosea kupewa kibali cha kuruka kutoka Jomo Kenyata Internationa Airport hadi New York.
Hivi vibali huwa...
Waungwana japo tunasimazi lakini lazima maisha yaendelee, nataka kusajiri kampuni hii ni pampja na Kutayarisha company profile, MoU na megine yanayohusiana na haya, mwenye utaalam huu tafadhari...
Hawa wakali wa fashion na burudani hawasikiki, imekuwa ghafla nini kiliwapata wadau hapa mjini.
- Waliwahi pia kusimamia mpaka wasanii kama kina Baby boy, Dataz, Blue, Steve
Ajuaye tafadhali
1.Nyumba iko eneo zuri sana la west chinangali dodoma mjini.
2.Eneo limepimwa,nyumba ina hati
3.Ina vyumba vitano,jiko,sebule,choo na bafu vya ndani
4.ina fensi na eneo kubwa sana la wazi na iko...
Shamanic ya $29 yataifishwa
[http
Waziri wa Fedha Dakta Philip Mpango leo amekagua shehene ya Alimasi iliyokamatwa uwanja wa ndege wa Dar es salaam iliyofanyiwa makadirio hafifu ikiwa ni nusu...
Una nursery yako na unahtaj Teacher mzoefu??? Wapo maticha wazoefu na makini weny sifa na vigezo...... Na primary pia wapo wamemaliza garissa teachers college kenya... Check me 0712770729 au...
Wadau nina taharifa kwamba kuna mpango umeanzishwa na PPF wakishirikiana na TPB kuwezesha wajasiriamali!
Wanasema ukiweka akiba ndani ya miezi 6(mchango wa kila mwezi), unaweza kukopa mpaka mara 3...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza zipo jumla lita 2000 yaani dumu 100 za asali mbichi original ya nyuki wakubwa ujazo wa lita 20.
Mazungumzo kidogo kwenye bei yapo karibuni.
Dar es Salaam pia...
Habari wakuu,
Naomba wenye utaalamu waku calculate Vat wanisaidie hii hezabu.
Nilinunua bidhaa kwa bei ya tsh. 240,000/=(VAT inclusive)
VAT = 20%
Je ni kiasi gani cha kodi ambacho nimelipa kama...
Nimekuwa nikiuliza watu wengi maswali kuhusu kujiajiri na kuajiriwa....most of the answers imekuwa kujiajiri ndio "mchongo",sasa mbona sioni jitihada za watu kutaka kujiajiri.....halafu inakuwaje...
Now day kuna motivations stories nyingi sana, Uki google utakutana na stories za kila aina,
Kuna hadi Motivation speaker wakina James Mwang'amba na wengineo kila siku utawasikia wapo Holday inn...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.